Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,426
- 2,845
Utafurahi one na ipo karibu endelea kuliaImani za kufikirika....
Tanzania ni zaidi ya hizo imani zenu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafurahi one na ipo karibu endelea kuliaImani za kufikirika....
Tanzania ni zaidi ya hizo imani zenu...
Asiepajua aendako hapoteiWapi tunakoelekea?!!
Wapi tutafika?!!! [emoji15][emoji15][emoji15]
DelusionAsiepajua aendako hapotei
Jidanganye....Utafurahi one na ipo karibu endelea kulia
Amemsaga kisa kafanya Nini?Askari polisi amemkamata kijana mmoja na kumsaga mikono na miguu kwa mashine na akakimbia.
Chanzo cha kituo kuchomwa moto!!
No wonder IGP Jana katoa Namba Mpya, huenda ya Zamani ilifungiwa usajiliMkuu wa kituo cha polisi Kitunda amekimbia baada ya kunusurika kuuawa na wananchi wenye hasira.
Katika tukio hilo la jana Septemba 18, gari la askari polisi na kituo cha polisi kimechomwa moto.
IGP hana habari!
Kwenye sakata kama hili Wapinzani huwa ndio wanaonewa sana.Ngoja uone watakavyo wakamata wasio hata husika,
Wanatuona Nyani tuHii ni kwasababu mnatuona Nyani tu
Kwa jinsi polisi yetu ilivyo hapo ni kukimbia hata miaka kumi usionekane kabisa. Maana hapo watakamata kila aliyeko na atafungwa uwe ulihusika au la.Hata sasa tunavyoandika wananchi wa kitunda wamehama kwenye makazi yao kuhofia kukamatwa!
Safi sana. Wanatuona nyani tu.Mkuu wa kituo cha polisi Kitunda amekimbia baada ya kunusurika kuuawa na wananchi wenye hasira.
Katika tukio hilo la jana Septemba 18, gari la askari polisi na kituo cha polisi kimechomwa moto.
IGP hana habari!
Ana habari sana tuHow come kituo cha polisi kinachomwa moto na IGP Hana habari?
Kuna picha hapo tuone?
Habari hii italeta mashaka Kwa raia, kama wakubwa hawana Habari za tukio Hilo je Kwa walalahoi tukivamiwa itakuwaje?
Kuitafuta haki kunahusiana na nini na kuchoma kituo cha Polisi ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Ana habari sana tu
Walichokuwa wanaogopa ndio hiki
Karibu tutaelewana
Haki haipotei bali huchelewa
Ujinga huo...Safi sana. Wanatuona nyani tu.
Kumekuchaaa. . kumekuchaaa...!!!Mkuu wa kituo cha polisi Kitunda amekimbia baada ya kunusurika kuuawa na wananchi wenye hasira.
Katika tukio hilo la jana Septemba 18, gari la askari polisi na kituo cha polisi kimechomwa moto.
IGP hana habari!
Imefikia pazuri sanaKAZI iendeleee!
Tutaelewana tu.Ujinga huo...
Uchome kituo cha Polisi kisa kuitafuta haki yako ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Mkuu wewe huwezi kuwa mpayuki....Tutaelewana tu.
Hayo matumbo yenu yaliyovimbiwa kodi zetu mtazitapika kumbafu sana