Kituo cha mabasi ya mkoani Mbezi Louis chakamilika, kufunguliwa rasmi 25/02/2021, Ubungo kufungwa rasmi Jumatano

Najiuliza bus za songea zinazopita njia ya kusini had kufika mbezi lol.
Tanroads walitakiwa watengeneze barabara two way kuanzia vikindu kupiti Gongolamboto hadi Mbezi ujenzi wake ungeenda sambamba na staendi kuwaondolea kero wananchi
 
Tumechoka na ahadi hewa.
Rais alitaka iwe November 30,
Wakasogeza mpaka December 20
Wakaingia mitini
Juzi wakasema jumaatatu Feb 22
Leo wamesogeza Tena?
SGR Dar Moro ilikua iwe Nov 2019
Wamezogezaaa mpaka aibu. Just imagine kilomita 200 na technolojia ya leo. Bado tunazunguuka mbuyu.
Turkey is not a European country.
Kimara Kibaha kilomita 19 tu
Wakati wale wazungu walijenga Chz Sgr km 174 ndani ya miaka 2 na chenchi ilibaki.
 
hv huwa mnatumia sim ya aina gan mbona una weka kitu ambacho ni bandiko tayari.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu ni wakati wa kuhamia kwenye malori.

Nafungashaga mizigo k.koo nakodisha carry mpaka ubungo nawahi gari za mchana nikichelewa naiwahi Mwenge.

Sasa kuitafuta Mbezi ni mtihani na automatic gari zinazopitia njia ya mwenge hazitakuwepo.
kwa kweli iatabido kwa baadaye serikali iangalie kujenga stendi sehemu kama vile Boko ili kuhudumia magari ya njia ya kaskazini, vilevile kule Mbagala kunatakiwa kuwepo na stendi kwa ajili ya magari ya njia ya kusini.
 
Acha uongo bhana hakuna panapotitia pale wale wachina wamejenga acha masihara..barabara ilikuwa Bado aijakamilika..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…