ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hio story haina relation na unacho ongea ila nlitaka kukujulisha nguvu za giza zipo ambayo ni sayansi pia ila haipo kwenye vitabu ulivyo soma weweOk hiyo ni stori YAKO binafsi ILI ku justify stori yako.
Halafu mimi nilikuwa nazungumzia hallucinations na entoptic phenomena, wewe umeleta stori za kufikirika sijajua point yako ilikuwa ni nini.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app