Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Pale Mwanza pasipo na 5 Star hotel hata moja!Ujengwe Mwanza huo! Karibu na serengeti@
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale Mwanza pasipo na 5 Star hotel hata moja!Ujengwe Mwanza huo! Karibu na serengeti@
Ipo inajengwa ya NSSF pale Capripoint karibu na chuo cha benki kuu!Pale Mwanza pasipo na 5 Star hotel hata moja!
Mtazamo wako ni upi kama mwananchi mzalendo?Jiji la arusha halijapangiliwa na linasikitisha (sad city). Badala ya geneva of africa, lingeitwa shithole of africa
Kilimanjaro na Iringa.Mtazamo wako ni upi kama mwananchi mzalendo?
Na mji gani mwingine ambao unakaribia hata kwa the theluthi sifa za arusha kwa hapa nchini
Kwanza nikurekebishe kilimanjaro ni mkoa mji ni moshi na bado Hizo ni manispaa au kwa lugha nyingine ni miji midogo ambayo kuisimamia ni rahisiKilimanjaro na Iringa.
Kwahiyo kamoja ndo kanatosha ku-host MKICC?Ipo inajengwa ya NSSF pale Capripoint karibu na chuo cha benki kuu!