Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Sasa hivi wachagga ni daraja la mwisho kabisaaaa. Wala hatuumizi kichwa tena
They will remain first class like it or kill yourself... Remember it's the brain that matter, once you have it no one can take it from you... Utaswaga ng'ombe sanaaaaa...
 
Sijui unaota mchana ? Kuna sehemu yoyote kanda ya Ziwa yenye wakazi kiduchu ? Pole sana.
Serekali iwapaie eneo kule Chato wakachangamshe na kule pia naona chato kuna eneo kubwa sana na wakazi kiduchu sana
MTOA MADA AMEANDIKA VITU TOFAUTI KABISA KWA JINSI NILIVYOMSIKILIZA KIMEI
 
Utakuwa mtoto wa 90's wewe tena ni late 90's sio Earl 90's nakushauri rudi kajifunze kuhusu wachagga walioko katavi (wakati huo ni sehemu ya mkoa wa Rukwa) I never argue with children!
We siyo mtoto ni mpumbavu, awali ulisema Rukwa sasa unasema Katavi: Nakuelimisha, wakati wachaga wanahamishiwa Moanda katika Kata ya Mwese hapakuwa na mkoa wa Rukwa wala Katavi, ulikuwa mkoa wa Tabora. Ungekuwa unataka kuelewa naweza hata kukusomesha wachaga waliohamishiwa huko walitoka kata ipi na kwasababu gani walilengwa wao
 
Tuache chuki za kikabila na wivu usio na msingi, na we we omba ardhi kama unaitaka kwani ni dhambi?! Threads kama hizi za kipuuzi sijui kwani ni mods wanaziacha!
Thread hii ni muhimu, hoja iko bungeni, ngoja tusubiri majibu ya serikali
 
warundi zaidi ya laki moja waliopewa uraia na kikwete walipopewa ardhi ilikuwa sawa
Hiyo ardhi wamepewa wapi!?; You are not informed au unaandika tu. Hujui kuwa bado serikali haijaamua hawa watu waishi wapi!?
 
wewe kweli wa jana. kwa taarifa wachaga waliwahi kuhamishiwa handeni, mpanda, kilosa nk. wakati wa awamu ya kwanza ili kuondoa msongamano. Haijaleta ubaguzi wowote na wamechanganyikana na wenyeji wao. Watu wa sasa ndio wabaguzi. NENDA HUKO UKACHUNGUZE
Kwa taarifa yako nia haikuwa kupunguza msongamano kama ulivyoaminishwa. Lengo lilikuwa kuipunguza nguvu jamii ile, ambayo bila kudhibitiwa ingeleta usumbufu kiutawala.
 
We siyo mtoto ni mpumbavu, awali ulisema Rukwa sasa unasema Katavi: Nakuelimisha, wakati wachaga wanahamishiwa Moanda katika Kata ya Mwese hapakuwa na mkoa wa Rukwa wala Katavi, ulikuwa mkoa wa Tabora. Ungekuwa unataka kuelewa naweza hata kukusomesha wachaga waliohamishiwa huko walitoka kata ipi na kwasababu gani walilengwa wao

Huna hukijuacho, unaokoteza maneno na kujifanya mjuaji fake,

Ungetaka kuelimishwa ungeshaelimika lakini kwa kuwa unakumbatia ujinga wako basi endelea nao,

Wachagga waliopelekwa Morogoro, Tanga na Rukwa, ambayo kwasasa ni mkoa mpya wa katavi kuna eneo la mto unao aminika maji yake ukinywa yanasababisha kupatikana kwa mapacha, pengine ulikuwa ujazaliwa umesimuliwa tu! Tena ulikuwa unapotosha kuwa walipelekwa kwa nguvu! Hoja yako hii sijui imefia wapi?! Umechange gear angani unakuja na hoja ya mkoa!

Hoja ni kwamba walishawahi kuomba ardhi miaka ya 70's na walipewa na Rais wa wakati huo, na hakukuwa na shida! Kwanini Leo wakiomba iwe nongwa ?! Tujadili hoja!
 
Thread hii ni muhimu, hoja iko bungeni, ngoja tusubiri majibu ya serikali

Umuhimu upi kwajinsi mleta Mada alivyoiwasilisha anaonekana kabisa anaongozwa na mihemko ya chuki za kikabila,

Hoja haina mashiko yoyote, kama alishapewa facts kwamba huko nyuma waliwahi kuomba na kupewa maeneo na mwl Julius kambarage nyerere why not now wakiomba mtu atoke povu?! Tuache kuleta hoja za kitoto zilizojaa chuki na wivu wakikanda na kikabila katika mambo ambayo yalishafanyika na hakukuwa na athari yoyote! Hao ni watanzania wanahaki ya kuomba kupewa ardhi na kuishi popote unless uwe na agenda yako ya siri,
 
Miaka ya 70 mwalimu Nyerere alitaka Wachaga wahamie kwingineko ili wasiharibu Mlima Kilimanjaro Kwa kutafuta makazi. Hii ilipelekea wapewe ardhi Morogoro na kwingineko.

Kabisa mkuu, Sasa kuna watu kwa kuto kujua historia au kwa chuki zao binafsi wanaleta mada mfu kama hizi, hawajisumbui hata kujifunza historia ya nchi yao!

Leo anaona ajabu sana watanzania wenzake kuomba ardhi kwenye nchi yao, wakati wakimbizi wa Burundi zaidi ya laki moja walipewa ardhi na uraia kule Rukwa na Katavi, wakimbizi wasomalia maelfu walipewa ardhi na uraia kule Tanga, wapigania Uhuru wa nchi za kusini mwa afrika walipewa ardhi Morogoro na Dodoma,

Lakini watanzania wenzao kuomba ardhi kwaajili ya kilimo na makazi ni nongwa!
 
Anataka New Vunjo in Manyara, Mbeya, Tabora
so lazima,kwani hifadhi ya msitu msitu Kilimanjaro ina kilometa ngapi za mraba,je sehemu ya maili moja wakipewa wananchi kutakuwa na shida,athari.labda alimaansha hiyo.
 
Ngoja niwasaidie, mkoa wa Rukwa wakati unaanzishwa uliundwa na Wilaya mbili ambazo ni Sumbawanga iliyokuwa mkoa wa Mbeya na Mpanda iliyokuwa mkoa wa Tabora na mkoa huo pamoja na Lindi na Dar es Salaam ilianzishwa mwaka 1974
Huna hukijuacho, unaokoteza maneno na kujifanya mjuaji fake,

Ungetaka kuelimishwa ungeshaelimika lakini kwa kuwa unakumbatia ujinga wako basi endelea nao,

Wachagga waliopelekwa Morogoro, Tanga na Rukwa, ambayo kwasasa ni mkoa mpya wa katavi kuna eneo la mto unao aminika maji yake ukinywa yanasababisha kupatikana kwa mapacha, pengine ulikuwa ujazaliwa umesimuliwa tu! Tena ulikuwa unapotosha kuwa walipelekwa kwa nguvu! Hoja yako hii sijui imefia wapi?! Umechange gear angani unakuja na hoja ya mkoa!

Hoja ni kwamba walishawahi kuomba ardhi miaka ya 70's na walipewa na Rais wa wakati huo, na hakukuwa na shida! Kwanini Leo wakiomba iwe nongwa ?! Tujadili hoja!
 
Kabisa mkuu,

Watu wamejaa sumu ya ukabila, wamepofushwa macho na wivu na ukabila kiasi cha kushindwa kuona kuwa hao ni watanzania wenzao na wana haki ya kuomba kuishi popote na sio Mara ya kwanza kufanya hivi,

Wapo pia wasomali wa pale Tanga waliopewa uraia na ardhi, wapo warundi zaidi ya laki moja na nusu waliopewa uraia na ardhi, wanakuja wawekezaji wanapewa ardhi kubwa sana mamia ya hekari, lakini watanzania wenzao kuomba ardhi ni nongwa!

Kuna shida mahali.

Umemaliza mkuu

Nimependa sana ulivyoelezea, uko vizuri kwenye hili, tatizo ni ukabila hakuna lingine.

Heshima yako mkuu.
 
Hiyo ardhi wamepewa wapi!?; You are not informed au unaandika tu. Hujui kuwa bado serikali haijaamua hawa watu waishi wapi!?

We jamaa mbishi hadi unakera alafu inaonekana huna unalolijua zaidi ya ubishi na ukabila, jamaa mbona kakufafanulia vizuri tu

Kwahiyo hao warundi wanaishi hewani? Acha ubishi wa kizamani dogo. Wale watutsi na wahutu wa Burundi waliopewa uraia na Jk walipewa pia mashamba ya kulima ili wasitegemee misaada ya chakula kutoka mashirika ya UN na serikalini, pia na maeneo ya kujenga makazi yao. Kwahiyo Walipewa ardhi hawalimi hewani wala hawajajenga angani. Acha ujinga wewe.
 
We jamaa mbishi hadi unakera alafu inaonekana huna unalolijua zaidi ya ubishi na ukabila, jamaa mbona kakufafanulia vizuri tu

Kwahiyo hao warundi wanaishi hewani? Acha ubishi wa kizamani dogo. Wale watutsi na wahutu wa Burundi waliopewa uraia na Jk walipewa pia mashamba ya kulima ili wasitegemee misaada ya chakula kutoka mashirika ya UN na serikalini, pia na maeneo ya kujenga makazi yao. Kwahiyo Walipewa ardhi hawalimi hewani wala hawajajenga angani. Acha ujinga wewe.
We ni mbishi na hisia za ukabila unazo wewe, hata humu ndani kuna video clip inamuonesha mbunge wa Ulyankulu akiisihi serikali itoe tamko kama waendelee kuishi walipo au waondolewe, umepitwa hata na ziara ya waziri wa home affairs Kange lugola akiwaeleza kuwa serikali bado inafikiria namna ya wao kuishi, wewe siyo mjinga , ila kwenye hili wewe ni mpumbavu
 
Ngoja niwasaidie, mkoa wa Rukwa wakati unaanzishwa uliundwa na Wilaya mbili ambazo ni Sumbawanga iliyokuwa mkoa wa Mbeya na Mpanda iliyokuwa mkoa wa Tabora na mkoa huo pamoja na Lindi na Dar es Salaam ilianzishwa mwaka 1974

Sio hoja ya msingi, uwe mkoa wa Rukwa, Tabora au katavi whatever!

Chamsingi na hoja iliyoko hapa ni kwamba wachagga walishawahi kuomba ardhi miaka ya 70 na nyerere akawapa.

Sasa Leo iweje tatizo wakiomba tena? Kila mtanzania ana haki ya kupata ardhi popote pale nchini sio dhambi, Hii ndio hoja ya msingi.
 
We ni mbishi na hisia za ukabila unazo wewe, hata humu ndani kuna video clip inamuonesha mbunge wa Ulyankulu akiisihi serikali itoe tamko kama waendelee kuishi walipo au waondolewe, umepitwa hata na ziara ya waziri wa home affairs Kange lugola akiwaeleza kuwa serikali bado inafikiria namna ya wao kuishi, wewe siyo mjinga , ila kwenye hili wewe ni mpumbavu

Wewe ni mburula asiye na ufahamu mdogo tu, jamaa hapo juu kajitahidi sana kukuelimisha lakini inaonekana imejawa na wivu na chuki za kijinga za kikabila, sikia bro kumchukia aliyefanikiwa hakukufanyi umzidi wala umfikie.

Mafanikio ya wachagga kwenye elimu, biashara na maendeleo yanaonekana kuwaumiza wengi sana, hats kujikuta wamejawa na visasi na wivu wakishamba kama wewe.

Yaani unazidi kudhihirisha jinsi ulivyo mjinga na ukabila kwakiwango cha lami, nakushauri hebu ficha ujinga wako hata kidogo. Ujinga ukizidi unageuka kuwa upumbavu, na mpumbavu haelevuki, hata bible inasema, "usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, usije ukafanana nae"
 
Wewe ni mburula asiye na ufahamu mdogo tu, jamaa hapo juu kajitahidi sana kukuelimisha lakini inaonekana imejawa na wivu na chuki za kijinga za kikabila, sikia bro kumchukia aliyefanikiwa hakukufanyi umzidi wala umfikie.

Mafanikio ya wachagga kwenye elimu, biashara na maendeleo yanaonekana kuwaumiza wengi sana, hats kujikuta wamejawa na visasi na wivu wakishamba kama wewe.

Yaani unazidi kudhihirisha jinsi ulivyo mjinga na ukabila kwakiwango cha lami, nakushauri hebu ficha ujinga wako hata kidogo. Ujinga ukizidi unageuka kuwa upumbavu, na mpumbavu haelevuki, hata bible inasema, "usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, usije ukafanana nae"

Mkuu Achana nae huyo kopo tupu tabularasa!

Hana alijualo, zaidi ya tribalism, anaongozwa na mihemko tupu, (emotions and not logics), hana hoja hata hoja! Anataka league za kijinga!

Dawa ya mpuuzi ni kumpuuza tu mkuu!
 
Back
Top Bottom