Kiuhalisia ziara za Makonda hazina positive impact kwa CCM zaidi ya kuonyesha mapungufu ya serikali ya rais Samia.

Huu unabaki kuwa ni mtazamo wako binafsi

Ziara ni nzuri zina impact na faida kubwa kwa CCM.

Kazi ya CCM ni kuhakikisha SERIKALI inatimiza ilani yake,palipo na mapungufu pafanyiwe kazi,hiyo ndio kazi ya CCM
 
Hakuna chama cha hovyo kabisa kama ccm, yaani wamekosa mtu wa maana wa kumuweka kwenye hiyo nafasi hadi wamuweke muuaji kama Bashite.

Mtu ambaye anatuhumiwa kwa makosa ya kuwa ktk lile genge la wasiojulikana lililojaribu kumuua makamu mwenyeki wa Chadema.

Hakika ccm itaendelea kutawala nchi hii si kwa sababu inakubalika kwa wananchi bali kwa sababu chenyewe ndicho chombo kinachoandaa, kusimamia na kutangaza matokeo ya ule wanauita "Uchaguzi" ktk nchi hii. That's all.
 
Kila siku tunashauri humu, CCM ipambanie kuwepo na Taasis imara na sio watu imara.

Ukiwa na taasis imara hayo yote ya Makonda au JPM yasingekuwepo, Taasisi zingewajibika.
 
Anakufanya fala ama unajifanya falamwenyewe, kwani umeombwa kukulia hapo?.

Tulieni mnyooshwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…