Kiungo Mshambuliaji wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki atambulishwa rasmi Yanga SC

Yumo National Team ama in mbwera mbwera tu
 
Mshambuliaji ama kiungo ?
 
 
Sasa km zamani, hata simba ilishawahi kuifunga yanga 6 kwa 0.

Na tunaongelea wakati huu, kwann ujitoe ufahamu??

Hapo awali ulisema Yanga haijawahi kuofunga Simba SC goli zaidi ya 2.

[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…