Wachungaji wenu na mashehe bila Uchawi hawawezi hata kufunga kamba za viatu vyao. Ni ninyi kondoo tu ndio mnarubuniwa kuwa ni nguvu ya mungu.Kiboko ya wachawi ni nguvu ya Mungu tu iliyopo ndani ya damu ya Yesu.........washauri ndugu zake wampeleke kwenye kanisa lolote akaombewe apokee uponyaji.
Tambua kuwa Uchawi ni Sayansi, una Kanuni beyond hii sayansi iliyoshindwa hata kutibu mafua au kumkamata mwizi mahakamani.
Huwezi kutumia kanuni za Sayansi hii ya darasani kuthibitisha Sayansi ya Uchawi, maana imejengwa kupotasha Sayansi Ukweli na kujaribu kutoa dhana za uongouongo juu yake.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mauza uza yapoo aiseee.. Hallucination its not common kwa watu ambao hawana mental problem issues yani ni uongooo.. Unakua umeona kitu really kabisaa.Miaka fulani nikiwa chuo nilienda field kijiji fulani huko Dodoma. Sehemu niliyokuwa nafanya field ilikuwa nje kidogo na sehemu yalipo maduka. Sasa siku moja nilikuwa napita njiani nikasikia watu wanaambiana "huyu kijana anapitaje hiyo njia usiku huu". Sikuelewa sababu ya wao kutokupita ile njia usiku
Sasa siku moja tukiwa watatu na jamaa zangu ninaofanya nao field, mida ya saa moja jioni kigiza giza ndio kinaingia. Tunawa tunavuka kuna sehemu kulikuwa na mto kwenye hiyo njia ila hauna maji. Sasa kwa mbele tukaomuona mzee mmoja aliyeonekana umri umeenda sana anatembea polepole kwenye ukingo wa pili wa mto, tulitegemea tukija kuibuka tutampita. Lakini tulipokuja kutokea hatukuona chochote.
Mwanzoni nilidhani nimeona peke yangu nikakaa kimya. Baadae tukiwa tumeshafika yule mshikaji nae akaniuliza kama niliona lile tukio. Mshikaji wetu mmoja yeye hakuona alikuwa yuko bizzy kuchati na simu muda tukio linatokea.
Tulishangaa sana maana ile sehemu haikuwa na mti wala kichaka cha kujificha ni eneo plain tu. Na ilikuwa ni kitendo cha sekunde chache sana, yule mtu kutokomea kabisa asionekane, hata ingekuwa gari ni lazima tungeikuta.
Sasa uniambie ilikuwa ni hallucination uone kama sijakuzabua makofi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wew jamaa inaonekana umesoma ilaa tatizo Hujaelimikaa yanii...!![emoji28][emoji1787] Nimekuambiaje Portugal in Fatima watu 3000 waliona jua linacheza cheza, linatoa colours tofauti, niambie Sasa jua lilicheza kwa hao watu 3000 tu dunia nzima tusione au wao 3000 Wana hallucinations. Mazingira na maandalizi kabla ya hio scenario Ina affect ur brain. We na rafiki yako mnaweza mkawa mmeona kitu Cha ajabu. Lakini mkiulizwa independently kuhusu Hilo jambo it's highly likely mtaelezea tofauti kidogo hamuwezi kuwa sawa katika kukielezea. Hizi accounts zipo kwenye story za wachawi, kila mtu huwa na vision yake tofauti kidogo. Which shows it's just brain. Hamna jipya hapo..ndo maana nakuambia elimu na tafiti ni muhimu.
Ni nguvu na Kanuni zilizoshindwa kuthibitishwa na Sayansi ya Darasani. Ni Sayansi beyond hii ya makaratasi.Uchawi ni nini? sayansi ni nini?
elezea uchawi unakamata vipi mwizi? Au uchawi unatibu vipi mafua?
Hujui kitu matrix wameshika kichwa chako. JikomboeHapana mkuu sijatazama hapo tu.
Ungemalizia na huko chini kabisa, unaweza kuwa ecstatic na BADO hali hii ya hallucinations ikakupata.
Mimi binafsi huwa sina shida na imani za watu ILA kwenye swala la kuthibisha ndo huwa kuna matatizo. Naheshimu imani YAKO.
Uchawi ni sayansiUchawi upo lakn sio tunavyo elezea.Uchawi kutumia maarifa yasiyo ya kisanyansi ,kwa lengo kutoa msaada, ila unazuru bila kujua. Uchawi ni ukosefu elimu ya sanyansi. Mtu huwezi kupaa na upo,uongo physics inakataa
Waliofanikiwa kwa uchawi wapo.Kwani unaamua ku reduce message yangu.
sikusema mafanikio yanahitaji commitment discipline and consistency kitu ambacho wengi hatupo radhi kufanya.
Most of us we can't embrace disruption I bet even you.
Yaani mpaka sasa hujathibitisha mtu aliyefanikiwa kwa uchawi ILA mimi nimekuonyesha mifano kibao.
Ukishafanya kazi hapo si uchawi tena kuna bidhaa ambayo inanunulika na watu.
au kama upo kazini kuna skills ambayo inahitajika hiyo sehemu na wewe unayo.
Mbona hivi vitu ni simple kuelewa
Embu ni convince kuna mtu kafanikiwa kwa uchawi ambaye sote tunamfahamu?
Au wewe unazungumzia luck? Na umesoma The richest man in babylon inasema nini kuhusu luck?
Usihangaike kunielewesha nahitaji uthibitisho wa mtu kafanikiwa sababu ya uchawi wake na si kufanya KAZI?
Ufahamu wako bado finyu saana.🤣🤣🤣🤣Mi nakuelimisha we mjinga. Mi Sina shida coz naishi kwa amini nikijua kila kitu ni naturally observable na explainable. Nakuonea huruma wewe kwa sababu despite all the technology science na education in the world which clearly states kwamba hivi vitu ni clear myths na not real. Bado unakazana kuamini why, coz hutaki kupingana na dini zako na utamaduni wako. It's not bad ila kwenye ukweli kubali. Mababu zetu hawakujua dunia inazunguka jua, hawakujua dunia ni duara haimaanishi tuishi na Imani zao, coz hawakuwa na elimu tu. Same as hayo mauchawi
Wewe ukiwa mchawi inatosha, sio wote wachawi kama wewe.Wachungaji wenu na mashehe bila Uchawi hawawezi hata kufunga kamba za viatu vyao. Ni ninyi kondoo tu ndio mnarubuniwa kuwa ni nguvu ya mungu.
Ukweli halisi hakuna uchawi..hiki kitu au dhana inayo itwa uchawi haipoUchawi hauna mamlaka juu ya ukuu wa Mungu
Na haiwezekani kila MTU kuwa mchawi hakika. Ndio maana hao wachache wanatumia kupiga pesa...Wewe ukiwa mchawi inatosha, sio wote wachawi kama wewe.
Ni Ukweli pia. Maana Uchawi ni jina baya lililotolewa na wale waliofeli kutambua Nguvu na Kanuni zilizokinyume na wakiitacho Sayansi.Ukweli halisi hakuna uchawi..hiki kitu au dhana inayo itwa uchawi haipo
Uchawi upo na njia sahihi ya kuushinda ni nguvu ya Mungu tu tena kupitia hao hao viongozi wa dini.Na haiwezekani kila MTU kuwa mchawi hakika. Ndio maana hao wachache wanatumia kupiga pesa...
Uchawi ni kitendo cha kutumia nguvu za giza kwa nia ovu ya kumdhuru mtu/watu.Ni
Ni Ukweli pia. Maana Uchawi ni jina baya lililotolewa na wale waliofeli kutambua Nguvu na Kanuni zilizokinyume na wakiitacho Sayansi.
Ni sawa sungura kuita matendo ya ngedere juu ya mti ni Ubaya, kwa vile yeye hajui inawezekanaje.
IPI ni njia sahihi ya kushindana na Nguvu ya Mungu nayo?Uchawi upo na njia sahihi ya kuushinda ni nguvu ya Mungu tu tena kupitia hao hao viongozi wa dini.
Nguvu ya Mungu ipo kwa ajili ya kuokoa, kuponya na kutoa ulinzi dhidi ya uchawi na madhara ya uchawi.IPI ni njia sahihi ya kushindana na Nguvu ya Mungu nayo?
Nguvu ni Nguvu tu, hakuna ya Mungu wala ya yule. Mnapodai kuwa Kuna Nguvu mbali na ile ya Mungu wenu, inaonesha wazi mlivyokosa imani na Mungu wenu, na kwa hakika mnakufuru.
Hakuna Nguvu Ila Moja tu.
Kidesturi zetu, UCHAWI NI MATUMIZI MABAYA YA NGUVU ZA ASILI/MUNGU. Yaani kutumia Nguvu za Mungu kudhuru mtu asiyekuwa na hatia.Uchawi ni kitendo cha kutumia nguvu za giza kwa nia ovu ya kumdhuru mtu/watu.
Ushirikina ni uovu