Ndiyo maana wanafanya kila mbinu watanzania wasielimike kwa kujua nini maana elimu ya uraia kusudi waendelee kututawala na kutuburuzaDuh nchi yetu inaliwa wenye meno bado kuna watu wana imani kubwa CCM .
Labda awadanganye wana ccm wenzakeChama cha mafisadi ndivyo kilivyo!! Eti anatuzuga kajitoa kafara kupambana na mafisadi!
Kajitoa kafara wapi ule ulikuwa mkakati maalumu wameshamaliza kazi yao dili zimeshapigwa tayari manyumbu wamebaki kuimba CCM MBELE KWA MBELE
Kwao vigeregere ndiyo kuonyesha utiifuKajitoa kafara wapi ule ulikuwa mkakati maalumu wameshamaliza kazi yao dili zimeshapigwa tayari manyumbu wamebaki kuimba CCM MBELE KWA MBELE
Mkuu Bukyanagandi hiyo jamii unayoizungumzia hata kama itajua haina nafasi ya kuhoji,pia wanajamii wenye uelewa kama wa kwako ni wachache ambao wamekataa kuendelea kufungwa vitambaa usoniKwenda kwake Israel kwa mapumuziko hapo ndipo amefanya a blunder of the centuary - hiyo inaweza kumuongezea maswali mengi zaidi kutoka kwa jamii.
Ila nimepata faraja safari hii hata wao wanaisoma namba kwa maana walio wengi ni wana ccm na ndiyo wanashindwa hata uwezo wa kununua sukari,ukiondoa mafisadiKajitoa kafara wapi ule ulikuwa mkakati maalumu wameshamaliza kazi yao dili zimeshapigwa tayari manyumbu wamebaki kuimba CCM MBELE KWA MBELE
Mkuu angalia hizo funga semiMkuu, hivi alikokwenda Israeli ndiko kuliko mikono salama?
Si angalao ungejibidisha kuangamuka na kujua/fahamu namna biashara za technical sales and after sales services zinavyofanyika, halafu baada ya hapo utoe comment yako basi! Maana sasa unakera kwa kuaibisha JF. Sio wote tulioko humu ni wajinga. Maana suala hapa siyo nani alipewa tenda ya kufunga vifaa kambi za polisi, la hasha. Ni iwapo utaratibu wa kisheria (PPA) ulifuatwa na kama mzabuni alitimiza wajibu wake kwa mujibu wa mkataba. Basi! Hizo ndio hoja zenye kuwakilisha maslahi ya umma.Sasa kama lugumi hakua na uwezo wa kufunga hivyo vifaa alishindaje tenda?? Wasilete story story hapa. Wamepiga dili na huo ndio ukweli.
Hapa swala ni Infosys..haina uhusiano na Lugumi...mambo ya Lugumi kushinda tenda haina uhusiano na mada husika...Sasa kama lugumi hakua na uwezo wa kufunga hivyo vifaa alishindaje tenda?? Wasilete story story hapa. Wamepiga dili na huo ndio ukweli.