Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Bac baki nao huko usiseme kitu ni real kama hakipo kwa kila mtu
Acha porojo, Hiyo sentensi ungeiweka hivi "usiseme kitu hakipo wakati ni real kipo kwa watu wengine"


Cha kukuongezea ni kwamba, Dunia ina vitu vingiiii sanaa, pengine kati ya vyote unavyovijua havifiki hata 1% kati ya 100%.

Punguzeni ujuaji mfahamu mambo mengi.
 
Acha porojo, Hiyo sentensi ungeiweka hivi "usiseme kitu hakipo wakati ni real kipo kwa watu wengine"


Cha kukuongezea ni kwamba, Dunia ina vitu vingiiii sanaa, pengine kati ya vyote unavyovijua havifiki hata 1% kati ya 100%.

Punguzeni ujuaji mfahamu mambo mengi.
Ndio hatujui vitu vingi, that doesn't give u an excuse kutunga vitu akilini mwako na utuambie vipo
 
Ndio hatujui vitu vingi, that doesn't give u an excuse kutunga vitu akilini mwako na utuambie vipo
Tangu mwanzo nakwambia wewe lengo lako ni kubishana, Sisi tunakwambia hayo mambo yapo, Na ili kujihakikishia nmekwambia mpaka sehemu ambayo itakua rahisi zaidi kupata ufumbuzi wa hilo swala ili ujue lipo au halipo,

Mtu mwenye nia ya kweli na ana akili zake timamu na yupo serious kufahamu hilo jambo ili ajue kama lipo au halipo angekua ameshafuata maelekezo na mrejesho umeletwa hapa....

Umeenda Gamboshi ukakuta ni mambo ya kujitungia kichwani ?
 
Tangu mwanzo nakwambia wewe lengo lako ni kubishana, Sisi tunakwambia hayo mambo yapo, Na ili kujihakikishia nmekwambia mpaka sehemu ambayo itakua rahisi zaidi kupata ufumbuzi wa hilo swala ili ujue lipo au halipo,

Mtu mwenye nia ya kweli na ana akili zake timamu na yupo serious kufahamu hilo jambo ili ajue kama lipo au halipo angekua ameshafuata maelekezo na mrejesho umeletwa hapa....

Umeenda Gamboshi ukakuta ni mambo ya kujitungia kichwani ?
Bac we nenda Perth Australia ukamwone ng'ombe anapaa
 
Kwetu vijijini Kuna mzee aliangusha kibunda chake Cha pesa na akajua mtu aliyeziokota.Mzee alimwambia huyo jamaa Kama hataki nongwa amrudishie tu hela zake Jamaa akamkatalia kbsa akasema hakuokota pesa yoyote.

Mzee aliamua kuachana naye ila kabla ya kuondoka alimwambia atapata majibu.Aisee kilichomkuta huyo jamaa aliyeokota pesa huwezi amini.Alifiqa na wanawe 2 pamoja na mjukuu mmoja chini ya Mwezi mmoja.
Duuuh [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
 
Wakuu mnapoteza muda kubishana na madogo waliokuwa brainwashed na sayansi i ya mzungu, hapo wamefunga Shule wapo kwa mama zao wanasubiri ugali wa shkamoo, hawajatembea mikoa ya watu kujionea. Nashauri mngewaacha na upumbavu wao ipo siku watakutana navyo.
Kiufupi hii mada ni out of their mental scope, bado hawajaunlock the specific part of their brain consciousness yakuwawezesha kuona beyond the naked eyes, kwa hiyo hili swala la uchawi japo mi napenda kuliita 'energy manipulation' its beyond their reality.
Hakuna binadamu ninayemdharau na kumuona fala kama hawa wasomi waliopofushwa na story za wazungu kuhusu sayansi, ni miongoni mwa watu wenye low level thinking capacity, na hata darasani huwa wanajifanya wajuaji lakini huwezi kuwakuta miongoni mwa wanafunzi wanaosifiwa kuwa na akili.
Wenye akili za kuzaliwa kwanza by nature wanazaliwa tayari wakiwa talented yaani kuna part za ubongo zishakuwa unlocked tangu wakiwa wa dogo, wanakuwa na uwezo wa kuona vitu visivyoonekana kwa macho ila huwa wananyamaza kuogopa kuonekana watu waajabu au kuhisiwa wamedata.
Tofauti na hawa madogo walioangalia muvi za NASA na vidocumentary uchwara vya youtube huwa wanajiona wafuasi wakuu wa sayansi ila kumbe ni illusion zao tu za ushamba wa jinsi natural forces zinavyofanya kazi they have no clue at all, nashauri tuendelee kupeana visa visanga hawa madogo tuwapuuze wakikua wataelewa.
Ni sawa na mtoto mdogo anazaliwa hajui kuongea lakini baada ya muda anajua na kuweza kuinteract na jamii. Hawa inaelekea kuna parts za ubongo wao zimekuwa underdeveloped hivyo si rahisi kuyaona mambo wanayoyaona watu talented by birth. Jiulize isingekuwa shule hawa wangekuwa watu wadesign gani kwenye jamii, wasingeweza kutumia akili za kuzaliwa kusolve matatizo yao hivyo ni either wangeishia kuwa tabaka la watumwa au wangeperish away within few days.

Nimesoma PCM ila story za sayansi za mzungu naziona mavi kama nnavyowaona wafuasi wa story hizo.
Ila naamimi pia JF wanapaswa kurekebisha section ya reply. Hii topic ilikuwa nzuri sana lakini tunalazimika kuscrow replies for too long 80+ pages za watu wanabishana tu, what the heck!. Wangeweka view kama ya instagram, hawa wanaoendelea kubishana wabaki section/page moja. Unayetaka kusoma new idea, new comments uziruke hizi za kubishana bila kufikia muafaka na unayetaka kuwasoma au kuchangia unaweza kujoin hiyo category.

Having said so, nakubaliana na maelezo yako kuwa wanaojifanya atheists likely ni vitoto vya jana tu vinavyoamini theory of evolution na vimekaririshwa shuleni. The world and the universe is too massive and complex to be explained kirahisi namna hii. Wangesoma na kuamini biblia kwa mfano, wasingekomaza shingo.
 
Ila naamimi pia JF wanapaswa kurekebisha section ya reply. Hii topic ilikuwa nzuri sana lakini tunalazimika kuscrow replies for too long 80+ pages za waru wanabishana tu, what the heck!. Wangeweka view kama ya instagram, hawa wanaoendelea kubishana wabaki section/page moja. Unayetaka kusoma new idea, new comments uziruke hizi za kubishana bila kufikia muafaka na unayetqka kuwasoma au kuchangia unaweza kujoin hiyo category.

Having said so, nakubaliana na maelezo yako kuwa wanaojifanya atheists likely ni vitoto vya jana tu vinavyoamini theory of evolution na vimekaririshwa shuleni. The world and the universe is to massive and complex to be explained kirahisi namna hii. Wangesoma na kuamini biblia kwa mfano, wasingekomaza shingo.
🤣Mbona hujaamini Quran. All ur doing is appealing to tradition..alichoamini Babu yako ambayo hata internet na technology ya Sasa haijui unataka na sisi tuamini. Hatujasema Mungu hayupo, mada ni uchawi, it's not real ni vitu vya akilini na vinatokea watu according to namna walivyokua katika tamaduni zao ndo maana wazungu Wanaona vampires na aliens wewe unaona mizimu etc it's subject to culture. Hamna mtu anaona jua ni boksi au blue coz everyone can see it and we know it's real ..Kama huna evidence ya kuprove uchawi Kaa kimya usiseme sijui utoto cjui evolution, we evolution ingekuwa uwongo ungefundishwa darasani mbona vipo katika syllabus na why evolution tu iwe lies afu everything else umesoma ni kweli...🤣kisa inapingana na kitabu alichokukaririsha Babu yako ...grow up na jifunze kubadilisha mtazamo into the reality of the universe
 
Jamani kama huamini uchawi upo embu tulia basi usiharibu uzi.Kutwa kushupalia kila story ya kila mtu alf mtu mwenyew unakuta kazaliwa mjini na kakulia mjini ila unavyokomaza shingo utadhani unajua kila kitu.Huamini tulia hulazimishwi acha watu waandike story zao mnaharibu uzi!
Setting mbaya ya JF, tunalazimika kusoma conversations ambazo wangezipanga vizuri ingekuwa rahisi kuziruka. Na dhana nzima ya JF ni comments, why watuwekee thread isiyo rafiki kiasi hiki? Fanyeni modification ya comment section bwana, yuko can do better than this. Post nzuri ila haisomeki, yamejaa mareply tu.
 
Ila naamimi pia JF wanapaswa kurekebisha section ya reply. Hii topic ilikuwa nzuri sana lakini tunalazimika kuscrow replies for too long 80+ pages za waru wanabishana tu, what the heck!. Wangeweka view kama ya instagram, hawa wanaoendelea kubishana wabaki section/page moja. Unayetaka kusoma new idea, new comments uziruke hizi za kubishana bila kufikia muafaka na unayetqka kuwasoma au kuchangia unaweza kujoin hiyo category.

Having said so, nakubaliana na maelezo yako kuwa wanaojifanya atheists likely ni vitoto vya jana tu vinavyoamini theory of evolution na vimekaririshwa shuleni. The world and the universe is to massive and complex to be explained kirahisi namna hii. Wangesoma na kuamini biblia kwa mfano, wasingekomaza shingo.

Wengi elimu imewaharibu
 
Nipo wilaya ya Mbarali ambapo shughuli kuu ni kilimo Cha mpunga. Ekari Moja ukiihudumia vzuri kabisa inaweza kukutolea gunia 25-28 za debe Tisa. Ila Kuna miamba inakutolea Hadi 40 ukizingatia kwamba kanuni za ulimaji ni zile zile hakuna mpya Yani unachofanya wewe na Mimi nafanya vilevile au kukuzidi kabisa.
Mara nyingi Hawa jamaa unakuta wanakuwa wa mwisho kutoa mazao Yao shambani, mtatoa woooote yeye anakuwa wa mwisho. Hii kitu sikuwahigi kuielewa but ukiwaza vizuri unaona kabisa kwamba Kuna namna nyuma ya pazia, nayo ni hallucination??

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hii rahisi anasubiria zikomae nynyi mnakurupuka
 
Back
Top Bottom