Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?


Kweli kabisa umenikumbusha mbali sana. kuna mwaka1 kijijini kwetu kaka yangu alikua ana mchezo wakujenga nyumba alafu anauza baada yamuda anaenda usiku anarusha mwawe kwenye bati na kuchimba elizi zaungo nakweli mlangoni baada ya myezi mitatu watu wanaisusa nyumba kwa kuiuza kwabei cheee kabisa alafu broo anainunua tena kupitia mtu mwingine kwabei cheee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vipi uliendelea kukaa hmo?
 
Niliwahi date na mtoto wa mama mganga. Kila akitaka kuja nyumbani amsalimie bimkubwa namzungusha. Siku hiyo tumepanga ahadi vizuri kuwa atakuja home kumsalimia bimkubwa.
Nikamwitikia nikalala zangu. Usingizi ukanichukua ebwanawee naamshwa na milio ya nyuki kibao dirishani kuhamaki na haooo wanaishia akili haijakaa sawa simu inaingia. 'Niko njiani nakaribia'.
Nilikua puzzled kama dakika kadhaa hivi. Nabungaa hawa nyuki wametokea wapi mjini daslam!
 
huyo dogo angeongea na mzimu wa babu yake, simplem
 


Mkuu Umenikumbusha mbali nipo boarding.
Baadhi tuliosoma boarding tulipata sikia stori za miss corridor.

sasa huyu miss corridor ni moja ya hallucinations ambazo wengi tulipitia tulipokuwa shule, mfano ukitoa usiku saa7 au saa8 haja ndogo unasikia kama heels sound vya mwanamke kwenye veranda and out of the blue ile sauti inapotea. Hii ilitokea baada ya kusikia stori kwamba ukienda chooni usiku lazima usikie anatembea.

BAsi ubongo ukawa unaprocess hizo taarifa kila nitapotoka haja ndogo lazima nisikie heels kwenye veranda zikitembea.

Shida huwa watu wanaelezea hizi stori kwenye hali ambayo inataka kujustify wanachokiamini wao ndicho hicho.
 
Walimpoteza mdogo wangu mara 3 siku waliompoteza mara ya 3 walimrudisha uchi Hadi leo nguo zake hatujazipata na akili ya kusoma ikapotea kabisa pia sitosahau siku nilipoiona meli imetia nanga uwanja wa mpira usiku Zanzibar nao hawajambo
 
Wengine watasema ulikuwa na tatizo la Kisaikolojia, lakini ukweli ni kwamba hayo mambo yapo.
 
Kuona mkataba wa DP World unapitishwa na Bunge bila hata kuhoji wala tafakuri.

Uchawi upo
 
Ule moshi magufuli alipuliziwa kule kusini kwa majaliwa asee siku ile niliogopa wiki 2 pua kama kuna pilipili
 
Kuna Mwana mwalimu wa A level alitupwa na tamisemi shule moja ya wanawake huko kusini mwa Tanzania, jamaa akajiona rijali akawa anawatembzea mashine wanafunzi wake siku moja akajikuta Yuko nje ya geti la kuingilia shule majira ya Saa 1 asubhi wakat alilala ndani kwake usiku wa Jana yake, ikabidi aombe uamisho kutokana na aibu aliyoipata kutoka kwa wanafunzi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…