Kitu gani umejiuliza sana lakini hupati majibu?

Alimuomba (ALLAH) amuache hai, aka kubaliwa kuwa afe mwisho wa Dunia, maana yeye hana pepo hata iweje, yake ni moto hivo ana jitahidi apate wa kumpa kampani huko Motoni
Wanajuana hao
 
Ukiachana na mambo mengine.Watu hukubali hali halisi ya maisha aliyonayo kwa wakati huo.

Hutumia kiasi kilichopatikana kuendesha maisha kwa utulivu mkubwa sana huku akiendelea kupanga mambo kwa akili kubwa mno.
Watu wa aina hiyi hawaamki amki kihisia kufanya matumizi yasiyo na mpango.
 
Mzee wa kupambania hili swali linahitaji jibu lako kijana wangu,


Kwa sie wanawake linaongeza kujiamini mbele ya mwanaume, kupendeza/kuvutia kimuonekano, ni faida kwa wapenda attention huko wapitako
Tako lina raha yake hasa wakati wa kumpiga doggy, au akiwa kwa juu anaride de libolo. Ule usoft wa tanko skonz, mtetemo, huku umekamatia kiuno huwa linaongeza sana mzuka

Sasa ukute manzi mtundu analizungusha kiufundi utamwaga hadi ubongo jinsi linatetema wakati wa mzagamuo yaani pwaa pwaa kazi yako ni kutia tuvibao twa mahaba. Hizi mambo hupati kwa vimodo
 
Hizi ni story za zama za mawe huko wala hazina mantiki.
 
Alimuomba (ALLAH) amuache hai, aka kubaliwa kuwa afe mwisho wa Dunia, maana yeye hana pepo hata iweje, yake ni moto hivo ana jitahidi apate wa kumpa kampani huko Motoni
Kwahyo hiki kitendo anachofanya kina baraka za Mungu?
 
😆😆kwakweli mnafaidi mbwa nyieee
 
Hay
Mzee wa kupambania hili swali linahitaji jibu lako kijana wangu,


Kwa sie wanawake linaongeza kujiamini mbele ya mwanaume, kupendeza/kuvutia kimuonekano, ni faida kwa wapenda attention huko wapitako
Haya majibu yamenizalishia maswali zaid.
Mf. Kujiamini mbele ya wanaume kivipi!
Kwamba ni silaha au uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo unaongezeka?
Je, hiyo attention ni aina gani ya matumizi? (Mana hapa tunatafta matumizi na faida)
Au mi mshamba flan hv.
 
Kwahyo hiki kitendo anachofanya kina baraka za Mungu?
Swali hujibiwa kwa swali , ushawahi kuiba kwenu au sehemu yoyote, na ukafanikiwa kuiba hicho kitu, je huyo mungu wa Imani yako ali bariki wewe uibe, au wewe ulipo zini na msichana huyo mungu wako ali bariki wewe ku mzini huyo msichana, jibu unalo mwenyewe
 
Hizi ni story za zama za mawe huko wala hazina mantiki.
Allah anasema wewe ulikua huna faida yoyote ispookuwa kunuka na harufumbaya, tena ulikuwa una tembea kwa kuchumpa na Allah aka kutoa huko kote mpaka hapo ulipo, leo maneno yake hayana mantiki, endelea kukanusha
 
Mi nimechoka bhana tako lenyewe sina
 
Chartgpt inakukoma..!
 
Hadithi za Abunuasi
Ata wewe pia ni hadithi ya abunuasi,Allah anasema ulikua huna faida yoyote, unanuka harufu mbaya, unatembea kwa kuchumpa, tena hufai kwa matumizi yoyote na leo unapata ujasiri wa kuongea hivi , basi wewe ndio hadithi kubwa ya abunuwasi
 
Kwanini wanawake wakiwa vijana wanaitwa Malaya na wakizeeka wanaitwaWachawi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…