SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
🤣Washirikina na maujinga Yao tuNajua hii ingeenda viral share nami link ya video nikaangalie.
Halafu watu wangapi wamevunjiwa kwa kutolewa kwa nguvu na pesa wengine hawakulipwa na hatujasikia hizo stori? Unafikiri kungekuwa na mechanism ambayo inaweza kuzuia jambo kama hilo wangapi wangezuia?
🤣🤣Kwa Nini uambiwe story kwa Nini usione usirecord video utume, au wachawi hawaonekani kwa video ni roho zile mtasemaKama upo mjini. Nenda pale mbuyuni, kama unaenda salender bridge ukaambiwe story ya ule mbuyu
Imetajwa kwenye gazeti gani la maana hio story tuambie tutafuteInge enda viral bila social media? miaka ya mwanzoni 2000 kulikua story ni magazeti na radio
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
🤣Mi naweza sema we ni shoga bila kuishi na wewe, ni assumption tu...Sina evidence Kama wewe huna evidence ya kusema ni mchawi zaidi ya hisia zako za ujinga na wivuHao uli mention una lala nao 24 hours unajua behind their backs? kama umeamua kukataa hata nikitaja utaleta ubishi tufanye umeshinda
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
🤣Washirikina na maujinga Yao tu
Ukweli sio Imani...huhitaji kujifanya chizi ili ukubali ukweliUnahangaika kujibizana nae wa nini? Muache aamini anachoamini na wewe ubaki na imani yako sababu hakuna anaelazimishwa kuamini kinachosemwa
Khaaaa!!! Ushamba mzigo 😅 poleeAsante nimeona. Ila umeipiga pin, that's why nimeshindwa kureply.
🤣Tupo proof mbona unaona mwenyewe au vina chaguo wajingaHio story haina relation na unacho ongea ila nlitaka kukujulisha nguvu za giza zipo ambayo ni sayansi pia ila haipo kwenye vitabu ulivyo soma wewe
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tuambie ulichoona, na tupo evidence pia sio hallucinations zako za usiku na kuchoka ..Rudi usome between the lines kwenye comment yangu nmesema kivunja nyumba ya yule bibi ikishindikana sababu kila machine walitlleta pale ikakwama sijui kama unazielewa machine nlizo mention point yangu ni kwamba sayansi asilia ipo mimi nmefanya biashara ya uvuvi nmeona mengi kwa sababu hua hamtaki kujifunza hua tuna waacha kama mlivyo!
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Acha fikra potofuNdugu zangu walimroga Dada angu...
Siku napeleka njiwa akatibiwe njiwa nae akantoka
Mpk sitakagi mazoea na Ndugu
Kwani mi ni mzungu, wazazi wangu ni wazungu, Babu yangu ni mzungu. Ndo maana nakuambia ukiishi katika jamii inayoamini uchawi lazma na wewe ubongo wako utajenga hio picha ila in reality hicho kitu hakipoHao watu unaowazungumzia ni wazungu?
Sawa so solution sio uchawi ..hii ni argument from ignorance. Kitu hukielewi so jibu lake ni uchawi. Ndo tofauti, wenzetu wanatafuta majibu ya maswali we unahangaika kuwaza mauchawi ndo maana hatuendeleiPoint yangu ni kwamba kufanikiwa ni zaidi ya kufuata kanuni kama ingekuwa mafanikio ni kufuata kanuni tu basi tungekuwa na mafanikio wengi zaidi, hivyo tuanzie hapo kwanza kuwa kwenye kufanikiwa kuna zaidi ya kufuata kanuni na juhudi.
Ndugu zangu walimroga Dada angu...
Siku napeleka njiwa akatibiwe njiwa nae akantoka
Mpk sitakagi mazoea na Ndugu
Haina ukweli sisi tumeishi mitaa hiyo hiyo...ukiwa na akili timamu ya kujua wat is real and fake huwezi amini uchawi...ni ignorance tu ya watuHivi wataalam Mshana Jr KWANZA, kwanini kuna watu wengine wanakutana na kuona matukio ya kichawi au viumbe vya kiroho na wengine hawavioni maisha yao yote.
Kuna Sayansi gani hapo?
Kuna concept nilisoma kwamba hivi vitu lazima uvialike kwenye maisha yako(kwa mfano kwenda kwa mganga au kufanyiwa dawa zq wale maustadh wa dawa) , au mtu mwenye mamlaka na wewe avi introduce kwenye maisha yako(kama mzazi kumchanja chale au kumfanyia mtoto wake dawa alipokuwa mdogo au kumpeleka kwa mganga na kwenye matambiko, au mke kukufanyia dawa)
JE HII CONCEPT INA UKWELI WOWOTE?
Unafuu upo katika kutafuta ukweli na uhalisia wa mambo, kwa kufanya tafiti na tafakari juu ya maisha na kubuni mbinu Bora za kutatua maisha yakoWewe sasa tuamini nini ?? Upako au uchawi au nini sasa maana ukiombewa hakuna nafuu kwa waganga hakuna unafuu where kuna unafuu tujibuni
Wewe sasa tuamini nini ?? Upako au uchawi au nini sasa maana ukiombewa hakuna nafuu kwa waganga hakuna unafuu where kuna unafuu tujibuni
🤣Mbona unaone mwenyewe na wajinga wenzako au una dunia yako. Water is real, hatuwezi kubishana water is real or fake coz kila mtu mwenye macho anaona maji, same as fire same as trees etc 🤣kitu ambacho mtu mmoja mmoja anakiona hizo ni hallucinations ndo maana tukilala hatuna ndoto sawa. Mwingine ataota uchawi mwingine ataota utajiri hivyoUkiamua kuwa mbishi hata uambiwe nini huwezi kukubali tembea uone dunia ina mengi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app