Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nenda bac..ulaya makanisa yanageuzwa bar club restaurant kisa watu hawaendi...huku Africa watu ndo wanatajirika na makanisa kisa watu wajinga na Washirikina. Nimekuambiaje Halloween ipo kwa sababu ni tradition. Jamii zao ziliamini uchawi ndio..Ila saa hivi ni fun tu. Ni kama kujikumbushia. Ndo maana watoto wanavaa nguo za mavampires, na vingine kutishana for fun. Ila hawaamini. [emoji1787]Kama unabisha Wikipedia Halloween. Mtu hujui Halloween ni Nini afu unapiga kelele. Yaani ni kama Valentine's day tu, ni siku fulani special kwa ajili ya tradition fulani
Unafahamu kama kuna mji una wachawi watupu huko ujerumani ? na wana mpaka mashindano yao ya kuonyesha ubora wa uchawi wao,, raia wote walihama wamewaachia hao wachawi waishi peke yao, Hao waliohama kwanini wamehama ? Unasema hawaamini hivi tukuelewaje ndugu ? Na hii taarifa ni ya juzi tu hapa hata siku tano hazijapita
 
Alafu kuhusu Hallowen wao wanakwambia wanajivunia uchawi wewe unasema wao hawaamini kuhusu uchawi, tukuamini wewe au wahusika wenyewe ? [emoji23]
Screenshot_20230916-111946.jpg
 
Muulize ana uthibitisho gani wa hizo story. Yaani hizi story Kama una akili timamu utaskia tu Mara huyu katokewa na Nini unajiuliza mbona hayakutokei kumbe ni vitu ndani ya fikra tu. Uchawi ungekuwepo watu wote wangeuona, kwa Nini Wanaona watu wachache Tena watu ambao ni duni na wasio na elimu ya mazingira na Sayansi. Ni rahisi kufikiria kitu ni uchawi Kama hukielewi, ni rahisi kuona mauza uza Kama ndo kitu ambacho kinajazwa akilini kwako na watu unaoishi.
kmmk ulivyo libishi haki ningekua mchawi nngekuchezesha segere siku tatu bila kupmzka...kwamba ww umesoma science sana kuliko wengne ama acha ubishi..si kila kitu cha kubisha mkuu hajajaliwa kuona au kupatwa na tukio tlia..ila uchawi upo amini usiamini.
 
kmmk ulivyo libishi haki ningekua mchawi nngekuchezesha segere siku tatu bila kupmzka...kwamba ww umesoma science sana kuliko wengne ama acha ubishi..si kila kitu cha kubisha mkuu hajajaliwa kuona au kupatwa na tukio tlia..ila uchawi upo amini usiamini.
🤣Kama kitu kipo si mtuonyeshe sio mnaona kwenye imagination zenu tu mbona hatubishani kuhusu uwepo wa jua
 
Muulize ana uthibitisho gani wa hizo story. Yaani hizi story Kama una akili timamu utaskia tu Mara huyu katokewa na Nini unajiuliza mbona hayakutokei kumbe ni vitu ndani ya fikra tu. Uchawi ungekuwepo watu wote wangeuona, kwa Nini Wanaona watu wachache Tena watu ambao ni duni na wasio na elimu ya mazingira na Sayansi. Ni rahisi kufikiria kitu ni uchawi Kama hukielewi, ni rahisi kuona mauza uza Kama ndo kitu ambacho kinajazwa akilini kwako na watu unaoishi.
Itafute clip fulani, Magufuli alikua anaelezea changamoto alizokutana nazo sumbawanga wakati wa kujenga daraja kipindi ni waziri
 
Kwan Kila kinachotangazwa na vyombo vya habar unakiamini? Huyo ni mtu wangu wa karibu na Huwa Sina matani naye kiivyo na hapo alikuwa ananielezea kwann aliondoka Lindi
Hata hivyo anajisahaulisha makusudi, Si mara nyingi tu millard ayo anaripoti matukio yanayohusiana na uchawi, Kama ile la mwaka jana kigoma
 
Hujanithibitishia mtu aliyefanikiwa kwa uchawi.
Hii point yako imethibitisha wewe ni mtoto unaweza ukawa ni mkubwa kiumri ila bado ni mtoto sana
Mafanikio ni siri hakuna anayekuambia exactly ndo maana fuata njia za aliyefanikiwa uone kama na wewe utafanikiwa ni ngumu

Ukisoma historia ya ulaya zaman walikua wanasheria kabisa za kuua wachawi
Hata lord of the ring moja ya vitabu vilivyouza sana asilimia kubwa vimeelezea mambo ya kichawi

Ukisoma historia ya shakespeare kipindi chake kulikua na mambo ya kichawi sana sasa unavyosema uchawi haupo unashangaza sana
Mimi sikujui ila kwa replying zako inaonesha bado huyajui maisha
 
Hata hivyo anajisahaulisha makusudi, Si mara nyingi tu millard ayo anaripoti matukio yanayohusiana na uchawi, Kama ile la mwaka jana kigoma
Kuna watoto wamezaliwa dar wamesoma hizi shule za kingereza na bado yuko shule na hajawahi jichanganya na watu wengine mtu kama huyo sio tu uchawi atakubishia hata swala la kupasua kuni halijui
 
Sayansi ya darasani si ndo asilia....we mbona una dharau elimu yako ..unadhani serikali ni wajinga kukuwekea Sayansi mpaka form 2...afu bado unatoka mjinga mshirikina. Ukisoma Sayansi ya darasani ukaielewa(sio ili ufanye mtihani upate cheti) utaelewa mambo mengi ya dunia. Tatizo hufatilii
Kama sayansi ni rahisi kama unavyotaka kutuaminisha wewe umevumbua nini kwenye ulimwengu wa sayansi

Unadhani sayansi ni kukariri mavitabu na kupata A kwa fikra hizo unasafari ndefu sana
 
Itafute clip fulani, Magufuli alikua anaelezea changamoto alizokutana nazo sumbawanga wakati wa kujenga daraja kipindi ni waziri
Story, na yeye anajua wabongo wajinga ndo maana aliombea corona iondoke ili kusiwe na lockdown na wajinga mkaamini hamna corona kumbe watu wanakufa
 
Hata hivyo anajisahaulisha makusudi, Si mara nyingi tu millard ayo anaripoti matukio yanayohusiana na uchawi, Kama ile la mwaka jana kigoma
Anasema kwamba ni uchawi au anasema jamii hiyo inahusisha uchawi? Unavyotoa example hio ni sawa na kusema anaamini zumaridi kaenda mbinguni eti kisa kaminterview
 
Hii point yako imethibitisha wewe ni mtoto unaweza ukawa ni mkubwa kiumri ila bado ni mtoto sana
Mafanikio ni siri hakuna anayekuambia exactly ndo maana fuata njia za aliyefanikiwa uone kama na wewe utafanikiwa ni ngumu

Ukisoma historia ya ulaya zaman walikua wanasheria kabisa za kuua wachawi
Hata lord of the ring moja ya vitabu vilivyouza sana asilimia kubwa vimeelezea mambo ya kichawi

Ukisoma historia ya shakespeare kipindi chake kulikua na mambo ya kichawi sana sasa unavyosema uchawi haupo unashangaza sana
Mimi sikujui ila kwa replying zako inaonesha bado huyajui maisha
Kwa sababu biblia imesema wachawi wauliwe na ndo maana walikuwa wanachomwa moto ila saa hivi wenzako wamekuwa kifikra wanatengeneza madawa marocket kila kitu mchawi umebaki wewe tu mjinga na maskini
 
Kama sayansi ni rahisi kama unavyotaka kutuaminisha wewe umevumbua nini kwenye ulimwengu wa sayansi

Unadhani sayansi ni kukariri mavitabu na kupata A kwa fikra hizo unasafari ndefu sana
🤣Mi sio mwanasayansi. Sio lazma niwe Toyota ili nielewe kwamba gari linatumia physics kuenda na sio miujuza. Ila ukimfata Musa saa hivi ukamwonyesha gari linaenda au ndege inapaa ataona ni uchawi. That's the point, hujui kitu unaona ni miujiza wenzako Wanaona ni science tu
 
🤣Mi sio mwanasayansi. Sio lazma niwe Toyota ili nielewe kwamba gari linatumia physics kuenda na sio miujuza. Ila ukimfata Musa saa hivi ukamwonyesha gari linaenda au ndege inapaa ataona ni uchawi. That's the point, hujui kitu unaona ni miujiza wenzako Wanaona ni science tu
Sawa sijui kitu we unayejua umefanya nini hata ukifa utakumbukwa na vizazi vijavyo
 
Kwa sababu biblia imesema wachawi wauliwe na ndo maana walikuwa wanachomwa moto ila saa hivi wenzako wamekuwa kifikra wanatengeneza madawa marocket kila kitu mchawi umebaki wewe tu mjinga na maskini
Hakuna sehemu iliyosema wachawi wauliwe huu ni uongo mwingine
Nionyeshe huo mstari kwenye biblia unaosema wachawi wauliwe
 
Hakuna sehemu iliyosema wachawi wauliwe huu ni uongo mwingine
Nionyeshe huo mstari kwenye biblia unaosema wachawi wauliwe
Soma biblia Kuna verses inasema kuhusu kustone witches usianze kunipotezea mda nianze kutafuta na verse nitumie screenshot na usifungue soma dini yako uijue kabla hujaropoka
 
Back
Top Bottom