passion_Amo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2023
- 378
- 542
Tatizo ummekariri hilo neno "uthibitisho" na wote mpo hivyo mnalitumia kama kichaka chenu, ulipoleta story yako ya hao majirani zako mapolisi wala sikukwambia uthibitishe kwa sababu ni vitu ambavyo kweli vipo ila nyie sasa kila kitu watakachoeleza wenzenu mnajidai kudai uthibitisho.
Sijui ni vp wewe uone kuwa naweza kukuthibitishia hicho unachotaka nikuthibitishie kupitia humu JF.
Hakuna asiye mjinga maana hakuna anayejua kila kitu, hata hapa jamiiforums tumejifunza mengi na kupunguza ujinga na uzuri mimi ni mtu ambaye napenda kujifunza ila nasikitika hakuna nilichojifunza kutoka kwenu zaidi ya kuelimisha ili niondoe huo ujinga ila unaishia kuniona mjinga kisa tu tunatofautiana mitazamo.Sisemi lingine zaidi ya kukubali kushindwa kwako siku njema.
Wewe ni mjinga na mjinga si tusi ni sifa.
Jamiiforums ipo pia kwa ajiri ya kuelimishana na kutoana ujinga, sasa kama umeshindwa kunielimisha huo ujinga wangu kuendelea kuniita mjinga haitosaidia lolote.Nitakupa jina la ujinga au kama stori ya poyoyo wa mliyayoyo.
Okay...unaweza thibitisha hiyo...kwamba ukichanganya na hela zako inapotea. Au ni kwamba tu ni kisingizio Cha kupoteza hela. Fanya independent investigation kwenye maduka mawili.. moja aende huyo chuma ulete bila kujulikana na mwingine abaki hivyo hivyo afu unipe matokeo .. otherwise ni story tu. .Chuma ulete inajulikana ni wizi wa aina gani ambao unahusishwa na uchawi, mfano wa chuma ulete ni kitendo cha mtu kuja dukani kwako na kununua bidhaa sasa ile pesa aliyokupa ukiichanganya na hizo pesa zako zengine basi sehemu ya kiasi cha hizo pesa zako hupotea kimazingara.
Hiyo ni aina moja wapo ya chuma ulete kama inavyoaminika.
🤣Wana mitaa Yao au...mbona sisi hatuoniWatu tukiwaambia hawaelewi wanaona kama utani, waswahili wana mambo mengi sana huko mtaani
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
1. Pope kafanyaje?Unaposema jamii zao zimetoka kwenye hizo dhana
Huyo pope amefariki 2016 na bado kuna warithi wake
Nimetuma link ya AGT mdada akifanya uchawi jukwaani
Wenzetu wana mpaka sherehe ya Halloween
Unaposema jamii yao imetoka kwenye hizo dhana unatumia vigezo gani?
Ni magic tricks elewa bac mbona nakujibu Mara ishirini...tafuta vipindi vya breaking the magician code utaelewa. Sasa unaishia kumuita mchawi Ile ni talent Kama talent zengine lyk dancing etc...mbona Kuna watu hawawezi kuchezi mpira Kama Messi au kudance Kama Michael Jackson ila kwani Messi na Jackson ni wachawi, noNimetuma video ya yule dada na naweza kutuma nyingi zaidi ila hujaniambia kitu gani kinakufanya uone yale ni maigizo
Tuanzie hapa
Sasa kwanini unatushangaa sisi tuliowahi kupita kwenye mikono hiyo, na kwanini sisi tusikushangae wewe ambaye hujawahi kupitia visa vyao!?[emoji1787]Wana mitaa Yao au...mbona sisi hatuoni
🤣We bana acha wivu wa maendeleo...Kama uchawi unaleta maendeleo we fanya bac uchawi...uendeleeSijui umeandika nini hapa, comment yangu uliielewa kwanza ama ulikimbilia tu kuniita mjinga? We unadhani bado watu wapo kwenye kulima kizamani siku hizi!? Aisee tembea uone hutaamini macho Yako.
Hata nikikuuliza tech gani ya kilimo unayoongelea na quality factors sijui kama utaongea kitu kipya ambacho huku hatufanyi. Come again
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
1. Hiyo story ya bibi sijui mifupa naomba independent source of information sio story za mtaani... nipe news source clear yenye habari hiiNdugu endelea kumuomba sana Mungu wako yasikukute,uchawi ni halisia na upo kabisa,kuna mdau kaongelea swala la matibabu yakuvunjika mfupa,mimi nimeshuhufia bukoba huko,jamaa alivunjika nyonga,amekaa hospitali miaka mi 3,kaoelekwa kwa huyo bibi,wiki mbili tu kawa sawa, tena hata jeraha halijaguswa,kingine mimi mwenyewe nimeshuhudia usiku natoka babati nakwenda singida,ktk ya barabara nikashuhudi fisi mkubwa kama tembo yaani tena amejaa barabara nzima na mvua inapiga,kwemye gari nimebeba familia nzima,siku simama nikapita naye,gari ilitikisika tu na kishindo kiasi,nimefika singida naangalia bonet hakuna hata mkwaruzo,chaajabu wife na mdogowake waliliona hilo fisi,sasa je utasema tulikuwa na mawazo woote???
We leta story yako...nimeambiwa story nyingi za my friends Sasa ni mambo personal...leta experience yako ya uchawi yenye verifiable evidence...mbona watu mpaka wanafanya mapenzi wanarecord Kuna video za ajali mbona hata iweje mtaani hamna video za uchawi...ndo ujue ni akili yako tu na wajinga wenzako ndo zinaona...uje na experience inayothibitika kua uchawi upo ndo nitakuamini..so far ni sawa na kumwambia mtu mzima usivae nyekundu utapigwa na radi..🤣Ndo navyokuonaYani katika vitu vingi ulivyofuatilia umeeleza kimoja tu cha sleep paralaysis basi ila unatumia muda mwingi kudai uthibitisho na kusema ni hallucinations tu, kwanini usitumie nafasi hii kueleza zaidi hayo uliyoyafuatilia na ukayatolea maelezo ni kwa vp si uchawi kama wanavyoamini?
🤣Nawashangaa coz ni uwongo. Kwa Nini wewe na wajinga wenzako ndo muone vitu...au uchawi unachagua wajinga na maskini.. watu wa kijijini wasio na camera, elimu na fikra za kiuchumi na kisayansi. 🤣Au uchawi unajifichaSasa kwanini unatushangaa sisi tuliowahi kupita kwenye mikono hiyo, na kwanini sisi tusikushangae wewe ambaye hujawahi kupitia visa vyao!?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana nikakwambia wewe ni brainwashedSawa Ila haupo Sasa....,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimekuambia jamii nyingi za kizungu haziamini uchawi na zinaishi kwa scientific principles. We umeangalia movie za horror unasema wanaamini zile ni entertainment tu Kama sisi tunavyotengeneza eonii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]We na wajinga wenzako ambao hawana elimu ya Sayansi na jamii ndo mnaamini uchawi. Watu tumeelimika hatuwezi amini vitu ambavyo havipo. Kama uchawi upo...tuonyesheni...Mara mtuambie tukue wakubwa, tukue mpaka lini, Mara mtuambie twende sijui wapi, kwani unachagua sehemu.. [emoji1787]Mbona dar hatusikii uchawi au kisa watu Wana elimu, hela na camera ndo maana unawakimbia unaenda kigoma ..vitu vingine jiongeze
Hakuna cha wivu wa maendeleo hapa nilipo hiyo stage nishaipita nafanya nachojua return yake sio kubahatisha. Yes unaleta maendeleo ila ni wachache wanaopenda shortcuts ndo wanaweza kufanya hayo mambo[emoji1787]We bana acha wivu wa maendeleo...Kama uchawi unaleta maendeleo we fanya bac uchawi...uendelee
[emoji1787]Nawashangaa coz ni uwongo. Kwa Nini wewe na wajinga wenzako ndo muone vitu...au uchawi unachagua wajinga na maskini.. watu wa kijijini wasio na camera, elimu na fikra za kiuchumi na kisayansi. [emoji1787]Au uchawi unajificha
Kwamba unatarajia nitakuthibitishia humu Jf kwa maneno? Nimekupa Fursa ya kushuhudia Matendo Makuu ya mnachokiita Uchawi. Wajibu ni wako sasa.Bado mpaka sasa hujathibitisha unayoyaongea zaidi ya kuendelea kutunga stori.
Huna tofauti na masheikh na wachungaji waongo wakisema wanaweza fanya viwete watembee lakini hospital kumejaa hao viwete, waliovunjika kwanini hawathibitishi kama wanaweza kutibu n mtu aliyevunjika miguu ndani ya siku7?
Huoni bado unaendelea kutunga stori zako?
Hawa ni kondoo walionona mafuta ya upako au uongo wa Maabara.Kama umekiri lipo kundi la wazungu wanaoamini uchawi na Afrika pia lipo kundi linaloamini uchawi
Nawewe ulisema wazungu hawaamini uchawi sisi wa Africa ndo tunaamini
HAPA TUKUELEWAJE???
Ulishawahi pewa za Dhahabu humu ndani?Dhahabu ipo na ina thamani, na kuna sababu kwanini ni ya thamani.
Tupe connection ya uchawi na kufanikiwa kwa mtu?
Uwe unasoma vizuri ndio unajibu. Ni wapi nimesema wanasayansi wameamini Uchawi? Kwa mwanasansi Uchawi ni kitu ambacho HAKIPO.🤣 Mwanasayansi gani mwenye hadhi duniani anaamini uchawi. Mtaje na uje na credible quotations zake. Acha bifu na wanasayansi, wametengeneza Simu unaongea upuuzi humu. Waambie bibi na Babu yako watumie uchawi kuunda Simu...