Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Like seriously 🤔
 
mimi nilitongoza pisi kali TANGA barabara ya 11,nikaenda nae nyumba ya wageni,wakati namwingilia {tulikuwa tumezima taa} nikahisi harufu kali ya mbuzi na ikawa kama nimelalia sufi,nikachoma fasta kuwasha taa nikaona mbuzi kalala kitandani alaf nikasikia bonge la sonyo kutoka darin,nilivaa nguo suruali bila chupi nikatoka nduki kifua wazi!!.....kaunta alibaki kushangaa,mlinzi nae akabaki kunsema,,,hii ndo tanga bhana lazima "jamaa kakutana na kioja"
 
🤣Story za watoto
 
duuuuh!! kumbe kweli haya mambo yapo ee ... pole na hongera kwa kupona
 
Kuna mahali nimeandika huyo aliyerogwa alikuwa Ni mjinga Hana elimu? Mbona unakurupuka kurupuka hivyo?

Sijakuforce uamini nilichokiandika sawa?
It's not real...mbona inawatokea watu wachache na watu wasio na elimu na wenye maisha duni..mbona watu wanazaliwa mpaka kufa na miaka zaidi ya 50 wasione hivi vitu. Au uchawi unachagua wajinga tu
 
Pale mwanza lilipo jengo la NSSF kwa sasa kulikua na bibi anamiliki eneo hilo yule bibi alikataa kutoka eneo hilo kupisha ujenzi pamoja jitihada zote za kumubembeleza zilishimdikaana ikabidi watumie nguvu huwezi amini bulldozer, excavator, wheel loader zote zilishishindwa kuvuja nyumba ya yule bibi inakitoka huko ikiwa nzima ikifika pale inapata breakdown kufupisha story yule bibi walimkalisha chini na kumsihi sana ndio akakubali nnacho kwambia sio story ya kusikia nlikua Mwanza miaka hio kaulize hio story

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 

Najua hii ingeenda viral share nami link ya video nikaangalie.

Halafu watu wangapi wamevunjiwa kwa kutolewa kwa nguvu na pesa wengine hawakulipwa na hatujasikia hizo stori? Unafikiri kungekuwa na mechanism ambayo inaweza kuzuia jambo kama hilo wangapi wangezuia?
 
Hauja ijua dunia, sijui umri wako ila nahisi bado mdogo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Tuletee huyo mtu aliyefanikiwa kisa uchawi.
Maana tunafahamu uchawi ni vitu vya maajabu ajabu ambavyo kwangu ni stori tu na huwezi thibitisha.
Ok, tuletee mtu yoyote duniani ambaye yuko na mafanikio makubwa kwa ajili ya uchawi.
Ukianza kusema diamond mchawi, au bill gates au elon musk tutakukatalia maana hao wote wanafanya kazi kwa juhudi kubwa hivyo wote hao wana kamilisha kanuni za kiuchumi kama vile ni biashara BAsi ina

.ku embrace technology, innovation na creativity,
. customer satisfaction
.risk na uncertainties
Buying and selling

Embu tupe mfano wa mtu ambaye kafanikiwa kwa uchawi?
 
Kama upo mjini. Nenda pale mbuyuni, kama unaenda salender bridge ukaambiwe story ya ule mbuyu
 
Dahh, Still unaeza fanya jambo mkuu, ila hilo jambo mshirikishe Mungu.
 
Inge enda viral bila social media? miaka ya mwanzoni 2000 kulikua story ni magazeti na radio

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hao uli mention una lala nao 24 hours unajua behind their backs? kama umeamua kukataa hata nikitaja utaleta ubishi tufanye umeshinda

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Inge enda viral bila social media? miaka ya mwanzoni 2000 kulikua story ni magazeti na radio

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Ok hiyo ni stori YAKO binafsi ILI ku justify stori yako.

Halafu mimi nilikuwa nazungumzia hallucinations na entoptic phenomena, wewe umeleta stori za kufikirika sijajua point yako ilikuwa ni nini.
 
Hao uli mention una lala nao 24 hours unajua behind their backs? kama umeamua kukataa hata nikitaja utaleta ubishi tufanye umeshinda

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kulala nao 24hrs ni maneno yako si yangu.
Nimesema wanafanya kazi kwa juhudi, sidhani kama diamond, hamronize wanalala tu halafu asubuhi wanakuta nyimbo zipo utube zinaenda viral.

sina la nyongeza zaidi ya kukubali kushindwa kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…