Kitwanga: Kuna kundi linalomshauri vibaya Rais Samia

Kitwanga: Kuna kundi linalomshauri vibaya Rais Samia

Binafsi Kitwanga sijawai kumwamini, angemuacha Mama atekeleze majukumu yake tafadhali.

Mama yuko vizuri sana, sioni matatizo ya Mama ingawa kila binadamu ana mapungufu yake.
 
Kitwanga anasema kuna kundi ambalo limejipenyeza kwa rais na kila mahala linamshauri vibaya Rais.

==========


WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema kuna kundi linalomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan ambalo limekuwa likiweka vigingi kwa watu, wakiwamo wataalamu, wanaotaka kushauri kuhusu mambo mema ya kuipeleka nchini pazuri zaidi.

Kitwanga amesema mbali na kuweka vigingi kwa watu wenye nia njema, kundi hilo limekuwa likiwaona tishio, hivyo kuwachafua, ili kulinda masilahi binafsi. Amemwomba Rais kuwa makini na kundi hilo.

Kitwanga alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini na kwamba ameona kuna umuhimu wa kumshauri Rais Samia kupitia vyombo vya habari.

Alisema kundi hilo limejipenyeza katika kila sekta zikiwamo taasisi za umma na kwamba lengo lake ni kuharibu nchi kwa maslahi binafsi.

Chanzo: Nipashe
Ana poteza muda wake bure kumshauri mpumbaf
 
Na kama Rais kila mara anakubali huo ushauri mbaya, basi naye ndie hafai kabisa, ametokea kukiamini kikundi cha watu wachache no matter what bado anaendelea kukiamini tu, anajiharibia kabisa.

Anaonekana ameshikiwa akili, na members wa hicho kikundi nao sasa wanajua wamemshika akili, hivyo wanafanya watakavyo, matokeo yake nao sasa wamejigeuza "marais" kwenye idara zao.

Hayo ndio matokeo ya kuwa na Rais dhaifu, ni sawa na baba nyumbani asiewakanya wanae, anawaacha wafanye vile watakavyo, matokeo yake kila mtoto atajiamulia cha kufanya.
Rais ana mambo mengi. Kumlaumu kwa kila kitu sio sahihi
 
Unajua kama kiongozi hana (vision, goal, strategies) maono, malengo, mikakati, anachagua wasaidizi wabovu, Hana uchungu na rasilimali za nchi, hajali maisha ya watu maskini haya ndio matokeo yake.

Ni kama kucheza mpira (football) bila magoli. Wote mtakuwa mnazunguka zunguka hovyo. Hakuna goal la kulenga.
 
Kitwanga anasema kuna kundi ambalo limejipenyeza kwa rais na kila mahala linamshauri vibaya Rais.

==========


WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema kuna kundi linalomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan ambalo limekuwa likiweka vigingi kwa watu, wakiwamo wataalamu, wanaotaka kushauri kuhusu mambo mema ya kuipeleka nchini pazuri zaidi.

Kitwanga amesema mbali na kuweka vigingi kwa watu wenye nia njema, kundi hilo limekuwa likiwaona tishio, hivyo kuwachafua, ili kulinda masilahi binafsi. Amemwomba Rais kuwa makini na kundi hilo.

Kitwanga alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini na kwamba ameona kuna umuhimu wa kumshauri Rais Samia kupitia vyombo vya habari.

Alisema kundi hilo limejipenyeza katika kila sekta zikiwamo taasisi za umma na kwamba lengo lake ni kuharibu nchi kwa maslahi binafsi.

Chanzo: Nipashe
Wamesharejea kwa spidi ya 5G !! Wajanja !!
 
Unajua kama kiongozi hana (vision, goal, strategies) maono, malengo, mikakati, anachagua wasaidizi wabovu, Hana uchungu na rasilimali za nchi, hajali maisha ya watu maskini haya ndio matokeo yake.

Ni kama kucheza mpira (football) bila magoli. Wote mtakuwa mnazunguka zunguka hovyo. Hakuna goal la kulenga.
Kila mchezaji atakuwa anaonesha ufundi wa kupiga chenga na danadana kisha anampasia rafiki yake !!
 
Na kama Rais kila mara anakubali huo ushauri mbaya, basi naye ndie hafai kabisa, ametokea kukiamini kikundi cha watu wachache no matter what bado anaendelea kukiamini tu, anajiharibia kabisa.

Anaonekana ameshikiwa akili, na members wa hicho kikundi nao sasa wanajua wamemshika akili, hivyo wanafanya watakavyo, matokeo yake nao sasa wamejigeuza "marais" kwenye idara zao.

Hayo ndio matokeo ya kuwa na Rais dhaifu, ni sawa na baba nyumbani asiewakanya wanae, anawaacha wafanye vile watakavyo, matokeo yake kila mtoto atajiamulia cha kufanya.
The Royal Family of Msoga Kingdom!
 
Na kama Rais kila mara anakubali huo ushauri mbaya, basi naye ndie hafai kabisa, ametokea kukiamini kikundi cha watu wachache no matter what bado anaendelea kukiamini tu, anajiharibia kabisa.

Anaonekana ameshikiwa akili, na members wa hicho kikundi nao sasa wanajua wamemshika akili, hivyo wanafanya watakavyo, matokeo yake nao sasa wamejigeuza "marais" kwenye idara zao.

Hayo ndio matokeo ya kuwa na Rais dhaifu, ni sawa na baba nyumbani asiewakanya wanae, anawaacha wafanye vile watakavyo, matokeo yake kila mtoto atajiamulia cha kufanya.
Hivi ndo kusema kwamba Rais wetu anashauriwa na kila mtu anayejisikia kumshauri au anamaanisha jopo rasmi linalomshauri Rais wanafanya haya?
 
Mazee hii story nimewahi isikia only nilitajiwa jina la Mzee Tabu Mangara..aliekuwa Mwenyekiti Yanga ......kila kitu the same na ulivyoeleza... except jina la huyo Mzee.
My bad, ni Tabu Mangara sorry, si Songambele.

Ameandika vizuri Professor Issa G. Shivji katika kitabu chake "Development As Rebellion: A Biography of Julius Nyerere".

Je, rais ana namna ya kuhakiki ushauri anaopewa na washauri wake kama alivyofanya Nyerere?
 
Kitwanga hivi punde ataanza kudai Katiba mpya, muda ni mwalimu mzuri...
Kila mwenye kuitakia mema Nchi atadai Katiba mpya !! Ili ziweze kupatikana strong Institutions za kuendesha Nchi kwa mujibu wa Katiba iliyo bora !!
 
Tatizo analimited capacity of thinking so anaacha wamsaidie kufikiri... hii nchi inahitaji kichwa kilichotulia na chenye msimamo madhubuti. Sio hivi tunavyoenda watu wanamapembe mpaka aibu. Tuliojikoni kazi yetu kuchochea kuni tu.
 
Kitwanga anasema kuna kundi ambalo limejipenyeza kwa rais na kila mahala linamshauri vibaya Rais.

==========


WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema kuna kundi linalomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan ambalo limekuwa likiweka vigingi kwa watu, wakiwamo wataalamu, wanaotaka kushauri kuhusu mambo mema ya kuipeleka nchini pazuri zaidi.

Kitwanga amesema mbali na kuweka vigingi kwa watu wenye nia njema, kundi hilo limekuwa likiwaona tishio, hivyo kuwachafua, ili kulinda masilahi binafsi. Amemwomba Rais kuwa makini na kundi hilo.

Kitwanga alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini na kwamba ameona kuna umuhimu wa kumshauri Rais Samia kupitia vyombo vya habari.

Alisema kundi hilo limejipenyeza katika kila sekta zikiwamo taasisi za umma na kwamba lengo lake ni kuharibu nchi kwa maslahi binafsi.

Chanzo: Nipashe
Sa1000 ni [emoji117][emoji90]
 
Back
Top Bottom