Kituo cha Polisi Kitunda Mkoani Tabora kimechomwa moto na wananchi wenye hasira

Kituo cha Polisi Kitunda Mkoani Tabora kimechomwa moto na wananchi wenye hasira

mkuu kituo kilijengwa kwa nguvu na mahitaji ya wananchi wa eneo husika, matarajio yalikuwa ni kupata msaada unaohitajika kutoka kwa mapolisi wataopangiwa kufanya kazi ktk kituo hicho.
haijalishi watawakamata wananchi wote au watawapiga risasi, muhimu huduma waliotegemea kutoka kwenye hicho kituo hawajaipata au imekuwa kinyume chake ndio maana wamekichoma moto lengo lao kisiwepo kbs.

kuchomwa moto kwa kituo cha polisi lazima kuna uonevu au kunyimwa haki kwa wananchi kwa kutumia visheria.

kufanya kazi bila kutumia akili+tamaa inanikumbusha kesi ya gaidi mbowe'
Hakuna lugha ya kupiga risasi watu wote Acha kuleta siasa kijana. Wahalifu waliochoma moto ndio watakaofikishwa kwenye vyombo vya sheria.
 
Polisi pigeni kijiji kizima, bila kufanya hivyo mtakuwa hamjatibu ugonjwa utaibukia sehemu nyingine.
 
Pale kuna machimbo ya dhahabu,kwa hali ilivyo kule polisi nadhani walikuwa wanaendeleza ule uhuni wao wakutaka mali za watu kwa nguvu.Yale ya mtwara na siku zote hata upeleke taarifa kwa nani hakuna msaada.Anyway tusubiri uchunguzi wao hao hao ambao nadhani ndo change cha tatizo
 
Ujinga huo...

Uchome kituo cha Polisi kisa kuitafuta haki yako ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Kuna nchi kuna wakati inafika hata vituo vya polisi huvioni
Huoni Haiti huko polisi wanakimbia kukaa vituoni....

Ova
 
Binadamu akisha fikia "tolerance limit" ndo haya yanatokea! Polisi wamezidi kunyanyasa wananchi, wacha waipatepate! Hata mimi ningekuwa hapo jirani, ningesaidia kuchoma!
 
Binadamu akisha fikia "tolerance limit" ndo haya yanatokea! Polisi wamezidi kunyanyasa wananchi, wacha waipatepate! Hata mimi ningekuwa hapo jirani, ningesaidia kuchoma!
Hapo bila shaka kuna mkono wa baadhi ya polisi ndani, vinginevyo risasi moja tu ingetosha kutawanya wote hao
 
Polisi tendeni haki hii ni awake call kwamba wananchi wamechoshwa na tabia zenu umwamba ubabe kubambikia kesi rushwa mauaji dhuluma na maovu mengi mnayowatendea wale mnaotakiwa kuhakikisha usalama wao.
Wameanza na vituo vidogo msishangae mpaka vikubwa na nyie pia mkawa mashakani!
 
Back
Top Bottom