Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Ila si yupo ambaye amekuoa/anaonyesha dalili za kukuoa?..or this is out of my bussinessAsante sana....nilishapoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila si yupo ambaye amekuoa/anaonyesha dalili za kukuoa?..or this is out of my bussinessAsante sana....nilishapoa
story ime end up na ***** zake kwamba una mfvck mshikaj as if alizinguaHakuna nilikoandika ana tatizo
Ila si yupo ambaye amekuoa/anaonyesha dalili za kukuoa?..or this is out of my bussiness
Okay kila la Kheri and Marry ChristmasNi out of your b'ness lakini yupo mwenye dalili
Okay kila la Kheri and Marry Christmas
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
Yaani mwanzoni ina masikitiko ila ulivyomalizia nimecheka kwakweli[emoji1787][emoji85][emoji85]Pole na kicheko [emoji1787][emoji1787]
Ila wee dea, nimecheka had baas khaa.Nilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
Umenifanya nicheke kwa sautiNilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
Inaonekana wewe hukuwa mapepe jamaa boya sanaNilitarajia yule mpenzi wa kwanza aliyenitoa bikra nikiwa chuo kuwa one and only man katika maisha yangu
Lakini alikuja akaniacha kabla hata ya kumaliza chuo chenyewe mammmmmmae zake boya yule
Bro mbona unafeli 😳😳😳Hawa wanawake wana matatizo kweli kweli.
Ulioa kabisa au mlikuwa mbioni?
mkuu hebu tuelezee kilikutokea kitu gani hicho kilichokufanya uione ndoa mbayaMimi ndoa bana,
Niliifurahia mwanzoni sana,semina zake mpaka kuiishi kwa muda hivi,
Ila kwa sasa,huwa sishauri mtu Kuoa au kuolewa,
I’ll remain divorced the rest of my life,
Hii ni exclusive kabisa toka kwangu.
Ukiwa chuo connection kibao. Maliza sasa uoneAlisema "Ukimaliza chuo tu nipigie huku connection ninazo kibao" basi bwana nikawa navimba najua nikimaliza uhakika nakula kitengo. Aiseeee kilichokuja kutokea[emoji124][emoji124][emoji124]
Ukiwa chuo connection kibao. Maliza sasa uone
Inaonekana wewe hukuwa mapepe jamaa boya sana
Hahahah why?Umenifanya nicheke kwa sauti
Hahahahhahh boya yule kaniachaIla wee dea, nimecheka had baas khaa.
Eti boya lol, [emoji23][emoji23][emoji23]