Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Vitabu vya dini biblia na qurani vimeeleza kuhusu uchawi...
Nimekuambia Usiniletee hizo hekaya....Zina maujinga mengi zimeandikwa na watu ambao hawakujua jua linaenda wapi usiku...so huwezi tumia kitabu hicho Kama evidence... thibitisha uchawi empirically sio kwa hadithi za mababu washirikina...wa kiyahudi na kiarabu
 
mi nasoma tu comment za watu humu wanaosema eti uchawi haupo,watu tushakutana na mengi sana hii dunia....yani kwa kifupi tu ni kwamba
UCHAWI UPO
Upo kwako wewe na wauni wenzako ila kama kitu kipo kipo kwa wote hakibagui...jua lipo mvua ipo Simba wapo ila dragons hawapo malaika hawapo majini hawapo no matter wat u think u see or hear Itabaki akilini kwako na wenzako tu ila huwezi prove chochote
 
Kama hao binashetani wanasumbua hebu weka ndoo ya maji mlango kwenye chumba unacholala hiyo ndio ijae maji hrf simamisha kisu ndan ya maji yaan ile sehem ya ncha iguse maji chin ya ndoo hrf hiyo ndio weka mlangon kwako! Huyo anayejiita mchawi kama hawata mzika bas atajuta kuzaliwa!
 
Kuna mijitu itasema stori
 
Bahati yako ulimuwai kumpush sijui kama angekuwai ingekuweje
 
Hivi ile ndege ya Malaysia kisayansi ilipotelea wapi?
 
Hapo iringa kuna sehemu ina kaburi la mzee nani sijui. Tanesco kila wakijaribu kupitisha line juu umeme ng'ambo ya pili hauwaki.wakileta greda kuhamisha kaburi full nyuki hawajulkani walikotoka. Je nayo ni illucination
 
BASHITE
 
Hivi ile ndege ya Malaysia kisayansi ilipotelea wapi?
We don't know...na kisa me sijui au watu hawajui doesn't mean unaweza kutunga kwamba majini ya uarabuni yaitwao the supernaturals waliiteka nyara kiroho na kupeleka katika dunia ya 7 afu me nikuamini tu kisa Sina majibu ya maswali yako...wat u r doing nikufill gaps in knowledge na superstitious beliefs kisa hujui kitu unasema uchawi...zamani watu walisema ukimwi uchawi ila wakaelimishwa na maambukizi yakapungua...kuamini katika uchawi hautatui tatizo coz hauleti maelezo yoyote kuhusu chanzo na suluhisho la tatizo coz mtu yoyote anaweza jitungia na kusema ni mambo ya kiroho
 
Usituletee novel na hekaya Kama evidence...kitabu hicho kinaamini punda na nyoka anayeongea...dunia ni flat..jua linazunguka dunia na linaweza kusimama..nyota ni ndogo kuliko mwezi na zinaweza anguka duniani...etc.. so Tuletee uthibitisho wa maana
umeandika maelezo mengi yasiyoeleweka sawa na ujinga.
 
Uchawi upo kwa sababu ni asili na jadi ya Muafrika, ila kwa sasa wengi wanapata matatizo ya afya ya akili na kwa kukosa elimu na ufahamu wa jambo hili huishia kuamini kulogwa. Nina mdogo wangu alipata shida hiyo akawq chizi kabisa na tukahangaika sana ila mwisho aliponea hospitali na mpaka sasa anaendelea na dawa ila kwa alivyokuwa na sasa tunasema ni mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…