Kituo Kikubwa Cha Mikutano "MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER." Kujengwa Jijini Arusha

Kituo Kikubwa Cha Mikutano "MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER." Kujengwa Jijini Arusha

Nani anajenga hii na kwa bajeti kutoka wapi? Mbona stendi tuu ya mkoa Wa Arusha imeendekea kutia aibu na hakuna anayetoa neno?
Kila kitu kina bajeti yake mkuu
Stendi ina mradi wake unaitwa tactic
Vyote vitajengwa ila vinahitaji subra bukoba, mbeya hawana stend hata hiyo ya dar imezinduliwa juzi tu
 
Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram

"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."

"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"

Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."


Issue ya Bandari ndio mpango mzima hizi hadaa za majenzi hazina maana.
 
Mount Kilimanjaro halafu mnakijengea Arusha, kwanini isiwe Mount Meru Convention Center?
Swali lako lina mantiki.
Halafu si kuna mpango wa kujenga tena ukumbi mkubwa was mikutano Ikulu ya Dom??!!
Vipaumbele vyetu vya ajabu sana!
 
Swali lako lina mantiki.
Halafu si kuna mpango wa kujenga tena ukumbi mkubwa was mikutano Ikulu ya Dom??!!
Vipaumbele vyetu vya ajabu sana!
Kilimanjaro ni alama ya nchi na sio jina lenye hati miliki hata Daresalaam kuna hoteli inaitwa Kilimanjaro, boat za kwenda zanzibar zimeandikwa hivyo na pia ukiita itatangaza zaidi nchi pale mgeni anaposema amefikia kilimanjaro
 
Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram

"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."

"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"

Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."


Yes, hilo eneo la AICC Themi Hill halipendezi kukaa utupu vile katikati ya mji,

Miaka na miaka watu tunasoma hadi tunazeeka liko tu vile, fhhh
 
Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram

"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."

"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"

Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."

Saa100 si alisema serikali haifanyi biashara
 
Huo ulikuwa mpango wa siku nyingi sana... sema toka Magufuli aingie madarakani mradi ule mkubwa ukawa umekufa kwa maji...

naona mradi huo umerudi tena ... hongeara sana
Magufuli anaingiaje hapa au unamimba ya magufuli
 
Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram

"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."

"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"

Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."




Nani atasimamia? Serikali haiwezi fanya biashara, na mmekiri hamuwezi, au ni DP World?
 
Back
Top Bottom