Kiufundi bado naiona Yanga SC ni bora kuliko Azam FC na kwamba ina 85% za kushinda leo

Kiufundi bado naiona Yanga SC ni bora kuliko Azam FC na kwamba ina 85% za kushinda leo

Popoma aheshimike
Post yako hii iwafikie wenye Chuki Kubwa na Husuda nami OKW BOBAN SUNZU na Song of Solomon kutokana tu na Kukubalika Kwamgu hapa JamiiForums na aina ya Uwasilishaji wangu wa Kipekee unaovutia Wasomaji ( Members ) wengi na ambao kamwe hauwezi Kuigwa na Mtu yoyote yule.

Mungu akimbariki Mtu humbariki mno.
 
Post yako hii iwafikie wenye Chuki Kubwa na Husuda nami OKW BOBAN SUNZU na Song of Solomon kutokana tu na Kukubalika Kwamgu hapa JamiiForums na aina ya Uwasilishaji wangu wa Kipekee unaovutia Wasomaji ( Members ) wengi na ambao kamwe hauwezi Kuigwa na Mtu yoyote yule.

Mungu akimbariki Mtu humbariki mno.
Ahueni hujanitaja kwenye hao watu wanao kuchukia. Maana unatambua fika mimi kaka yako siku zote ninakupigania ili uwe kijana mwenye busara, hekima, na maadili katika jamii.
 
Ahueni hujanitaja kwenye hao watu wanao kuchukia. Maana unatambua fika mimi kaka yako siku zote ninakupigania ili uwe kijana mwenye busara, hekima, na maadili katika jamii.
Mnafiki mkubwa Wewe baada ya Kuona nakaribia kupata Ushindi katika Shindano hivi sasa ndiyo umegeuka na Kujifanya Kunipamba.

99% ya Posts zako tokea Juzi na sana ( hasa ) Jana kwa Kushirikiana na Wenzako Tajwa OKW BOBAN SUNZU na Song of Solomon mlikuwa mkinishambulia kwa kila maneno huku mkihimizana na kuwahimiza Watu Wengine wasinipigie Kura.

Na katika muendelezo wa Unafiki, Chuki na Wivu Kwangu GENTAMYCINE baada ya Kuona mpango wenu wa Kuniangusha ili nisishinde mkaibuka na lingine kuwa nina IDs Milioni hapa JamiiForums na kwamba ndizo zimenipigia Kura.

Labda nikusaidie tu kwa Kukuambia kuwa GENTAMYCINE napendwa, naeleweka, nakubalika na nafuatiliwa na Wengi sana hapa JamiiForums hivyo Kunizuia ni Ngumu ukijumlisha kuwa pia nilishabarikiwa na Mwenyezi Mungu tokea alipokuwa akiniumba Kwake Mbinguni.

Mimi siyo Mshindi ila Washindi hasa ni Members wote Walionipigia na wanaendelea Kunipigia Kura kwa Kuniheshimu a Kwao huku ( hivi )

Nina Deni Kubwa Kwao na niseme tu Asante na Mwenyezi Mungu atawalipa zaidi Thawabu maradufu kwa huku Kuniheshimisha Kwao na Kujitokeza kwa Uwingi Kunipigia Kura.

Hakika Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
 
Mnafiki mkubwa Wewe baada ya Kuona nakaribia kupata Ushindi katika Shindano hivi sasa ndiyo umegeuka na Kujifanya Kunipamba.

99% ya Posts zako tokea Juzi na sana ( hasa ) Jana kwa Kushirikiana na Wenzako Tajwa OKW BOBAN SUNZU na Song of Solomon mlikuwa mkinishambulia kwa kila maneno huku mkihimizana na kuwahimiza Watu Wengine wasinipigie Kura.

Na katika muendelezo wa Unafiki, Chuki na Wivu Kwangu GENTAMYCINE baada ya Kuona mpango wenu wa Kuniangusha ili nisishinde mkaibuka na lingine kuwa nina IDs Milioni hapa JamiiForums na kwamba ndizo zimenipigia Kura.

Labda nikusaidie tu kwa Kukuambia kuwa GENTAMYCINE napendwa, naeleweka, nakubalika na nafuatiliwa na Wengi sana hapa JamiiForums hivyo Kunizuia ni Ngumu ukijumlisha kuwa pia nilishabarikiwa na Mwenyezi Mungu tokea alipokuwa akiniumba Kwake Mbinguni.

Mimi siyo Mshindi ila Washindi hasa ni Members wote Walionipigia na wanaendelea Kunipigia Kura kwa Kuniheshimu a Kwao huku ( hivi )

Nina Deni Kubwa Kwao na niseme tu Asante na Mwenyezi Mungu atawalipa zaidi Thawabu maradufu kwa huku Kuniheshimisha Kwao na Kujitokeza kwa Uwingi Kunipigia Kura.

Hakika Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
Tena ukishinda mfanye ahamie hilo jukwaa ,huku apaone kama jehanam
Screenshot_20221226-104752_Samsung Internet.jpg
 
Mnafiki mkubwa Wewe baada ya Kuona nakaribia kupata Ushindi katika Shindano hivi sasa ndiyo umegeuka na Kujifanya Kunipamba.

99% ya Posts zako tokea Juzi na sana ( hasa ) Jana kwa Kushirikiana na Wenzako Tajwa OKW BOBAN SUNZU na Song of Solomon mlikuwa mkinishambulia kwa kila maneno huku mkihimizana na kuwahimiza Watu Wengine wasinipigie Kura.

Na katika muendelezo wa Unafiki, Chuki na Wivu Kwangu GENTAMYCINE baada ya Kuona mpango wenu wa Kuniangusha ili nisishinde mkaibuka na lingine kuwa nina IDs Milioni hapa JamiiForums na kwamba ndizo zimenipigia Kura.

Labda nikusaidie tu kwa Kukuambia kuwa GENTAMYCINE napendwa, naeleweka, nakubalika na nafuatiliwa na Wengi sana hapa JamiiForums hivyo Kunizuia ni Ngumu ukijumlisha kuwa pia nilishabarikiwa na Mwenyezi Mungu tokea alipokuwa akiniumba Kwake Mbinguni.

Mimi siyo Mshindi ila Washindi hasa ni Members wote Walionipigia na wanaendelea Kunipigia Kura kwa Kuniheshimu a Kwao huku ( hivi )

Nina Deni Kubwa Kwao na niseme tu Asante na Mwenyezi Mungu atawalipa zaidi Thawabu maradufu kwa huku Kuniheshimisha Kwao na Kujitokeza kwa Uwingi Kunipigia Kura.

Hakika Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
Maneno meeeengi kama umeshinda bima ya maisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiwatizama Yanga SC katika kila Idara na kuangalia Fitness yao hasa kwa Mchezaji mmoja mmoja na ukawalinganisha na wa Azam FC na current performance yao ambayo ni ya kusuasua bado nawaona Yanga SC si tu ni favourite katika Mzizima Derby ya leo bali pia ni Title Contender ambao nilishasema (japo GENTAMYCINE) mimi ni mwana Simba SC lia lia kuwa hata Msimu huu wa 2022/2023 NBC Premier League bado Yanga SC itabeba Kombe.

Ushindi mkubwa kwa Azam FC leo yenye mapungufu makubwa hasa golini (kwa Makipa wake) na safu yake ya ulinzi ni kutoka suluhu (bila kufungana) au sare (ya magoli sawa) ila wa kufungwa nawapa 85% kutokana na mtizamo wangu ambao sikulazimishi uukibali/uuamoni ila uheshimu tu.

Merry Christmas JF Members wote!
Good analysis Genta, uko njema mtani.
 
Mtani habari yako..nakutakia kila la kheri katika sikukuu za krismas na mwaka mpya
Mtani mwenyewe huyu anatuchambaga kama nini yaani sijui tumfanyizie maana masika hii tumtumie mbojo tu hakuna namna sasa🤣🤣🤣
 
Maneno meeeengi kama umeshinda bima ya maisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tukana na Nikashifu uwezavyo ila Nimeshinda na Wapiga Kura wameniheshimisha na wamewajibuni kuwa GENTAMYCINE ni Lulu ya Kipekee hapa JamiiForums.

Na Wewe Kazana Msimu ujao nawe Uthaminiwe na Uheshimishwe hivi kwani JamiiForums ni Mtandao wa Mwenyezi Mungu na kupitia Wapiga Kura Wana wa Mungu kaweza Kunibariki na

Yameshakuwa.
 
Mtani mwenyewe huyu anatuchambaga kama nini yaani sijui tumfanyizie maana masika hii tumtumie mbojo tu hakuna namna sasa🤣🤣🤣
Utatumiaje nguvu kubwa kuua sisimizi?
 
Ukiwatizama Yanga SC katika kila Idara na kuangalia Fitness yao hasa kwa Mchezaji mmoja mmoja na ukawalinganisha na wa Azam FC na current performance yao ambayo ni ya kusuasua bado nawaona Yanga SC si tu ni favourite katika Mzizima Derby ya leo bali pia ni Title Contender ambao nilishasema (japo GENTAMYCINE) mimi ni mwana Simba SC lia lia kuwa hata Msimu huu wa 2022/2023 NBC Premier League bado Yanga SC itabeba Kombe.

Ushindi mkubwa kwa Azam FC leo yenye mapungufu makubwa hasa golini (kwa Makipa wake) na safu yake ya ulinzi ni kutoka suluhu (bila kufungana) au sare (ya magoli sawa) ila wa kufungwa nawapa 85% kutokana na mtizamo wangu ambao sikulazimishi uukibali/uuamoni ila uheshimu tu.

Merry Christmas JF Members wote!
Mzee, ulipita mule mule🤗🤗

Wewe kweli Gentamycin kiboko ya magonjwa sugu

Merry Christmas Sir
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anaandikaga vizuri mbona, sema shida alokuwa nayo ni kutotaka kupingwa au kutokuheshimu mawazo ya wengine, anaharibuga zaidi akianza matusi
 
Back
Top Bottom