Kitwanga atoa ufafanuzi wa suala la Lugumi na uhusiano wake kuhusu kutumbuliwa kwake

kujibu maswali ni taaluma pia labda kwa uzoefu mwenzetu Ana taaluma ya kujibu maswali kwa ufasaha??? Tuanzie hapo kwanza.
 
Nadhani kazi yao ilikuwa kuwauzia serikali hivyo vifaa hivyo wao waliamua kwenda kuvinunua ktk Kampuni ya Dell(inawezekana zipo kampuni nyingi zinazotengeza hivyo vifaa)
Mi naona wamekaa kama madalali ina maana serikali imeshindwa kuwapata hao dell! Ila kama ndo utaratibu wa tenda hapo sawa lakini bado mi naona sintofahamu kibao!
 
wanabahat watanzania sisi ni watu poapoa sio wafuatiliaji wa mambo haya.. kadiri wangelikuwa aware nadhani hali ingekuwa sio nzuri.
 
Hilo suala si wameishalimaliza juu kwa juu bungeni? Kitwanga analizungumzia leo ili iweje? Mbona hakuwa na ujasiri huo kabla? Na hawa waandishi anaozungumza nao sijui kawatoa wapi maana ni kama wamenywea mno!
 
Tangu lini nguruwe ajutie kula uchafu? Ukiona mtu anajuta, ujuwe ana akili timamu.
 
CCM ni ile ile, lao moja!
Kwa nini ajute wakati bingo ya lugumi ni nene kuliko kutumikia u-wizi wa mambo ya nyumbani!
Bado hamshituki tu!
 
CCM ni ile ile, lao moja!
Kwa nini ajute wakati bingo ya lugumi ni nene kuliko kutumikia u-wizi wa mambo ya nyumbani!
Bado hamshituki tu!
Kwa wenye akili tayari tushaligundua hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…