Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

Hembu nipe tofauti ya AMO na MD Kiutendaji kwa hapa kwetu Tanzania acheni kutishatisha watu nasema sioni kipya na kutaja kitabu ni Mfano tu na hiyo Das kubwa sijui ndogo sijui bailey and love ni vitabu tu sijawahi kuona tofauti ya mgonjwa aliyetibiwa na MD na AMO wakapona tofauti,hembu nambie hao ma MD tangu timeanza kuwapa uongozi wa URMO mpaka DMO wamefanyanini kama sio uoza tu.

Jibu swali, km hukuona tofauti ya AMO na MD, why ulienda kupoteza miaka yako 6 ili uwe MD, wakati uponaji wa wagönjwa na utendaji ni ule ule?
 
mkuu mbona AMO na COs wanapata degree!!nenda bugando na KCMC.
tatizo mnataka madaktari wa vodafasta kama ilivyokuwa kwa walimu.

halafu kama hujui vitu ni bora ukakaa kimya au kuchangia kule chitchat na facebook

Nawe usiwe unakurupuka huko wanaanza na moja yaani hata mambo ya msingi wanayoyajua zaidi kuliko Fresh from School inabidi warudie. Taasisi husika ilitaka kuwapa career path ambayo ingewapa Bachelor of Clinical Medicine ( miaka mitatu) kwa wale ambao wamekuwa AMO (wakifanya kazi ) kwa zaidi ya miaka 5 hii ndiyo ambayo ilipingwa eti AMO aendelee kuwa AMO
 
Nawe usiwe unakurupuka huko wanaanza na moja yaani hata mambo ya msingi wanayoyajua zaidi kuliko Fresh from School inabidi warudie. Taasisi husika ilitaka kuwapa career path ambayo ingewapa Bachelor of Clinical Medicine ( miaka mitatu) kwa wale ambao wamekuwa AMO (wakifanya kazi ) kwa zaidi ya miaka 5 hii ndiyo ambayo ilipingwa eti AMO aendelee kuwa AMO

Mkuu Nyati, nadhani utakuwa umekosea kidogo hapa..Unamaanisha kusema mambo wanayoyajua zaidi ya freshers from school?..Ni yapi hayo, mkuu?
 
sidhani kama unaelewa hoja hapa! moja ya kigezo kuwa RMO ni lazima huwe daktari wa binadamu(MD). Kwasababu hiyo AMO siyo daktari. hata huyo muhusika ukimfuata leo anajua yeye siyo daktari. anajua akitaka kuwa daktari ni lazima arudi shule kusoma!

Kama AMO sio daktari,anaitwaje kiswahil? Tuelimishe
 
Kwa hiyo medical assistants siyo professionals?

Medical assistants hawana taaluma?

Kuna Profesional ranks. Mtu mwenye certificate(clinical assistant na sio medical assistant) hawezi kum supervise kitaaluma mtu mwenye MD, kwani kuna mambo mengi mno hajui, atashauri nini na kukosoa au kuweka imput ya kitu asichofaham vema?
Ndo maana yeye level yake ni kusimamia village health post, wala sio dispensary, maana dispensary ni level ya Clinical Officer(mwenye diploma).
Huwezi kuwakuta AMO au CO kwenye referal hosp, kwani level yao kitaaluma hairuhusu, japo wana taaluma.
Kimsingi, AMO taaluma yake ni Diploma ya tiba jamani, ile miaka miwili ya AMO wanafundishwa surgical skills ili kujaribu kuziba pengo la MD.
Siku hz MD wamekuwa wengi, wamekuja kuchukua nafasi zao, wapishwe.
Na hao AMO hasa waliopata kuwa maDMO, hushikwa na hofu sana MD anapotia timu wilayani, kwani huyo ndiye right person kwa nafasi hiyo, walichokuwa wanafanya ni kuwa harass ili MD wakimbie kule.
Nowadays MDs wanakomaa nao huko huko wilayani, na mambo yameanza kubadilika.
 
Nawe usiwe unakurupuka huko wanaanza na moja yaani hata mambo ya msingi wanayoyajua zaidi kuliko Fresh from School inabidi warudie. Taasisi husika ilitaka kuwapa career path ambayo ingewapa Bachelor of Clinical Medicine ( miaka mitatu) kwa wale ambao wamekuwa AMO (wakifanya kazi ) kwa zaidi ya miaka 5 hii ndiyo ambayo ilipingwa eti AMO aendelee kuwa AMO
kuna medical attetands(nurse assistant) na assistants clinical officers ambao wamehudumia kwenye dispensaries kwa zaid ya miaka 5 naona na wao utasema wasome 3 years halafu wapewe degree.
huu umbumbumbu wa kusema wana ''experience'' ndio uliotufikisha hapa leo hii miaka 50 baada ya uhuru.uzoefu au experience ya kufanya madudu haiwezi kuachwa iendelee.we are wasting a lot kwa kupika chakula na kukiepua angali hakijaiva kisa ni njaa tu.AMO is like a half cooked health care worker.ni bora kuzalisha COs 1000 kuliko AMOs.
 
Kama AMO sio daktari,anaitwaje kiswahil? Tuelimishe

AMO Anaitwa msaidizi wa daktari.
CO anaitwa tabibu
CA anaitwa tabibu msaidizi.
Ila kwa Tz, kila mwenye koti jeupe na stethoscope, anaitwa Daktari tu.
Lkn Madaktari ni wale waliosajiriwa na Medical Council of Tanganyika, ambao pia huitwa Medical Officer(MO),
au Registrars!
Nadhani hapo umenipata.
 
Kuna Profesional ranks. Mtu mwenye certificate(clinical assistant na sio medical assistant) hawezi kum supervise kitaaluma mtu mwenye MD, kwani kuna mambo mengi mno hajui, atashauri nini na kukosoa au kuweka imput ya kitu asichofaham vema?
Ndo maana yeye level yake ni kusimamia village health post, wala sio dispensary, maana dispensary ni level ya Clinical Officer(mwenye diploma).
Huwezi kuwakuta AMO au CO kwenye referal hosp, kwani level yao kitaaluma hairuhusu, japo wana taaluma.
Kimsingi, AMO taaluma yake ni Diploma ya tiba jamani, ile miaka miwili ya AMO wanafundishwa surgical skills ili kujaribu kuziba pengo la MD.
Siku hz MD wamekuwa wengi, wamekuja kuchukua nafasi zao, wapishwe.
Na hao AMO hasa waliopata kuwa maDMO, hushikwa na hofu sana MD anapotia timu wilayani, kwani huyo ndiye right person kwa nafasi hiyo, walichokuwa wanafanya ni kuwa harass ili MD wakimbie kule.
Nowadays MDs wanakomaa nao huko huko wilayani, na mambo yameanza kubadilika.

mkuu nawashauri MDs waende kwa wingi huko mawilayani wakachukue nafasi zao.kuna vituko lakini ni lazima kukomaa.AMOs waende kwenye vituo vya afya,MD waende kwenye hospitali za wilaya,specialists wawepo mikoani.

utashangaa hospitali ya mkoa ina AMO wakati hospitali ya wilaya ina MD huku sera ikisema mgonjwa akishindikana kwenye district level hospital anatakiwa kupelekwa kwenye regional hospital.nadhani ni wakati wa kupaza sauti dhidi ya upuuzi wa namna hii,sio kwenye sekta afya tu bali hata sekta nyingine.
 
AMO Anaitwa msaidizi wa daktari.
CO anaitwa tabibu
CA anaitwa tabibu msaidizi.
Ila kwa Tz, kila mwenye koti jeupe na stethoscope, anaitwa Daktari tu.
Lkn Madaktari ni wale waliosajiriwa na Medical Council of Tanganyika, ambao pia huitwa Medical Officer(MO),
au Registrars!
Nadhani hapo umenipata.
kuna haja ya kutengeneza dress code tofauti kama ilivyo kwa manesi.
kuna vituko vinafanywa na medical recorder lakini zigo la lawama litawaendea madaktari kisa wote wanavaa makoti meupe
 
AMO Anaitwa msaidizi wa daktari.
CO anaitwa tabibu
CA anaitwa tabibu msaidizi.
Ila kwa Tz, kila mwenye koti jeupe na stethoscope, anaitwa Daktari tu.
Lkn Madaktari ni wale waliosajiriwa na Medical Council of Tanganyika, ambao pia huitwa Medical Officer(MO),
au Registrars!
Nadhani hapo umenipata.

This is very true...na unakuta wakati mwingine, uzemba au hata pongezi zinaenda mahali pasipostahili(kwa madaktari) simply because ana koti jeupe..wakati kada nyingi za afya wanavaa makoti meupe(mf. wafamasia, watu wa maabara, watu wa mionzi/upigaji picha n.k)
 
Naomba ieleweke, no shortcut in medicine. Ili uwe daktari kamili MD/DDS, unatakiwa kupitia Five years intensively medical school. Ni hivi hata usome Diploma in Clinical medicine(Clinical officer), Advanced diploma in clinical Medicine (AMO), sasa ukitaka kuwa na degree ya udaktari unatakiwa uanze First year mpaka Fifth year, PLUS one year internship(huo utakuwa mwaka wa 6).Jamani taaluma ya udaktari haina equivalent; mkubali msikubali huo ndiyo ukweli wenyewe. Miongozo ipo wazi kabisa hapo hakuna cha wivu, sema mtoa maada ameandika kwa jazba na hisia kali tu.
 
AMO Anaitwa msaidizi wa daktari.
CO anaitwa tabibu
CA anaitwa tabibu msaidizi.
Ila kwa Tz, kila mwenye koti jeupe na stethoscope, anaitwa Daktari tu.
Lkn Madaktari ni wale waliosajiriwa na Medical Council of Tanganyika, ambao pia huitwa Medical Officer(MO),
au Registrars!
Nadhani hapo umenipata.

Thenk yu
 
Huyo km kateuliwa kweli, uteuzi wake utatenguliwa, maana haujawa public bado.
 
the truth is wengi hampigi hesabu, hawa maRmo wote ni wakaa oficn 2,piga hesabu wako 26 na maDmo zaid ya mia,hawa wote wakiwa oficn hamuon km wanazidisha ugumu wa tiba kwa watanzania!

nenda wilayani uone kama hawaingii wodini siku wanazokuwepo. Shida yenu mnaona kama mnabaniwa nafasi za utawala, mbona hamlalamiki maengineer kuwa wakuu wa idara, nako si waajiri mangwini wakaongoze? We unafikiri kwa nini tanroads ya mrema ilikuwa na migogoro mingi? Kuna mambo ya kiafya ndiyo a
 
Tumewasiliana na Wadau kutoka Mkoa wa Singida na kupata Dondoo zifuatazo kuhusu Dr Dismas Vyagusa (AMO) aliyeteuliwa kuwa RMO Simiyu

1. AMO huyu hana Elimu ya Form Four wala Six kwani baada ya kumaliza elimu ya msingi alijiunga na mafunzu ya uhudumu wa Afya vijijini ( Rural medical Assistant)

2. Baada ya kuhitimu mafunzo hayo ya Rural Medical assistant alifanya kazi huko vijijini mkoani kigoma kwa kipindi kirefu sana kama RMA
3. Baada ya kuchoshwa na kazi za RMA aliomba kwenda kujiendeleza katika masomo ya Clinical Assistant ( Tabibu Msaidizi) na baada ya kuhitimu mafunzo ya Tabibu Msaidizi aliomba tena kwenda kusoma mafunzo ya utabibu ( Clinical Officer) kwa miaka mitatu
4.Baada ya kusota sana kama Tabibu alifanikiwa tena kwenda kujiendeleza kwa miaka miwili katika Elimu ya Assistant medical Docta (AMO) na baada ya kuhitimu alipangwa kuwa DMO wilayani Kigoma baada ya wilaya hiyo kutokuwa na Dakatari hata mmoja na baada ya hapo alihamishiwa wilaya ya Singida amboko alipangiwa kuwa kaimu DMO
5.Kutokana na ondoa ondoa ya ma AMO kwenye nafasi za DMO inayoendelea hivi sasa, Dr Vyagusa alifanya lobying kwa RC Simuyu Mh Mabiti na kumtaka amkingie kifua afanye kazi nae katika mkoa wa Simiyu kama RMO. Mh mabiti kwa kutokujua tofauti ya AMO na MD alinyanyua waya hadi kwa Mh waziri wa afya nakuagiza AMO huyo apandishwe cheo na kuwa RMO ktk Mkoa wa Simiyu maramoja. Inavyosemekana jamaa kamlambisha fedha ndefu RC Mabiti na pia kamwaga Fedha za kutosha kwa CMO na vijana wa Utumishi na Tamisemi iliwaweze kuifunika CV yake ya kuunga unga

JAMANI CJAWAHI ONA RMO ASIYEKUWA NA ELIMU YA KIDATO CHA NNE NA SITA LAKINI TUVUTE SUBIRA INAWEZEKANA IKAWA NI PILOT STUDY HONGERA VYAGUSA KWA KUWAINGIZA MKENGE RC WA SIMIYU, WAZIRI WA AFYA NA CMO

:majani7: duh haya ndiyo matokeo ya BORA UTAWALA
 
Dala dala nawachukia sana watu wa dala dala lakini kwa bandiko lako hili nimefurahi ingawa uwa sipendi kusikia kitu daladala baada ya mmoja wa madereva wao kunigonga. Lakini arrogance ya hawa wanaitwa MD ni kubwa na madhara yake ni mengi sana. Tuanzie babu, waganga uchwara mitaani n.k. Ukiangalia kwa umakini afya ya watanzania imo mikononi mwa AMO na wala si hawa MD km wanavyotaka kujulikana. Hawa watu ni waovyo (majority) na self centered. Kuna shirika moja lilitaka kusaidia kuanzisha hivi huoni aibu kushabikia watu kuanzisha vitu vya majaribio nchini kwako? Mbona advanced diploma za vitu vingine zimefutwa? Ni nchi gani nyingine wanatrain amo? Sasa hivi watu wanatoka diploma kwenda degree kwanini ujiite equivalent? Ni nchi gani nyingine wanatoa degree ya miaka mitatu ya udaktari?
 
nijuavyo anayetibu clinically ni CO katika zahanati ya huko vijijini isiyokuwa na vifaa vya maabara na mara nyingi atatoa matibabu ya awali kabla ya kumrefer mgonjwa kwa hospital level.

Huwezi kuwa na Diagnosis bila investigations,usipotoshe unachokuwa nacho ni provisional Dx.hata magonjwa ya akili utahitaji kufanya investigations za rule out organic causes ili kufikia hitimisho.

Uwepo wa vyuo vya kata kama IMTU n.k umetuletea watu wa aina yako.
kwahiyo kila mgonjwa anaeonwa na CO lazima awe refered hata mwenye gono haya ni maajabu ya dunia mkuu.
 
mkuu mbona AMO na COs wanapata degree!!cha muhimu wakubali kusoma 5 years tu !wapo wanaojiendeleza na kuwa MDs nenda bugando na KCMC,IMTU utawakuta wa kutosha.
tatizo mnataka madaktari wa vodafasta kama ilivyokuwa kwa walimu.

halafu kama hujui vitu ni bora ukakaa kimya au kuchangia kule chitchat na facebook

ndo hawa wanashinda na kulala na kina ndodi kwenye tv eti kunywa maji ya matunda kwa interval utapona magonjwa yote. Badala ya angalau kula tunda kila siku wao wanashabikia upuuzi ambao hata ratiba yake hawauwezi na mwishowe wanaacha kabisa.
 
kwahiyo kila mgonjwa anaeonwa na CO lazima awe refered hata mwenye gono haya ni maajabu ya dunia mkuu.

Sikia wewe, AMO ni wa level ya Health Center, CO ni wa Dispensary.
Kwa level zile, kuna dalili ambazo ukiziona tu, lazma u refer tu, ukikaa nae mgonja, ni msala.
I.e. Kwa mtoto,
mgonjwa anaekohoa, halafu ana lower chest wall indrawing au stridor, lzm awe refered hosp, akaonane na Daktari.
Likewise mtoto anaeharisha halafu ana blood in stool, au severe dehydration.
AMO na CO wamewekwa kutibu minor cases, sio wale wenye danger signs au complications.
Shortage ya MDs iliwasogeza AMO wilayani, wamenogewa, wakadhani ni haki yao, wenyewe wameenda kuchukua nafasi zao, hawataki kuachia, hasa wazee. AMO vijana wanarejea shule, IMTU, Kairuki kuongeza ujuzi na kuwa MD. Ht Muhas imeanza kupokea COs kufanya MD.
 
Back
Top Bottom