Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
πππππ πππππππππTatizo jingine lililoko kitunda, mapolisi wote ni wachimbaji wa madini huko.
Hawafanyi kazi waliyotumwa na CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ πππππππππTatizo jingine lililoko kitunda, mapolisi wote ni wachimbaji wa madini huko.
Hawafanyi kazi waliyotumwa na CCM
Noma sana!Askari polisi amemkamata kijana mmoja na kumsaga mikono na miguu kwa mashine na akakimbia.
Chanzo cha kituo kuchomwa moto!!
acha uwoga weweHao wananchi watajuta kuzaliwa.
Hii ni Child abuseππHata tukio hili baya IGP hajajua limetokea wapi
wote wanahusika!, kwanini hawakuzuiaNgoja uone watakavyo wakamata wasio hata husika,
Mkuu wa kituo cha polisi kitunda , amekimbia baada ya kunusurika kuuwawa na wananchi wenye hasira Jana.
Katika tukio hilo, gari la askari polisi na kituo cha polisi kimechomwa moto .
IGP hana habari !!!
Polisi watende HAKI Wananchi hawana imani nao wanawaona kuwa ni taasisi iliyojaa rushwa na ubabe na kutofuata sheria.Hao wananchi watajuta kuzaliwa.
Mbana nikawaida Tuu kwenye mapambanoWaendelee kuishi kama digidigi ila watajuta kuzaliwa wakikamatwa. Unachoma kituo cha polisi moto..
Imani za kufikirika....Tunakoelekea ni Tanzania ya neema ila ili uipate neema kuna sadaka ya mwanakondoo kumwaga damu msalabani[emoji25][emoji25][emoji25]
Kuonewa kupi ?!!!Wananchi wameanza kuamka sasa huu sio muda wakuendelea kuonewa
Wajute haswa[emoji2956][emoji2956]Hao wananchi watajuta kuzaliwa.
Wakamatwe haraka wasiwe mfano mbaya kwetu wananchi tunaoheshimu amani ,utulivu na utii wa sheria....Waendelee kuishi kama digidigi ila watajuta kuzaliwa wakikamatwa. Unachoma kituo cha polisi moto..
Ndiko wanakotaka tufike. Tunakaribia!Underground movements ni hatari kwa Afya
Ni lugha tu ya uandishi haiwezekan awe hana taarifa.How come kituo cha polisi kinachomwa moto na IGP Hana habari?
Kuna picha hapo tuone?
Habari hii italeta mashaka Kwa raia, kama wakubwa hawana Habari za tukio Hilo je Kwa walalahoi tukivamiwa itakuwaje?