Mkuu njoo Tunduma tukupe nyumba ya kukaa bure tena Gorofa Kama unaweza toboa usiku mmojaMabati yana kawaida ya kujikunja na kujikunjua kutokana na hali ya hewa joto au baridi... Ni kawaida kusikia sauti.
Then milango yetu hii ya kuunga unga hasa mageti vitasa vyake kujifunga ni kawaida sana ukibamiza...
Tena kama we ulitoka kasi ukauacha ujipige.. hakuna uchawi hapo.
Tufanye kazi
Mganga gani kafanya kitu Cha ajabu uamini kuwa uchawi upo. Na unipe evidence...usiniambie cjui miti shamba..nataka kitu ambacho mganga kafanya supernatural yaaniWewe ndio umesema story za uchawi zipo kijijini tu, ila mimi nakwambia hata huku mjini waganga wapo na hao matapeli pia wapo. Uganga ni ujuzi dogo hivyo sio mpaka ukae kijijini ndio uwe mganga wa kweli.
Kama umekaa huko kijijini haya tuelezee jinsi gani uchawi ni kukosa maarifa na vp ni nini hasa hao waganga wa huko hufanya ambacho huonekana ni wa kweli?
Bro...,🤣mpaka mitishamba inafanya kazi Tena na Tena na Tena it means ni scientific...hujui process ya science ni Nini...ni kutest reliability ya kitu ..so hamna uchawi hapo...Sayansi we umekariri ya sindano sijui kidonge...hata mitishamba Ina apply laws za science ndo maana Kuna specific herbs for specific diseases huwezi amka Leo ukala embe upone tumbo... Kisa ni tunda tu...haipo hivyo...so bado hujaelezea uchawi unahusikajeHaujaelewa hata nilichokieleza kutokana na upeo wako na nilihisi tu, kipindi cha Corona aliyekuwa rais wa Tanzania wakati huo Magufuli alisisitiza watu kutumia mitishamba kujikinga na corona na kutilia mashaka chanjo za corona, unajua kwa nini watu walisema anapinga sayansi katika kushughulikia ule ugonjwa wa corona?
Science is the systematic study of the structure and behaviour of the physical and natural world through observation, experimentation, and the testing of theories against the evidence obtained.
Sasa mimi napozungumzia mitishamba isiyofanyiwa tafiti za kisayansi wewe unakuja kusema mitishamba ni sayansi.
Huyo mwanasayansi anayebisha kua hamna kirusi Cha ukimwi sio mwanasayansi...Tubishanie nini kuhusu jua kwamba jua ni mungu au si mungu? maana kuna watu wanaanini jua ni mungu.
Wanasayansi wanabishana hadi kama kuna virusi vya ukimwi au hakuna virusi vya ukimwi.
Muda wote naeleza hapa kuwa waganga wanashughulika na kutatua shida za watu za kichawi kivitendo ila wewe unadai wanabahatisha sasa unataka niseme nini tena? Wewe si umekaa kijijini ndio maana nikakwambia ueleze hao waganga huko kijijini nao utapeli wao ni wa aina gani huko?Mganga gani kafanya kitu Cha ajabu uamini kuwa uchawi upo. Na unipe evidence...usiniambie cjui miti shamba..nataka kitu ambacho mganga kafanya supernatural yaani
Duh yani yote niliyoandika bado haujaelewa tu? Mimi nimezungumzia kuwepo mitishamba yenye kujulikana kutibu maradhi ya kibaolojia ila haijafanyiwa utafiti wa kisayansi, hapo sikuzungumzia uchawi sasa nakushangaa umeingiza uchawi.Bro...,🤣mpaka mitishamba inafanya kazi Tena na Tena na Tena it means ni scientific...hujui process ya science ni Nini...ni kutest reliability ya kitu ..so hamna uchawi hapo...Sayansi we umekariri ya sindano sijui kidonge...hata mitishamba Ina apply laws za science ndo maana Kuna specific herbs for specific diseases huwezi amka Leo ukala embe upone tumbo... Kisa ni tunda tu...haipo hivyo...so bado hujaelezea uchawi unahusikaje
Hahaha huwezi kujua vitu hivyo, wewe endelea kuangalia movies.Huyo mwanasayansi anayebisha kua hamna kirusi Cha ukimwi sio mwanasayansi...
Wamefanya Nini Cha ajabuMuda wote naeleza hapa kuwa waganga wanashughulika na kutatua shida za watu za kichawi kivitendo ila wewe unadai wanabahatisha sasa unataka niseme nini tena? Wewe si umekaa kijijini ndio maana nikakwambia ueleze hao waganga huko kijijini nao utapeli wao ni wa aina gani huko?
😁Sawa...so uchawi upo haupo?Duh yani yote niliyoandika bado haujaelewa tu? Mimi nimezungumzia kuwepo mitishamba yenye kujulikana kutibu maradhi ya kibaolojia ila haijafanyiwa utafiti wa kisayansi, hapo sikuzungumzia uchawi sasa nakushangaa umeingiza uchawi.
🤣🤣So unataka tukae tubishane kwamba ukimwi haupo...Ila story za Babu yako za jini ndo za ukweli...Sina huo mdaHahaha huwezi kujua vitu hivyo, wewe endelea kuangalia movies.
Sizungumzii ajabu nazungumzia ujuzi wa uganga katika kutibu na kutatua matatizo ya kichawi ambapo wewe unasema wanabahatisha.Wamefanya Nini Cha ajabu
Mi sijaona Cha ajabu walichofanya kusema ni uchawi
Unajua hata nikisema nikukubalie kuwa hakuna uchawi, tatizo umeshindwa kuelezea hicho kinachodhaniwa kuwa uchawi je ni kipi hasa kama sio uchawi? Hapo ndio tunashindwana.😁Sawa...so uchawi upo haupo?
Hakuna aliyesema hakuna ukimwi bali wanasema ukimwi hausababishwi na virusi vya ukimwi kwa maana hivyo virusi vya ukimwi. Ila tuachane na mada tu dogo.🤣🤣So unataka tukae tubishane kwamba ukimwi haupo...Ila story za Babu yako za jini ndo za ukweli...Sina huo mda
Kumbe hata Mungu huaminHallucinations ni uzoefu usio wa kawaida wa kuona, kusikia, au kuhisi vitu ambavyo havipo kimwili au kwenye mazingira halisi.
Halafu tazama sentensi yako sikuwa "stressed kihivyo"
Mkuu analyse mimi binafsi huwa siamini uchawi wala uwepo wa mungu.
Hata mimi hallucinations nisha experience na siyo lazima uwe stressed unaweza kuwa kuwa ecstatic na BADO hii hali ikakupata.
Na wachache naowafahamu waliopitia HALI hii huwa kuna vitu vinaendelea kwenye maisha yao havipo Sawa.
Hiyo shule nishaijua ipo kilwa inaitwa Ilulu girls sio mkuuKwan Kila kinachotangazwa na vyombo vya habar unakiamini? Huyo ni mtu wangu wa karibu na Huwa Sina matani naye kiivyo na hapo alikuwa ananielezea kwann aliondoka Lindi
DuuKwa kifupi nilipoteza fahamu....mpaka rafiki yangu kwa bahati nzuri ambaye pia alikuwa na Lori na anapita njia hiyo aliitambua gari yangu....nikapata msaada hapo ilikuwa ni saa 2 asubuhi....
Mzimu (ghost)
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji2][emoji23]kitendo cha simba kuchukua ngao ya hisani mwaka huu kimefanya nikaamini uchawi upo!