Kituko kingine Simba et Fadlu David kutoka ligi daraja la chini Afrika ndie kocha mpya. Angalia Cv Mbovu kabisa. Mgunda ni bora mno kwake

Kituko kingine Simba et Fadlu David kutoka ligi daraja la chini Afrika ndie kocha mpya. Angalia Cv Mbovu kabisa. Mgunda ni bora mno kwake

somebody mashaka, jina lenyewe tu tayari inatia shaka
Hivi kumbe geita imeshuka daraja nilikua sijui..
Hapo kwny Mashaka tunamuita Mash...hutasikia mashaka kabisa moyoni mwako...
 
Ungemjibu kwa hoja na sio kwa kupanic na matusi, hadi hapo wewe ndio unaonekana mjinga
Mpumbavu hujibiwa kipumbavu, Mama yetu Samia ndiye pekee aliyechagua kukaa kimyaa wengine wapumbavu tunaruka nao.
 
Kwahiyo Raja Casablanca siku hizi ipo south. Hivi utopolo hamjaongezeka tu wenye akili ukitoa wale wawili?
 
Well said
Sijaelewa
PXL_20240705_141257470~2.jpg
 
Eti tunachukua kocha kutoka Maritzburg United. Kwanza kaishusha daraja timu hiyo msimu uliopita na Msimu kagongwa vibaya ligi ya chini.

Nimefatilia Cv zake ni vichekesho mtupu.
Ndio yale ya Timu kupewa Cadena na Matola.
kama Mo hana ela zzakuendesha timu silazimishe sifa.
Eti alikuwa msaidizi Mamelod lini hiyo. Sasa
1. Anatoka timu iliyo ligi daraja la kwanza South Africa
2. Kati ya mechi 30 za mwisho kashinda 7tu na kapigwaa 10. Ligi daraja la chini uko uko.
3. Timu yake haijafika ata kucheza play of ili ipande daraja.
4. Alishawahi kuajiliwa Orlando Pirates akafukuzwa ndani ya robo msimu.
Hajui lolote kuhusu mechi za kimataifa.

Kocha mwingine wa mchongo mchongo.
View attachment 3034301
Msimu uliopita aliishusha pia timu hiyo daraja. Akiwa kocha.

Hana timu kwa sasa. Tim

Ni kocha mbovu zaidi kuliko wote South AAfrica

Timu yake inaitwa Maritzburg United
View attachment 3034289
View attachment 3034285


NADHANI HILO WAACHIE SIMBA WENYEWE. TUENDELEE NA MAMBO YETU YANGA. TUBORESHE TEAM YETU. MAANA TUNAHAINGA NAAMBO YA NGOSWE.
 
Eti tunachukua kocha kutoka Maritzburg United. Kwanza kaishusha daraja timu hiyo msimu uliopita na Msimu kagongwa vibaya ligi ya chini.

Nimefatilia Cv zake ni vichekesho mtupu.
Ndio yale ya Timu kupewa Cadena na Matola.
kama Mo hana ela zzakuendesha timu silazimishe sifa.
Eti alikuwa msaidizi Mamelod lini hiyo. Sasa
1. Anatoka timu iliyo ligi daraja la kwanza South Africa
2. Kati ya mechi 30 za mwisho kashinda 7tu na kapigwaa 10. Ligi daraja la chini uko uko.
3. Timu yake haijafika ata kucheza play of ili ipande daraja.
4. Alishawahi kuajiliwa Orlando Pirates akafukuzwa ndani ya robo msimu.
Hajui lolote kuhusu mechi za kimataifa.

Kocha mwingine wa mchongo mchongo.
View attachment 3034301
Msimu uliopita aliishusha pia timu hiyo daraja. Akiwa kocha.

Hana timu kwa sasa. Tim

Ni kocha mbovu zaidi kuliko wote South AAfrica

Timu yake inaitwa Maritzburg United
View attachment 3034289
View attachment 3034285

Wewe ni shemeji yake Dr. Slaa? Mke wake naye alikuwa naye ni Mushumbushi
 
Vincent Company, aliishusha daraja timu yake EPL. Lakini kaajiriwa na Bayern Munich, wabongo acheni ujuaji hapo akifanya wonders sijui mtasemaje. Kocha aliefundisha Getafe alitufikisha wapi?
Sasa waseme cv yake ya ukweli wasitudanganye. Huyu ni kocha kwa miaka 7+ hana lolote. Anashuka toka kocha adi assistant huko tena Moroko. Timu ya mbali uko viwango vya Africa kuja kuwa Leo anapewa timu bora namba sita Africa.
Hakuna muujiza msimu huu tena
 
Back
Top Bottom