babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Ushawahi kuona wewe mabati yanapaa angani yanakatiza ukizubaa yanakula kichwa😅😂😂😂Enzi hizo watu walikuwa wanafufuliwa na jua lilikuwa linasimamishwa au sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi kuona wewe mabati yanapaa angani yanakatiza ukizubaa yanakula kichwa😅😂😂😂Enzi hizo watu walikuwa wanafufuliwa na jua lilikuwa linasimamishwa au sio
😂😂 Vitisho vyenu nishavizoea...acheni kutisha watu na wewe usitishwe na vitu vya kufirika we sio mtotoAm not among them..bt i do believe uchawi upo.. siku yakikukuta usije ukaja kutulilia hapa..
😂Na utumwa umeruhusiwa kwenye both bible na QuranYani mbaya zaidi na vitisho juu yaani waliwamaliza mababu zetu na mabuduki na kuwatumikisha kama punda, wakaona haitoshi wakaleta vitishio vya moto mara jehanam.
Mungu yupi?We kama sio illuminant basi unatumia nguvu za kiruminant ambazo zimekupofusha macho yako usitambue uwepo wa Mungu licha ya uwepo wa supernatural creatures.
Sasa inaonesha umepotea zaidi maana hata washilikina wanaamini kuna nguvu zaidi yao itokayo kwa Mungu.
Sio lazima leo uamini ila nakuombea siku ukipata mwanga wa kuona nuru ya uwepo wa Mungu basi mgeukie Mungu haraka isije ikafika siku ya kiama bado hujatubu dhambi zako.
😂StoryUshawahi kuona wewe mabati yanapaa angani yanakatiza ukizubaa yanakula kichwa😅
Ufahamu wetu mdogo katika masuala ya roho ni sawa na falsafa ya Astria ya shimo iliyoelezwa Wayunani wa kale.We kama sio illuminant basi unatumia nguvu za kiruminant ambazo zimekupofusha macho yako usitambue uwepo wa Mungu licha ya uwepo wa supernatural creatures.
Sasa inaonesha umepotea zaidi maana hata washilikina wanaamini kuna nguvu zaidi yao itokayo kwa Mungu.
Sio lazima leo uamini ila nakuombea siku ukipata mwanga wa kuona nuru ya uwepo wa Mungu basi mgeukie Mungu haraka isije ikafika siku ya kiama bado hujatubu dhambi zako.
Mm yameshanikuta na dio maana nakutahadharisha.. be warned..!😂😂 Vitisho vyenu nishavizoea...acheni kutisha watu na wewe usitishwe na vitu vya kufirika we sio mtoto
😂HayaMm yameshanikuta na dio maana nakutahadharisha.. be warned..!
Na hata ilo jiwe batini ni kawaida kuna wakati mawe huanguka kutokea juu hiyo ni ishara ya mvua, tuache imani potofu [emoji846]Mabati yana kawaida ya kujikunja na kujikunjua kutokana na hali ya hewa joto au baridi... Ni kawaida kusikia sauti.
Then milango yetu hii ya kuunga unga hasa mageti vitasa vyake kujifunga ni kawaida sana ukibamiza...
Tena kama we ulitoka kasi ukauacha ujipige.. hakuna uchawi hapo.
Tufanye kazi
Kumfundisha mjinga ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.. don't waste ur energy plz..Hakuna ujinga wowote hapo hiyo ni real story nimeshare tu.
Tatizo nyie vitoto mmezaliwa mwaka 2015+
Hamuwezi kuelewa hayo mambo.
Mkishashika vismartphone vyenu basi mnaona ndo mwisho wa dunia.
Mnaishia kutingisha vitako vyenu vichafu hivyo.
😂Babu Christmas yupo uamini au usiamini Hilo ni weweUchawi upo ,uamini au usiamini hilo ni wewe.
So sisi ni wajinga for not believing katika makatuni na story za kufikirikaKumfundisha mjinga ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.. don't waste ur energy plz..
Hivi unaijua definition ya mjinga?So sisi ni wajinga for not believing katika makatuni na story za kufikirika
Ndio nn sasa, em rudia kusoma ulichoaandikaJana usiku wakati nataka kulala nilishangaa kuona sura yangu inatolewa yaani nasikia mtu kichwani ananiamsha leejack hamka Kuna mchawi anataka kuchukua sura yako kichawi
Nikashangaa Kwa kua Mimi ni Muslim nikaamka nikasoma Dua nikalala Ile nimelala tuu Ile hali ikajirudia tena safari hii nilisikia maumivu makali usoni Hadi baada ya kuamka maumivu Yale yaliendelea kudumu Kwa muda mpaka asubuhi kulivyokucha
Uchawi upo katika imani na mungu yupo katika imani na ndio maana anaeamini mungu nilazima aamini shetani,Uchawi upo ,uamini au usiamini hilo ni wewe.
Hujaelewa Nini hapoNdio nn sasa, em rudia kusoma ulichoaandika