Tanroads walitakiwa watengeneze barabara two way kuanzia vikindu kupiti Gongolamboto hadi Mbezi ujenzi wake ungeenda sambamba na staendi kuwaondolea kero wananchiNajiuliza bus za songea zinazopita njia ya kusini had kufika mbezi lol.
Mgeni rasmi wa kukizundua kwa mara nyingine tena atakuwa ni nani Bwashee Mzee Mgaya? Au safari hii ni kimya kimya?
Utasikia waache hawa ndiyo walionipa kura mimiTeknolojia imewaacha!
hv huwa mnatumia sim ya aina gan mbona una weka kitu ambacho ni bandiko tayari.?Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge amesema ifikapo Alhamisi ya February 25 mwaka huu Kituo Kipya Cha Mabasi yaendayo Mikoani na nje ya Nchi cha Mbezi Luis kitaanza rasmi kutoa huduma na Kituo cha Mabasi Ubungo kilichokuwa kikitumika awali hakitotumika tena...
Jichanganye Nikutoe meno ya mbeleWewe ndio utakuwa wa kwanza kupigwa roba.
kwa kweli iatabido kwa baadaye serikali iangalie kujenga stendi sehemu kama vile Boko ili kuhudumia magari ya njia ya kaskazini, vilevile kule Mbagala kunatakiwa kuwepo na stendi kwa ajili ya magari ya njia ya kusini.Duu ni wakati wa kuhamia kwenye malori.
Nafungashaga mizigo k.koo nakodisha carry mpaka ubungo nawahi gari za mchana nikichelewa naiwahi Mwenge.
Sasa kuitafuta Mbezi ni mtihani na automatic gari zinazopitia njia ya mwenge hazitakuwepo.
Asubutuuu.. Mzee Mgaya yupo mjini tayari kwa shuguli hiyo tuMgeni rasmi wa kukizundua kwa mara nyingine tena atakuwa ni nani Bwashee Mzee Mgaya? Au safari hii ni kimya kimya?
Acha uongo bhana hakuna panapotitia pale wale wachina wamejenga acha masihara..barabara ilikuwa Bado aijakamilika..Nilikuwa na mgeni wangu nampandisha bus leo asubuhi pale ng'ambo nje ya kituo nikawa na mazungumzo na wale wakatisha tickets nikamuuliza mbona hiko kituo hakifunguliwi akasema kilicheleweshwa kutokana na kutitia kwa ajili ya zile mvua mbili zilizonyesha wiki mbili au tatu nyuma zilizopita.
Hii stand imekimbizwa mno hasa kwenye finishing hawakutulia kabisa na hii ni kwa sababu ya kelele za wanasiasa.
Nyie mpige debe pale Mwenge na Riverside au muanze kupiga debe kwenye bajaj na bodaboda.😂Wapiga debe tutakula tulipopeleka Ugali.
Wapo Hadi machinga Wana maeneo yao hapo Kuna a lot pale...mama ntilie sijajua Kama wamekumbukwa kwenye ufalme wa hicho kituo.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Hawashindwi wale jamaa hata nje kituo cha daladala watakaa huku connection na ndani ikiwepo.Wapiga debe tutakula tulipopeleka Ugali.