Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Mabati yana kawaida ya kujikunja na kujikunjua kutokana na hali ya hewa joto au baridi... Ni kawaida kusikia sauti.

Then milango yetu hii ya kuunga unga hasa mageti vitasa vyake kujifunga ni kawaida sana ukibamiza...

Tena kama we ulitoka kasi ukauacha ujipige.. hakuna uchawi hapo.

Tufanye kazi
Mkuu njoo Tunduma tukupe nyumba ya kukaa bure tena Gorofa Kama unaweza toboa usiku mmoja
 
Wewe ndio umesema story za uchawi zipo kijijini tu, ila mimi nakwambia hata huku mjini waganga wapo na hao matapeli pia wapo. Uganga ni ujuzi dogo hivyo sio mpaka ukae kijijini ndio uwe mganga wa kweli.

Kama umekaa huko kijijini haya tuelezee jinsi gani uchawi ni kukosa maarifa na vp ni nini hasa hao waganga wa huko hufanya ambacho huonekana ni wa kweli?
Mganga gani kafanya kitu Cha ajabu uamini kuwa uchawi upo. Na unipe evidence...usiniambie cjui miti shamba..nataka kitu ambacho mganga kafanya supernatural yaani
 
Haujaelewa hata nilichokieleza kutokana na upeo wako na nilihisi tu, kipindi cha Corona aliyekuwa rais wa Tanzania wakati huo Magufuli alisisitiza watu kutumia mitishamba kujikinga na corona na kutilia mashaka chanjo za corona, unajua kwa nini watu walisema anapinga sayansi katika kushughulikia ule ugonjwa wa corona?

Science is the systematic study of the structure and behaviour of the physical and natural world through observation, experimentation, and the testing of theories against the evidence obtained.

Sasa mimi napozungumzia mitishamba isiyofanyiwa tafiti za kisayansi wewe unakuja kusema mitishamba ni sayansi.
Bro...,🤣mpaka mitishamba inafanya kazi Tena na Tena na Tena it means ni scientific...hujui process ya science ni Nini...ni kutest reliability ya kitu ..so hamna uchawi hapo...Sayansi we umekariri ya sindano sijui kidonge...hata mitishamba Ina apply laws za science ndo maana Kuna specific herbs for specific diseases huwezi amka Leo ukala embe upone tumbo... Kisa ni tunda tu...haipo hivyo...so bado hujaelezea uchawi unahusikaje
 
Tubishanie nini kuhusu jua kwamba jua ni mungu au si mungu? maana kuna watu wanaanini jua ni mungu.

Wanasayansi wanabishana hadi kama kuna virusi vya ukimwi au hakuna virusi vya ukimwi.
Huyo mwanasayansi anayebisha kua hamna kirusi Cha ukimwi sio mwanasayansi...
 
Mganga gani kafanya kitu Cha ajabu uamini kuwa uchawi upo. Na unipe evidence...usiniambie cjui miti shamba..nataka kitu ambacho mganga kafanya supernatural yaani
Muda wote naeleza hapa kuwa waganga wanashughulika na kutatua shida za watu za kichawi kivitendo ila wewe unadai wanabahatisha sasa unataka niseme nini tena? Wewe si umekaa kijijini ndio maana nikakwambia ueleze hao waganga huko kijijini nao utapeli wao ni wa aina gani huko?
 
Bro...,🤣mpaka mitishamba inafanya kazi Tena na Tena na Tena it means ni scientific...hujui process ya science ni Nini...ni kutest reliability ya kitu ..so hamna uchawi hapo...Sayansi we umekariri ya sindano sijui kidonge...hata mitishamba Ina apply laws za science ndo maana Kuna specific herbs for specific diseases huwezi amka Leo ukala embe upone tumbo... Kisa ni tunda tu...haipo hivyo...so bado hujaelezea uchawi unahusikaje
Duh yani yote niliyoandika bado haujaelewa tu? Mimi nimezungumzia kuwepo mitishamba yenye kujulikana kutibu maradhi ya kibaolojia ila haijafanyiwa utafiti wa kisayansi, hapo sikuzungumzia uchawi sasa nakushangaa umeingiza uchawi.
 
Muda wote naeleza hapa kuwa waganga wanashughulika na kutatua shida za watu za kichawi kivitendo ila wewe unadai wanabahatisha sasa unataka niseme nini tena? Wewe si umekaa kijijini ndio maana nikakwambia ueleze hao waganga huko kijijini nao utapeli wao ni wa aina gani huko?
Wamefanya Nini Cha ajabu
Mi sijaona Cha ajabu walichofanya kusema ni uchawi
 
Duh yani yote niliyoandika bado haujaelewa tu? Mimi nimezungumzia kuwepo mitishamba yenye kujulikana kutibu maradhi ya kibaolojia ila haijafanyiwa utafiti wa kisayansi, hapo sikuzungumzia uchawi sasa nakushangaa umeingiza uchawi.
😁Sawa...so uchawi upo haupo?
 
🤣🤣So unataka tukae tubishane kwamba ukimwi haupo...Ila story za Babu yako za jini ndo za ukweli...Sina huo mda
Hakuna aliyesema hakuna ukimwi bali wanasema ukimwi hausababishwi na virusi vya ukimwi kwa maana hivyo virusi vya ukimwi. Ila tuachane na mada tu dogo.
 
Hallucinations ni uzoefu usio wa kawaida wa kuona, kusikia, au kuhisi vitu ambavyo havipo kimwili au kwenye mazingira halisi.
Halafu tazama sentensi yako sikuwa "stressed kihivyo"
Mkuu analyse mimi binafsi huwa siamini uchawi wala uwepo wa mungu.
Hata mimi hallucinations nisha experience na siyo lazima uwe stressed unaweza kuwa kuwa ecstatic na BADO hii hali ikakupata.
Na wachache naowafahamu waliopitia HALI hii huwa kuna vitu vinaendelea kwenye maisha yao havipo Sawa.
Kumbe hata Mungu huamin
 
Kwa ujinga wko quran zanzibar ndo elimu mama si madrasa si maskuli somo la dini linasomeshwa kila siku kwenye mitaala ya vitabu znz labda ni huko kwenu bara
 
Back
Top Bottom