Akina kitwanga hawa. Mbona jiwe alidhauriwa vibaya zaidi lkn Kitwanga hakulaumu?Kwasasa SUKUMA Gang wanapitia wakati mgumu mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina kitwanga hawa. Mbona jiwe alidhauriwa vibaya zaidi lkn Kitwanga hakulaumu?Kwasasa SUKUMA Gang wanapitia wakati mgumu mno
Wewe ni takataka!Kwasasa SUKUMA Gang wanapitia wakati mgumu mno
Kusema hakuna kufunga mipaka halafu unaruhusu wakanunue chakula nje walete ndani , hiyo ni akili au maviBwana kitwanga fanya home work yako
Hebu weka hizo list ya shauri mbaya alizoshuriwa na majina ya waliomshauri.
Halafu pia weka mapendekezo ya shauri ambazo wewe unaona ni nzuri na list ya watu ambayo wewe unadhani wanafaa kumshauri rais
Wanatumia lugha yenye staha, huyu mama ana upeo mdogo.Na kama Rais kila mara anakubali huo ushauri mbaya, basi naye ndie hafai kabisa, ametokea kukiamini kikundi cha watu wachache no matter what bado anaendelea kukiamini tu, anajiharibia kabisa...
Rais anaweza kuonekana dhaifu lakini anapoamua kushughulikia watu kwa mamlaka yake huwa tunakuja humu jukwaani na kuanza kulialia tukisema rais huyu ni dikteta,Na kama Rais kila mara anakubali huo ushauri mbaya, basi naye ndie hafai kabisa, ametokea kukiamini kikundi cha watu wachache no matter what bado anaendelea kukiamini tu, anajiharibia kabisa.
...
waleteTunawafahamu.
Wanatumia lugha yenye staha, huyu mama ana upeo mdogo.
[/QUOTE
Tumia uhuru wa maoni kwa staha.🙏🙏🙏
Huyu Rais makamba na Mwigulu nchemba wanamuharibiaKwa lugha nyepesi Kitwanga anasema Rais ni kilaza kwani hao washauri ni wateule wake mwenyewe na pia siyo kila ushauri aukubali. Sukuma Gang endeleeni tu kuishambulia Chadema na Lissu lakini adui ni CCM na Msoga Gang.
Sukuma Gang wanapita kipindi kigumu sana dadeq zaoYaani Kwa sababu yeye hajachaguliwa uwaziri basi Rais anashauriwa vibaya.
Hii nchi Ina shida Sana
CC: Babu mramba asaliCc Babu wa Bumbuli