Polisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi, hawawezi tena kujisimamia, wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya Polisi. Kama mishahara midogo waongezeni.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi, hawawezi tena kujisimamia, wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya Polisi. Kama mishahara midogo waongezeni.