Kiungo mshambuliaji Augustine Okrah raia wa Ghana, atambulishwa Simba SC

Maumbo hayachezi mpira , akili kichwani tu ,
Mungu hakupi vyote
 
Hapa simba imekuwasanya magoli 46 kutoka ligi tatu tofauti wakati Yanga wakikusanya magoli 4 kutoka nchi tatu tofauti

Phiri 14
Okrah 14
Manzok 18 (kama usajili ni kweli)
Jumla 46

Morisoni 0
Kambole 2
Bigrlimana 2
Jml 4
 
Hakika
Hapa simba imekuwasanya magoli 46 kutoka ligi tatu tofauti wakati Yanga wakikusanya magoli 4 kutoka nchi tatu tofauti

Phiri 14
Okrah 14
Manzok 18 (kama usajili ni kweli)
Jumla 46

Morisoni 0
Kambole 2
Bigrlimana 2
Jml 4
 
Hapa simba imekuwasanya magoli 46 kutoka ligi tatu tofauti wakati Yanga wakikusanya magoli 4 kutoka nchi tatu tofauti

Phiri 14
Okrah 14
Manzok 18 (kama usajili ni kweli)
Jumla 46

Morisoni 0
Kambole 2
Bigrlimana 2
Jml 4
Af Mwishoe Utapasuka Mechi Zote Au Utashangilia Sare Huku Makombe Yakienda Jangwani [emoji1787]
 
Huyu kapotea njia wenzake wanakwenda Ulaya yy anakwenda MAKOLO kweli wanders shall never end...
Haya haya Makolo ambayo hata kikombe cha chai hayana
Vipi yule alietoka ulaya akaja topoloni hapa ambao hata kikombe cha gahawa hawana
 

Attachments

  • 20220709_185727.jpg
    13.3 KB · Views: 5
👏👏safi san chama lang🦁🦁! Vyura🐸🐸 watapinga
 
Anacheza na akina nani huko kwenye ligi atokayo?
Nimeangalia Video zake, ni avarage player, na mbaya zaidi hatuna bahati ya kupata watu makini kutoka Afrika Magharibi.

MTASAGA MENO MPAKA MKOME
Mwaka huu nyie uto tutawaf**a, si mtaona!
 
Binafsi nasibiri sana jezi pamoja na mzamini atakae kaa kwenye jearsey, sijui lini Tz tutakuwa na uwezo wa kutoa jezi quality kama wenzetu South, Egypt, emagine hata wenzetu waganda wametuzidi.
 
Acha kukariri , Sergio Busquets na Banda nani ana umbo kubwa kuliko mwingine? Afu kama ni hilo tu mbona Wachezaji wenye maumbo makubwa like Cameroon huko hawajawahi kuchukua kombe la dunia?
 
Hapa simba imekuwasanya magoli 46 kutoka ligi tatu tofauti wakati Yanga wakikusanya magoli 4 kutoka nchi tatu tofauti

Phiri 14
Okrah 14
Manzok 18 (kama usajili ni kweli)
Jumla 46

Morisoni 0
Kambole 2
Bigrlimana 2
Jml 4
Daaah hii si afya nzuri kwenye Kabumbu.. Naona pumzi ya moto upande wa pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…