Kitu hiki kimoja unachokosa ndiyo kitakachokuzuia usipate mafanikio makubwa

Yaani kwa namna ulivyoandika tu inaonekana hio kichwa Ni empty set,Bora muda wa kubishana na wewe nikapige Puli.
 
Ndugu Makirita Amani achana na huyo mpuuzi anayejifanya anajua sana kumbe hana alijualo. Anavunga ana mafanikio kumbe pengine hata nyumba ya kulala inayofanana na banda la njiwa hana.Hapa JF kila mtu anajifanyaga ana mafanikio.

Wewe sijaona kosa lako.Yeye kama anaona andiko lako halimsaidii apite kushoto aache wengine wahangaike nalo.Achana na huyo mpuuzi.
 
Kuna wengine wanatka kushirikisha watu wengune kwenye mambo mema.
Hiyo kuuza ni kulipia gharama za vitendea kazi na kumwezesha apate shibe na huduma zingine za msingi za kibinadamu.
Siyo kweli mkuu, none is here for you my friend, you're on your own. By the way umejibu kiungwana na kibusara sana. [emoji106]
 
Hakuna kitu cha bure ... ametumia muda wake , nguvu zake , akili yake alafu akupe BURE... kila mtu anatakiwa alipwe kwa anachokifanya kwa wengine ... it’s what its

Universal Law
 
Angalau njia za Mshana Jr ndiyo ziko practical zaidi...

Hizi za kwako ni porojo tuu, narudia ni porojo tuu...

Kwa sababu kubatizwa ni jambo moja na kuuishi ubatizo ni jambo jingine kabisa ambalo lina vikwazo lukukii....

Unforgettable
 
Ni kweli kabisa maarifa mengi yamefichwa kwenye vitabu ila sio kila kitabu kina maarifa ndani yake..

Unforgettable
 
Naona watu wamekariri tu "eti ukiitwa kwenye fursa ujue wewe ndo fursa" zaidi ya hapo hajui kitu kingine

basi hamna shida utajiri huo ktk kitabu cha bwana makirita aman[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna kitu cha bure ... ametumia muda wake , nguvu zake , akili yake alafu akupe BURE... kila mtu anatakiwa alipwe kwa anachokifanya kwa wengine ... it’s what its

mimi sijasema kuna kitu cha bure.

nakazia hapo kwenye utajiri katika vitabu,bila shaka mleta mada amevisoma vizuri sana.
 
Karibuni kupata kitabu,
Kinakupa mwongozo sahihi wa kuishi maisha ya kweli kwako badala ya kuiga maisha ya wengine.
Na eneo la kwanza kuwa mkweli kwako ni kwenye maana ya mafanikio.
Wengi wanahangaika na maana za mafanikio ambazo siyo zao, mwisho hata wakifikia hayo wanayoambiwa ni mafanikio, bado ndani yao wanajiona watupu.
Usiendelee kupoteza muda na maisha yako kwa kuhangaika na maana ya mafanikio isiyo sahihi kwako.
Pata leo kitabu cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO ili ujue maana sahihi ya mafanikio kwako na uifanyie kazi.
Wasiliana na 0752 977 170 kupata kitabu chako leo.
 
Na wewe usiposoma ukabaki na ufukara wako kutakua na tatizo mkuu? Kwanini kila mmoja asishike hamsini zake?
Kwani mimi ni fukara mkuu? Kwanin umeniita hivyo ndugu?
 
Ukute upo kwa mama yako umejilza miguu imepauka unasubiri kula,hakuna mmiliki wa gari yenye c.c 4000 ,mwenye akili ndogo na tambo kama zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…