Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
sorry mkuuAisee [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sorry mkuuAisee [emoji23][emoji23]
Sasa ndo usajili bora huo?Hatimaye Usajili Bora zaidi katika dirisha hili la Usajili. kutoka Afrika ya Magharibi, mabingwa watetezi & wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Bara wamtambulishaa Stephane Aziz KI kama mchezaji Mpya wa Yanga SC...
Kapama na Kiyombo ndiyo walikuwa kwenye mipangoUna uhakika Simba walituma offer kwake? Au unajitekenya mwenyewe? Simba walishasema tangu mwanzo huyo dogo hakuwa kwenye mipango yao.
Binafsi nilishangaa, kama ni mchezaji mzuri how comes asipate offer vilabu vikubwa huko?#kuna watu wamekurupuka#Muda utaongea
Kuna majitu yatakufa msimu huuHatimaye Usajili Bora zaidi katika dirisha hili la Usajili. kutoka Afrika ya Magharibi, mabingwa watetezi & wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Bara wamtambulishaa Stephane Aziz KI kama mchezaji Mpya wa Yanga SC...
Yaani Tsh Milioni 400 ndiyo Dau la Rekodi? Kuna Watu ni Wapumbavu hapa duniani hadi Kero.Hatimaye Usajili Bora zaidi katika dirisha hili la Usajili. kutoka Afrika ya Magharibi, mabingwa watetezi & wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Bara wamtambulishaa Stephane Aziz KI kama mchezaji Mpya wa Yanga SC...
Wengi wa washabiki wao ni wangaUnatambulishaje nchezaji saa nane usiku kama sio uchawi ni nini
Kwahiyo wachezaj wanaokuja bongo wote sio wazur?Una uhakika Simba walituma offer kwake? Au unajitekenya mwenyewe? Simba walishasema tangu mwanzo huyo dogo hakuwa kwenye mipango yao...
Hiiiii! Nafurahi lakini naogopa
Mayele
Morrison
Ki Aziz
Kuna majanga makubwa yanaenda kutokea msimu huu
Mbona Unamuelezea Sana Vp Kwani?? Kwani Ni Mchezaji Wa Timu Yenu?...Relax!! Kama Kuwapasua Tena Atawapasua Tu Kwenye Hilo Hana Mjadala Na Nyie Na Mechi Mtaishia Kufungwa Tu [emoji23]Hizo stats za huyo mtoto ndio hizo hizo au kuna nyingine mmezisahau mahala?
Mshambuliaji ana magoli 10, na assist 6 = 16, mbona huyu ni level ya G.Mpole kabisa...
Noted.Mkuu, Simba ASIPOCHUKUA KOMBE LA LIGI MSIMU UJAO, NIPIGWE BAN YA MWAKA NZIMA.
Maxence Melo Active Moderator