Kiungo mshambuliaji Augustine Okrah raia wa Ghana, atambulishwa Simba SC

Ni fireeee[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mkuu andika hivi"ni fayaaaaaa[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]"
acha kutumia neno la kingereza"fire"kwenye mada za kiswahili.
 
Ina maana hamuelewi tofauti ya mchezaji aliyecheza Ulaya anayeelekea kustaafu. Na kijana anayepaswa kwenda kucheza Ulaya?

Makolo mna tabia ya kufikiria nyuma mbele! Mbele nyuma
 
Kkwa hiyo Peter Banda na Sakho sio vijana wenye nguvu yaani?
Wanaweza kupambana kwa ubavu na mabeki wa timu za Kaskazini ambao wengi ni vipande vya watu kwa stamina ?
Akina Sakho lazima wawe watu spesho sana kama Mesi na Sarah au Sadio. Hao ni kipaji maalum na wana nguvu ya msuli.
Nasema usajiri wa wachezaji wa nje uangalie na maumbo shindani ki nguvu.
 
Ina maana hamuelewi tofauti ya mchezaji aliyecheza Ulaya anayeelekea kustaafu. Na kijana anayepaswa kwenda kucheza Ulaya?

Makolo mna tabia ya kufikiria nyuma mbele! Mbele nyuma
Tuliaaminishwa kwamba Bigirimana ana miaka 28 sawa kabisa na Okrah na tulipojaribu kupinga tulioenekana hatuna akili, haya leo wewe unajaribu kusema kuwa Biringanya ni mzee na anaelekea kustaafu?

Uto hamjawahi kujielewa😂
 
Imagine huyo ni kiungo ana goli 14. kuna striker topolo mechi 40 gali 2
Anacheza na akina nani huko kwenye ligi atokayo?
Nimeangalia Video zake, ni avarage player, na mbaya zaidi hatuna bahati ya kupata watu makini kutoka Afrika Magharibi.

MTASAGA MENO MPAKA MKOME.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…