Kiuhalisia ziara za Makonda hazina positive impact kwa CCM zaidi ya kuonyesha mapungufu ya serikali ya rais Samia.

Kiuhalisia ziara za Makonda hazina positive impact kwa CCM zaidi ya kuonyesha mapungufu ya serikali ya rais Samia.

Fikiria suala dogo kama kupeleka maji kwenye mji mdogo wa Katoro ambao upo jirani na ziwa Victoria nalo linahitaji waziri wa maji kupigiwa simu. Huu ni uzembe wa serikali ilyopo madarakani wala sio sifa kwa Makonda kupiga simu.

Suala dogo la dhuluma kwa wananchi ambalo kwa serikali makini hata mtendaji wa kata tu anaweza kulitatua lakini eti mpaka Makonda amwinue mkuu wa wilaya!

Hii ni kudhihilisha wazi kuwa mama Samia na serikali yake wameshindwa kutatua kero za wananchi kama inavyotakiwq kwa kutumia viongozi wenye dhamana hizo.
Huu unabaki kuwa ni mtazamo wako binafsi

Ziara ni nzuri zina impact na faida kubwa kwa CCM.

Kazi ya CCM ni kuhakikisha SERIKALI inatimiza ilani yake,palipo na mapungufu pafanyiwe kazi,hiyo ndio kazi ya CCM
 
Hakuna chama cha hovyo kabisa kama ccm, yaani wamekosa mtu wa maana wa kumuweka kwenye hiyo nafasi hadi wamuweke muuaji kama Bashite.

Mtu ambaye anatuhumiwa kwa makosa ya kuwa ktk lile genge la wasiojulikana lililojaribu kumuua makamu mwenyeki wa Chadema.

Hakika ccm itaendelea kutawala nchi hii si kwa sababu inakubalika kwa wananchi bali kwa sababu chenyewe ndicho chombo kinachoandaa, kusimamia na kutangaza matokeo ya ule wanauita "Uchaguzi" ktk nchi hii. That's all.
 
Kila siku tunashauri humu, CCM ipambanie kuwepo na Taasis imara na sio watu imara.

Ukiwa na taasis imara hayo yote ya Makonda au JPM yasingekuwepo, Taasisi zingewajibika.
 
[emoji817] % nakuunga mkono! Hivi wanadhani wananchi wa sasa ni wale wa 1960's ?
Hawajui huko mitaani wanako hutubia kisanii eti kwa kuingia na farasi au baiskeli mkutanoni wamejaa vijana graduates na wa elimu ya kati wasio na ajira na wanategemea kusikia kiongozi akizungumzia hoja ambazo zitatoa njia ya ufumbuzi badala ya usanii wa kijinga?
Na sio vijana tu walio stuka bali hata mazee ya CCM nayo yanaona mbona jamaa anatufanya mafala?
View attachment 2811087
Anakufanya fala ama unajifanya falamwenyewe, kwani umeombwa kukulia hapo?.

Tulieni mnyooshwe.
 
Back
Top Bottom