WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Ana poteza muda wake bure kumshauri mpumbafKitwanga anasema kuna kundi ambalo limejipenyeza kwa rais na kila mahala linamshauri vibaya Rais.
==========
WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema kuna kundi linalomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan ambalo limekuwa likiweka vigingi kwa watu, wakiwamo wataalamu, wanaotaka kushauri kuhusu mambo mema ya kuipeleka nchini pazuri zaidi.
Kitwanga amesema mbali na kuweka vigingi kwa watu wenye nia njema, kundi hilo limekuwa likiwaona tishio, hivyo kuwachafua, ili kulinda masilahi binafsi. Amemwomba Rais kuwa makini na kundi hilo.
Kitwanga alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini na kwamba ameona kuna umuhimu wa kumshauri Rais Samia kupitia vyombo vya habari.
Alisema kundi hilo limejipenyeza katika kila sekta zikiwamo taasisi za umma na kwamba lengo lake ni kuharibu nchi kwa maslahi binafsi.
Chanzo: Nipashe
Rais ana mambo mengi. Kumlaumu kwa kila kitu sio sahihiNa kama Rais kila mara anakubali huo ushauri mbaya, basi naye ndie hafai kabisa, ametokea kukiamini kikundi cha watu wachache no matter what bado anaendelea kukiamini tu, anajiharibia kabisa.
Anaonekana ameshikiwa akili, na members wa hicho kikundi nao sasa wanajua wamemshika akili, hivyo wanafanya watakavyo, matokeo yake nao sasa wamejigeuza "marais" kwenye idara zao.
Hayo ndio matokeo ya kuwa na Rais dhaifu, ni sawa na baba nyumbani asiewakanya wanae, anawaacha wafanye vile watakavyo, matokeo yake kila mtoto atajiamulia cha kufanya.
Hao waliokaa kwenye vitu ni wakina
Wamesharejea kwa spidi ya 5G !! Wajanja !!Kitwanga anasema kuna kundi ambalo limejipenyeza kwa rais na kila mahala linamshauri vibaya Rais.
==========
WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema kuna kundi linalomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan ambalo limekuwa likiweka vigingi kwa watu, wakiwamo wataalamu, wanaotaka kushauri kuhusu mambo mema ya kuipeleka nchini pazuri zaidi.
Kitwanga amesema mbali na kuweka vigingi kwa watu wenye nia njema, kundi hilo limekuwa likiwaona tishio, hivyo kuwachafua, ili kulinda masilahi binafsi. Amemwomba Rais kuwa makini na kundi hilo.
Kitwanga alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini na kwamba ameona kuna umuhimu wa kumshauri Rais Samia kupitia vyombo vya habari.
Alisema kundi hilo limejipenyeza katika kila sekta zikiwamo taasisi za umma na kwamba lengo lake ni kuharibu nchi kwa maslahi binafsi.
Chanzo: Nipashe
ndio wanaletwa hivyo, kwenye siasa hakitamkwi kitu kwa bahati mbaya. Kitwanga kishafanya alichotakiwa kufanyawalete
Kila mchezaji atakuwa anaonesha ufundi wa kupiga chenga na danadana kisha anampasia rafiki yake !!Unajua kama kiongozi hana (vision, goal, strategies) maono, malengo, mikakati, anachagua wasaidizi wabovu, Hana uchungu na rasilimali za nchi, hajali maisha ya watu maskini haya ndio matokeo yake.
Ni kama kucheza mpira (football) bila magoli. Wote mtakuwa mnazunguka zunguka hovyo. Hakuna goal la kulenga.
The Royal Family of Msoga Kingdom!Na kama Rais kila mara anakubali huo ushauri mbaya, basi naye ndie hafai kabisa, ametokea kukiamini kikundi cha watu wachache no matter what bado anaendelea kukiamini tu, anajiharibia kabisa.
Anaonekana ameshikiwa akili, na members wa hicho kikundi nao sasa wanajua wamemshika akili, hivyo wanafanya watakavyo, matokeo yake nao sasa wamejigeuza "marais" kwenye idara zao.
Hayo ndio matokeo ya kuwa na Rais dhaifu, ni sawa na baba nyumbani asiewakanya wanae, anawaacha wafanye vile watakavyo, matokeo yake kila mtoto atajiamulia cha kufanya.
Hivi ndo kusema kwamba Rais wetu anashauriwa na kila mtu anayejisikia kumshauri au anamaanisha jopo rasmi linalomshauri Rais wanafanya haya?Na kama Rais kila mara anakubali huo ushauri mbaya, basi naye ndie hafai kabisa, ametokea kukiamini kikundi cha watu wachache no matter what bado anaendelea kukiamini tu, anajiharibia kabisa.
Anaonekana ameshikiwa akili, na members wa hicho kikundi nao sasa wanajua wamemshika akili, hivyo wanafanya watakavyo, matokeo yake nao sasa wamejigeuza "marais" kwenye idara zao.
Hayo ndio matokeo ya kuwa na Rais dhaifu, ni sawa na baba nyumbani asiewakanya wanae, anawaacha wafanye vile watakavyo, matokeo yake kila mtoto atajiamulia cha kufanya.
JK mwenyewe nchi ilimshinda,sasa anashauri nini kama siyo upigaji serikalini.Siku hizi Bilioni 7 imekuwa pesa ya kawaida mara kukarabati kivuko Bilioni 7,kujenga daraja la ovyo ovyo Bilioni 7!!!Kosa kubwa analofanya Samia ni kumwendekeza Kikwete na kundi lake!
Akumbuke Kikwete siyo encyclopedia ya nchi hii!
My bad, ni Tabu Mangara sorry, si Songambele.Mazee hii story nimewahi isikia only nilitajiwa jina la Mzee Tabu Mangara..aliekuwa Mwenyekiti Yanga ......kila kitu the same na ulivyoeleza... except jina la huyo Mzee.
Kila mwenye kuitakia mema Nchi atadai Katiba mpya !! Ili ziweze kupatikana strong Institutions za kuendesha Nchi kwa mujibu wa Katiba iliyo bora !!Kitwanga hivi punde ataanza kudai Katiba mpya, muda ni mwalimu mzuri...
Mmmh !!Ina maana Rais yeye hana utashi wa kupembua anachoshauriwa!
Hachanganyi na za kwake? Au za kwake zenyewe zilinalingana na za washauri?
tumshauri mzee wetu atulie na kusubiria ripoti ya tume ya jinaiChawa wa mama
Samoa gang
Kwakweli !!
Amgawie hiyo cc na mwanaye wa megawati🤣😅😆CC: Babu mramba asali
Sa1000 ni [emoji117][emoji90]Kitwanga anasema kuna kundi ambalo limejipenyeza kwa rais na kila mahala linamshauri vibaya Rais.
==========
WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema kuna kundi linalomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan ambalo limekuwa likiweka vigingi kwa watu, wakiwamo wataalamu, wanaotaka kushauri kuhusu mambo mema ya kuipeleka nchini pazuri zaidi.
Kitwanga amesema mbali na kuweka vigingi kwa watu wenye nia njema, kundi hilo limekuwa likiwaona tishio, hivyo kuwachafua, ili kulinda masilahi binafsi. Amemwomba Rais kuwa makini na kundi hilo.
Kitwanga alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini na kwamba ameona kuna umuhimu wa kumshauri Rais Samia kupitia vyombo vya habari.
Alisema kundi hilo limejipenyeza katika kila sekta zikiwamo taasisi za umma na kwamba lengo lake ni kuharibu nchi kwa maslahi binafsi.
Chanzo: Nipashe