Kituo cha Polisi Kitunda Mkoani Tabora kimechomwa moto na wananchi wenye hasira

Kituo cha Polisi Kitunda Mkoani Tabora kimechomwa moto na wananchi wenye hasira

Mkuu wa kituo cha polisi Kitunda amekimbia baada ya kunusurika kuuawa na wananchi wenye hasira.

Katika tukio hilo la jana Septemba 18, gari la askari polisi na kituo cha polisi kimechomwa moto.

IGP hana habari!
....Mwanzo wa Tufani !...
 
Mkuu wa kituo cha polisi Kitunda amekimbia baada ya kunusurika kuuawa na wananchi wenye hasira.

Katika tukio hilo la jana Septemba 18, gari la askari polisi na kituo cha polisi kimechomwa moto.

IGP hana habari!
Rushwa na uonevu vimekithiri
 
Hata tukio hili baya IGP hajajua limetokea wapi
Unatafuta jibu! Hili hapa
1695181865413.png
1695181865413.png
 
Mkuu wa kituo cha polisi Kitunda amekimbia baada ya kunusurika kuuawa na wananchi wenye hasira.

Katika tukio hilo la jana Septemba 18, gari la askari polisi na kituo cha polisi kimechomwa moto.

IGP hana habari!
vip mrejesho wa uchomaji kituo cha police jana?

kumelalika kweli huko au vijana wanachechemea tu saivi kama wamefanyiwa tohara maana polizi bana wakiamuaga....
 
Mkuu wa kituo cha polisi Kitunda amekimbia baada ya kunusurika kuuawa na wananchi wenye hasira.

Katika tukio hilo la jana Septemba 18, gari la askari polisi na kituo cha polisi kimechomwa moto.

IGP hana habari!
IGap yupo bize na watu wa Mbeya kuwabambika kesi

Mkuu kuna kapicha ka kusindikiza huu uzi?
 
Back
Top Bottom