GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Post yako hii iwafikie wenye Chuki Kubwa na Husuda nami OKW BOBAN SUNZU na Song of Solomon kutokana tu na Kukubalika Kwamgu hapa JamiiForums na aina ya Uwasilishaji wangu wa Kipekee unaovutia Wasomaji ( Members ) wengi na ambao kamwe hauwezi Kuigwa na Mtu yoyote yule.Popoma aheshimike
Ahueni hujanitaja kwenye hao watu wanao kuchukia. Maana unatambua fika mimi kaka yako siku zote ninakupigania ili uwe kijana mwenye busara, hekima, na maadili katika jamii.Post yako hii iwafikie wenye Chuki Kubwa na Husuda nami OKW BOBAN SUNZU na Song of Solomon kutokana tu na Kukubalika Kwamgu hapa JamiiForums na aina ya Uwasilishaji wangu wa Kipekee unaovutia Wasomaji ( Members ) wengi na ambao kamwe hauwezi Kuigwa na Mtu yoyote yule.
Mungu akimbariki Mtu humbariki mno.
Mnafiki mkubwa Wewe baada ya Kuona nakaribia kupata Ushindi katika Shindano hivi sasa ndiyo umegeuka na Kujifanya Kunipamba.Ahueni hujanitaja kwenye hao watu wanao kuchukia. Maana unatambua fika mimi kaka yako siku zote ninakupigania ili uwe kijana mwenye busara, hekima, na maadili katika jamii.
Tena ukishinda mfanye ahamie hilo jukwaa ,huku apaone kama jehanamMnafiki mkubwa Wewe baada ya Kuona nakaribia kupata Ushindi katika Shindano hivi sasa ndiyo umegeuka na Kujifanya Kunipamba.
99% ya Posts zako tokea Juzi na sana ( hasa ) Jana kwa Kushirikiana na Wenzako Tajwa OKW BOBAN SUNZU na Song of Solomon mlikuwa mkinishambulia kwa kila maneno huku mkihimizana na kuwahimiza Watu Wengine wasinipigie Kura.
Na katika muendelezo wa Unafiki, Chuki na Wivu Kwangu GENTAMYCINE baada ya Kuona mpango wenu wa Kuniangusha ili nisishinde mkaibuka na lingine kuwa nina IDs Milioni hapa JamiiForums na kwamba ndizo zimenipigia Kura.
Labda nikusaidie tu kwa Kukuambia kuwa GENTAMYCINE napendwa, naeleweka, nakubalika na nafuatiliwa na Wengi sana hapa JamiiForums hivyo Kunizuia ni Ngumu ukijumlisha kuwa pia nilishabarikiwa na Mwenyezi Mungu tokea alipokuwa akiniumba Kwake Mbinguni.
Mimi siyo Mshindi ila Washindi hasa ni Members wote Walionipigia na wanaendelea Kunipigia Kura kwa Kuniheshimu a Kwao huku ( hivi )
Nina Deni Kubwa Kwao na niseme tu Asante na Mwenyezi Mungu atawalipa zaidi Thawabu maradufu kwa huku Kuniheshimisha Kwao na Kujitokeza kwa Uwingi Kunipigia Kura.
Hakika Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
Hii ahadi lazima niitimize. Nitahamia jukwaa la MMU. Maana hakuna namna.Tena ukishinda mfanye ahamie hilo jukwaa ,huku apaone kama jehanamView attachment 2458456
Imebaki dakika 1 tu Kazi ya Mungu ionekane.Hii ahadi lazima niitimize. Nitahamia jukwaa la MMU. Maana hakuna namna.
Hili jukwaa nitawaachia nyinyi wenyewe, na huyu ndugu yenu Popoma mbobevu.
Maneno meeeengi kama umeshinda bima ya maisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnafiki mkubwa Wewe baada ya Kuona nakaribia kupata Ushindi katika Shindano hivi sasa ndiyo umegeuka na Kujifanya Kunipamba.
99% ya Posts zako tokea Juzi na sana ( hasa ) Jana kwa Kushirikiana na Wenzako Tajwa OKW BOBAN SUNZU na Song of Solomon mlikuwa mkinishambulia kwa kila maneno huku mkihimizana na kuwahimiza Watu Wengine wasinipigie Kura.
Na katika muendelezo wa Unafiki, Chuki na Wivu Kwangu GENTAMYCINE baada ya Kuona mpango wenu wa Kuniangusha ili nisishinde mkaibuka na lingine kuwa nina IDs Milioni hapa JamiiForums na kwamba ndizo zimenipigia Kura.
Labda nikusaidie tu kwa Kukuambia kuwa GENTAMYCINE napendwa, naeleweka, nakubalika na nafuatiliwa na Wengi sana hapa JamiiForums hivyo Kunizuia ni Ngumu ukijumlisha kuwa pia nilishabarikiwa na Mwenyezi Mungu tokea alipokuwa akiniumba Kwake Mbinguni.
Mimi siyo Mshindi ila Washindi hasa ni Members wote Walionipigia na wanaendelea Kunipigia Kura kwa Kuniheshimu a Kwao huku ( hivi )
Nina Deni Kubwa Kwao na niseme tu Asante na Mwenyezi Mungu atawalipa zaidi Thawabu maradufu kwa huku Kuniheshimisha Kwao na Kujitokeza kwa Uwingi Kunipigia Kura.
Hakika Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
Good analysis Genta, uko njema mtani.Ukiwatizama Yanga SC katika kila Idara na kuangalia Fitness yao hasa kwa Mchezaji mmoja mmoja na ukawalinganisha na wa Azam FC na current performance yao ambayo ni ya kusuasua bado nawaona Yanga SC si tu ni favourite katika Mzizima Derby ya leo bali pia ni Title Contender ambao nilishasema (japo GENTAMYCINE) mimi ni mwana Simba SC lia lia kuwa hata Msimu huu wa 2022/2023 NBC Premier League bado Yanga SC itabeba Kombe.
Ushindi mkubwa kwa Azam FC leo yenye mapungufu makubwa hasa golini (kwa Makipa wake) na safu yake ya ulinzi ni kutoka suluhu (bila kufungana) au sare (ya magoli sawa) ila wa kufungwa nawapa 85% kutokana na mtizamo wangu ambao sikulazimishi uukibali/uuamoni ila uheshimu tu.
Merry Christmas JF Members wote!
Mtani mwenyewe huyu anatuchambaga kama nini yaani sijui tumfanyizie maana masika hii tumtumie mbojo tu hakuna namna sasa🤣🤣🤣Mtani habari yako..nakutakia kila la kheri katika sikukuu za krismas na mwaka mpya
Tukana na Nikashifu uwezavyo ila Nimeshinda na Wapiga Kura wameniheshimisha na wamewajibuni kuwa GENTAMYCINE ni Lulu ya Kipekee hapa JamiiForums.Maneno meeeengi kama umeshinda bima ya maisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante na Ashukuriwe zaidi Mwenyezi Mungu na Wote Walionipigia Kura na Kuniheshimisha kwa kunipa Ushindi.Nafuatilia mjadala Ila genta anakipaji Tena kikubwa ndan yake
Asante na ndiyo maana nimeshinda pia katika Kinyang'anyiro Kikali cha Mwanachama Bora wa JamiiForums Sports.Good analysis Genta, uko njema mtani.
Utatumiaje nguvu kubwa kuua sisimizi?Mtani mwenyewe huyu anatuchambaga kama nini yaani sijui tumfanyizie maana masika hii tumtumie mbojo tu hakuna namna sasa🤣🤣🤣
Mzee, ulipita mule mule🤗🤗Ukiwatizama Yanga SC katika kila Idara na kuangalia Fitness yao hasa kwa Mchezaji mmoja mmoja na ukawalinganisha na wa Azam FC na current performance yao ambayo ni ya kusuasua bado nawaona Yanga SC si tu ni favourite katika Mzizima Derby ya leo bali pia ni Title Contender ambao nilishasema (japo GENTAMYCINE) mimi ni mwana Simba SC lia lia kuwa hata Msimu huu wa 2022/2023 NBC Premier League bado Yanga SC itabeba Kombe.
Ushindi mkubwa kwa Azam FC leo yenye mapungufu makubwa hasa golini (kwa Makipa wake) na safu yake ya ulinzi ni kutoka suluhu (bila kufungana) au sare (ya magoli sawa) ila wa kufungwa nawapa 85% kutokana na mtizamo wangu ambao sikulazimishi uukibali/uuamoni ila uheshimu tu.
Merry Christmas JF Members wote!
Ukisikia ule msemo wa upele umepata mkunaji, ndiyo huu sasa!! 😃😃😃Maneno meeeengi kama umeshinda bima ya maisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 nipe mbinuUtatumiaje nguvu kubwa kuua sisimizi?
Unamtumia kunguni tu asilale tu🤣🤣🤣🤣 nipe mbinu
Anaandikaga vizuri mbona, sema shida alokuwa nayo ni kutotaka kupingwa au kutokuheshimu mawazo ya wengine, anaharibuga zaidi akianza matusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]