Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Au yule mtikisa matiti ana goli 16 tu na ndo mfungaji tegemeoImagine huyo ni kiungo ana goli 14. kuna striker topolo mechi 40 gali 2
Wazee mbona sioni akisajiliwa kiungo mkabaji (defensive midfield)?
Victor Akpan.Wazee mbona sioni akisajiliwa kiungo mkabaji (defensive midfield)?
MORRSION mmemsajiri majuzi anatokea Zambia Sio ?Anacheza na akina nani huko kwenye ligi atokayo?
Nimeangalia Video zake, ni avarage player, na mbaya zaidi hatuna bahati ya kupata watu makini kutoka Afrika Magharibi.
MTASAGA MENO MPAKA MKOME.
Atakuwa na laana si bureYule kachanganyikiwa kabisa utoke ulaya uje jangwani
Yule amekuja kama Boharia kwenye magodauni ya GSMsafi sana Simba mnatambulisha mchezaji na sifa zake Okrah magoli 14 asist 4.kuna timu inasajili wachezaji kutoka store ya vinywaji.
BAVICHA watapinga huu usajili. Watasema mechi 30 goli 2
Ficheni itikadi zenu basi...hapa tupo michezoni.Sukuma gang wataanza kuuponda huu usajili mkubwa
Au yule mtikisa matiti ana goli 16 tu na ndo mfungaji tegemeo
Tuliaaminishwa kwamba Bigirimana ana miaka 28 sawa kabisa na Okrah na tulipojaribu kupinga tulioenekana hatuna akili, haya leo wewe unajaribu kusema kuwa Biringanya ni mzee na anaelekea kustaafu?
Uto hamjawahi kujielewa[emoji23]
Nyie Mkitufunga Msimu Ujao Kwenye Mechi Yoyote ile Kwenye Kila Post Au Comment Yangu Nitakayoweka Hapa JF Niite Mbwa..Hao nyambole wenu ndo waifunge simba ya mwaka huu? Thubutu!!!
Daaah hii si afya nzuri kwenye Kabumbu.. Naona pumzi ya moto upande wa pili.
Sasa kuna watu wanatoka ulaya wanaenda utopolo we unamsemea huyo kutoka tu hapo ghana [emoji1][emoji1][emoji1]Huyu kapotea njia wenzake wanakwenda Ulaya yy anakwenda MAKOLO kweli wanders shall never end...
Haya haya Makolo ambayo hata kikombe cha chai hayana
Malawi
unaagiza as if mtu mwenye hisa kubwa simba kumbe bachela mwenye kende tu hata demu huna.Namwona kama umri imekwenda na pia afya yake ni ndogo.
Simba inatakiwa kusajiri wachezaji vijana wenye nguvu na uwezo wa mpira wa kisasa.
Wachezaji kama Peter Banda, Othaman Sacko na huyo ni kwamba hawana nguvu za kupambana ingawa wana kipaji vya soka. Ukiangalia timu zenye mafanikio Afrika asilimia 90 ya wachezaji wake wana maumbo makubwa.
Yule mchezaji aliyesajiriwa toka Costal Uniona ndio inatakiwa wachezaji wengi wawe kama huyo, umbo chuma uwanjani chuma.
Kumtegemea Sakho aipite gnome ya kibabe ya timu za kaskazini ni kwa bahati nalibu tu.
Wawekee tu na Mayele 16 iwe 20!Hapa simba imekuwasanya magoli 46 kutoka ligi tatu tofauti wakati Yanga wakikusanya magoli 4 kutoka nchi tatu tofauti
Phiri 14
Okrah 14
Manzok 18 (kama usajili ni kweli)
Jumla 46
Morisoni 0
Kambole 2
Bigrlimana 2
Jml 4
Kaze mjanja sana ,kampatia dili uncle wakeHuyu biringanya ni kama kuuziwa bdhaa online kupitia Kikuu..washapigwa watu huko...wamebweteka na kwa kuona kuchezea ulaya miaka 12 ndo bdo upo vile vile...jamaa kashaachana na carrier ya mpira...alikuwa store keeper pale stockharm
sometimes najiuliza tatizo la Kibu kukosa kosa chances za wazi kibao ni tatizo linalorekebishika au sugu? Maana jamaa kakosa chances nyingi sana now naanza kupata furaha labda kuna mtu ataziba lile pengoWawekee tu na Mayele 16 iwe 20!
Huyo Mayele aliyeshindwa kushindana na G. Mpole atamuweza Phiri? anyway akishindwa hapo ajaribu kwa Okrah, akishindwa na hapo akajaribu kwa Kyombo!.
hayo mambo ya kuitana mbwa hayana uzito ,sema tukiwafunga tukubandue .Nyie Mkitufunga Msimu Ujao Kwenye Mechi Yoyote ile Kwenye Kila Post Au Comment Yangu Nitakayoweka Hapa JF Niite Mbwa..
Okra=bamia.