Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Bibi yangu wa mwisho ni wale wabibi waliolewa na wasomi nae anajiona msomi. Msafi sana kwake kuna mkungu basi ukifika kutwa kuokota majani km yuko hotelini.
Sasa pale kwake kuna uwa/fensi alivyoka ndani akamuona jongoo huyu huyu jangoo mweusi mkubwaaa. Akachukua banio la moto na kumbana ili mrushe nje eeenh bwana weeee alimkamata vizuri alivyoanza kumbana ili mrushe nje akashtukia mguu unavunjika, kila akikazana na mfupa nao unavunjika. Yaani unaliaa teh teh teh akafanikiwa kumdodosha lakaini bibi hakuweza teena kutembea tena. Mguu ulivunjika mara kadhaa alilazwa St fransis akawekewa hogo. Mpaka kesho bibi anatembelea magongo. Yule jongoo alizolewa tuu akawekwa nje aendelee na safari yake mwanaharamu yule.
Sasa pale kwake kuna uwa/fensi alivyoka ndani akamuona jongoo huyu huyu jangoo mweusi mkubwaaa. Akachukua banio la moto na kumbana ili mrushe nje eeenh bwana weeee alimkamata vizuri alivyoanza kumbana ili mrushe nje akashtukia mguu unavunjika, kila akikazana na mfupa nao unavunjika. Yaani unaliaa teh teh teh akafanikiwa kumdodosha lakaini bibi hakuweza teena kutembea tena. Mguu ulivunjika mara kadhaa alilazwa St fransis akawekewa hogo. Mpaka kesho bibi anatembelea magongo. Yule jongoo alizolewa tuu akawekwa nje aendelee na safari yake mwanaharamu yule.