Kivuli cha Hayati Magufuli kinataka kumtingisha Rais Samia

Kivuli cha Hayati Magufuli kinataka kumtingisha Rais Samia

nadhani huyo unayetaka kumsifu hivyo wee endelea kumsifu tu, ila naye ana mwisho wake. Niliwaona mama ntilie na machinga dodoma wanavyohangaika barabarani, wanabomolewa mabanda yao alafu kule kule machinga hakutoshi. migambo wamepata nguvu tena kama awamu zile kabla ya JPM, ila nawaambieni nyie wote ambao hamjui shida za watu wa chini endeleeni kujitia wazimu ila mjue ipo siku ipo mwisho
 
Watanzania sisi tunahitaji vitu vidogo vidogo tuu huyu mama kashindwa.
 
Hujaeleweka umepuliza au umeuma, be straight tangu lini Rais kazungukwa na wafuasi wa Magufuli tuache visingizio, Samia ahukumiwe Kwa alichokiamua yeye, Magufuli kazikwa na Samia hawezi kujivua gamba la Magufuli alikuwa VP, kisingizio Cha wafuasi wa Magufuli si hoja. Kila mtu apambane na yake. Kila mtu na daftari lake, pencil yake na mitihani yake.
Akaze tu kwenye Maarifa, bidii, ustahimilivu na usikivu
 
𝙈𝙢𝙢𝙝 𝙝𝙞𝙞 𝙣𝙘𝙝𝙞 𝙣𝙜𝙪𝙢𝙪 𝙨𝙖𝙣 𝙠𝙪𝙣 𝙬𝙖𝙩𝙪 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙩𝙪𝙢𝙞𝙖 𝙫𝙗𝙮𝙖 𝙪𝙝𝙪𝙧𝙪 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙯𝙣𝙜𝙢𝙯𝙖 . 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙢𝙩𝙪 𝙖𝙣𝙖 𝙝𝙖𝙠𝙞 𝙮𝙖 𝙠𝙪𝙤𝙣𝙜𝙝 𝙡𝙠𝙣 𝙖𝙣𝙜𝙖𝙡𝙞𝙝 𝙪𝙣𝙖𝙤𝙣𝙜𝙝 𝙣𝙣 𝙪𝙨𝙞𝙬𝙚 𝙗𝙚𝙣𝙙𝙚𝙧𝙖 𝙛𝙖𝙩𝙖 𝙪𝙥𝙚𝙥𝙤 𝙠𝙞𝙪 𝙝𝙖𝙡𝙞𝙨𝙞𝙖 𝙝𝙖𝙩𝙖 𝙫𝙮𝙖𝙢𝙖 𝙥𝙞𝙣𝙯𝙖𝙣𝙞 𝙣𝙖𝙙𝙝𝙖𝙣𝙞 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙨𝙝𝙪𝙝𝙪𝙙𝙞𝙖 𝙪𝙩𝙤𝙛𝙖𝙪𝙩𝙞 𝙠𝙖𝙩𝙞 𝙮 𝙖𝙬𝙖𝙢 𝙝𝙯 𝙢𝙗𝙞𝙡𝙞 .𝙞𝙨𝙩𝙤𝙭𝙝 𝙢𝙖𝙢𝙖 𝙢𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚𝙬 𝙖𝙣𝙖𝙨𝙚𝙢 𝙫𝙞𝙖𝙩𝙪 𝙫𝙮𝙖 𝙗𝙖𝙗𝙖 𝙝𝙖𝙫𝙞𝙢𝙩𝙤𝙨𝙝𝙞 𝙭𝙤 𝙝𝙖𝙫𝙞𝙫𝙖𝙞 𝙝𝙞𝙞 𝙞𝙣𝙖 𝙢𝙖𝙖𝙣 𝙗𝙖𝙗𝙖 𝙖𝙡𝙞𝙠𝙪𝙬 𝙈𝙒𝘼𝙈𝘽𝘼𝘼𝘼 .𝙉𝙖 𝙢𝙖𝙙𝙝𝙖𝙞𝙛𝙪 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙢𝙩𝙪 𝙖𝙣𝙖𝙮𝙤 𝙘𝙝𝙖𝙢𝙨𝙣𝙜 𝙣𝙖𝙙𝙝𝙣 𝙩𝙪𝙖𝙣𝙜𝙖𝙡𝙞𝙚 𝙮𝙖 𝙢𝙨𝙞𝙣𝙜𝙞 (𝙢𝙖𝙟𝙞,𝙪𝙢𝙚𝙢𝙚,𝙝𝙪𝙙𝙪𝙢 𝙯𝙣𝙜𝙣𝙚 )𝙪𝙩𝙖𝙚𝙡𝙚𝙬𝙖 𝙣𝙖𝙣𝙞 𝙣𝙞 𝙣𝙖𝙣𝙞
 
Yeyote anaemsifia Magufuli kwa lolote ni mchawi muuwaji na fisadi. Zawadi bora kwa Magufuli ilikua kifo tu na huko alipo afe tena aoze tuu. Ikiwezekana afutwe kabisa hata mzimu wake upotee Tanzania. Magufuli binadamu wa hovyooo kuwahi kutokea.
 
Ni lazima nikiri wazi kabisa, mimi nilikuwa ni mmoja wa wanaomuunga mkono JPM kwa muda wote aliokaa madarakani. Sikuficha kuunga kwangu mkono, nilisimama nae muda wote. Bahati mbaya Binadamu siku zake chini ya jua huwa zina mwisho hata afanye mema mengi kiasi gani.

Kipindi chote cha msiba wa JPM nilijawa na huzuni kuu, isiyoweza kuandikika. Lakini alipoapishwa Rais Samia kuwa wa sita tangu tupate uhuru sikuona sababu ya kutunza chuki kwake. Nilijua ni kudra ya mwenyezi Mungu anayemuandikia kila binadamu riziki yake na sikuwa nina wasiwasi na utendaji wake kwani alikuwa msaidizi mkuu wa hayati JPM kwa miaka yote ya urais wake.

Naona kama kivuli cha JPM kinataka kitumike kummaliza SSH. Ni wale wale waliokuwa wafuasi kindakindaki wa JPM ndio wanaogeuka maadui namba moja wa awamu ya sita!. Wanataka kumuona SSH akipita njia zile zile alizopita hayati ili wauone urais wake umekamilika.

Na hata akijaribu kurithi njia za kiuongozi za mtangulizi wake bado anacho kikwazo kingine kinachoangaliwa na hawa walioivaa roho mbaya awamu hii. Kigezo cha jinsia yake kudharaulika na kuonekana ni dhalili isiyo stahili kupewa nafasi ya juu ya uongozi. Akili zile zile duni za mfumo dume ndio zinazotawala baadhi ya vichwa.

JPM alikuwa na mfumo wake uliopambana sana kuhakikisha hakosolewi humu jukwaani na hata katika majukwaa mengine ya habari, hakupenda kukosolewa na huo ni udhaifu wake mkubwa.

Hakupenda kupokea ukosoaji kama changamoto ya mtu anayempenda bali alichukua kukosolewa kama ni uadui akiamini kwamba anajua kila kitu kinachoendelea duniani!. Huo ni udhaifu mkubwa sana na nadhani ni hulka aliyokuwa nayo tangu utotoni.

Akawa akitumia mbinu zile zile za ulaya mashariki za kuwa na wapelelezi wa chini kwa chini ili mradi tu Bwana Mkubwa asiguswe nafsi yake kitu ambacho kingemfanya akachukia. Hapa ndio naiona tofauti ya JPM na SSH.

JPM alitumia nguvu kubwa ili utendaji wake uonekane umekamilika kabisa (perfection) wakati SSH anafanya kazi na kuachia uhuru mpana wa maoni ya watu yakosoe kile ambacho wanaona hakiwafai. Wafuasi wa kudumu wa JPM sijui kama wanauona huo ufa wa awamu ya tano kwamba ni tatizo katika utendaji serikalini au upofu wa mahaba ni tatizo lao lisiloweza kutibika.

Naamini serikali ya awamu ya sita inaendeleza yale mema yaliyofanywa na awamu ya tano, kwani wote ni wale wale tu CCM. Na kwa wale wafuasi kindakindaki wa JPM kwao urais wa Samia utakuwa umekamilika iwapo atapita njia zile zile za mtangulizi wake.

Kwamba kama JPM aliwabagua na kuwaletea dharau jamii ya kimataifa na uwakilishi wao hapa nchini basi na SSH nae apite mule mule tu hata kama ni kwa madhara ya uchumi wetu kukosa kukua na kukosekana kwa harmony kwa maana ya uwepo wa uhusiano hasi wa TZ na jamii za nje.

Kwamba kama JPM alifukuza wakurugenzi na mawaziri kwa habari ambazo hakuwa na uhakika nazo basi na SSH nae apite mule mule tu, wawepo mawaziri na wateule wengi waliofukuzwa kazi huku wakiendelea kulipwa mshahara wa bure.

Kwamba kama JPM aliikuza chuki kati ya wanyonge na matajiri akiamini kuwa umaskini wa mnyonge chanzo chake ni utajiri wa tajiri basi na SSH aendeleze mateso kwa matajiri tena yale ya kihisia tu!.

SSH ameelewa umuhimu wa kujichanganya kimataifa, anajua ni kwa namna gani binadamu hajaumbwa aishi kama kisiwa hivyo amehakikisha sekta ya mahusiano na mataifa mengine inakuwa na watendaji nguli na wenye uzoefu nayo.

JPM alifanya mema lakini awamu yake isipewe sana utakatifu ambao haikuwa nao. Na SSH asipewe sana ushetani akionekana kama vile anakosea pale anapokwenda tofauti na mawazo au itikadi za mtangulizi wake.

Wote wawili kwa wakati wao wamebarikiwa kuwa marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa ujumla Rais Samia kafanya kazi kubwa mno. Mfano tu mfumuko wa bei ukilinganisha na Kenya au Uganda upo chini.
 
Ni lazima nikiri wazi kabisa, mimi nilikuwa ni mmoja wa wanaomuunga mkono JPM kwa muda wote aliokaa madarakani. Sikuficha kuunga kwangu mkono, nilisimama nae muda wote. Bahati mbaya Binadamu siku zake chini ya jua huwa zina mwisho hata afanye mema mengi kiasi gani.

Kipindi chote cha msiba wa JPM nilijawa na huzuni kuu, isiyoweza kuandikika. Lakini alipoapishwa Rais Samia kuwa wa sita tangu tupate uhuru sikuona sababu ya kutunza chuki kwake. Nilijua ni kudra ya mwenyezi Mungu anayemuandikia kila binadamu riziki yake na sikuwa nina wasiwasi na utendaji wake kwani alikuwa msaidizi mkuu wa hayati JPM kwa miaka yote ya urais wake.

Naona kama kivuli cha JPM kinataka kitumike kummaliza SSH. Ni wale wale waliokuwa wafuasi kindakindaki wa JPM ndio wanaogeuka maadui namba moja wa awamu ya sita!. Wanataka kumuona SSH akipita njia zile zile alizopita hayati ili wauone urais wake umekamilika.

Na hata akijaribu kurithi njia za kiuongozi za mtangulizi wake bado anacho kikwazo kingine kinachoangaliwa na hawa walioivaa roho mbaya awamu hii. Kigezo cha jinsia yake kudharaulika na kuonekana ni dhalili isiyo stahili kupewa nafasi ya juu ya uongozi. Akili zile zile duni za mfumo dume ndio zinazotawala baadhi ya vichwa.

JPM alikuwa na mfumo wake uliopambana sana kuhakikisha hakosolewi humu jukwaani na hata katika majukwaa mengine ya habari, hakupenda kukosolewa na huo ni udhaifu wake mkubwa.

Hakupenda kupokea ukosoaji kama changamoto ya mtu anayempenda bali alichukua kukosolewa kama ni uadui akiamini kwamba anajua kila kitu kinachoendelea duniani!. Huo ni udhaifu mkubwa sana na nadhani ni hulka aliyokuwa nayo tangu utotoni.

Akawa akitumia mbinu zile zile za ulaya mashariki za kuwa na wapelelezi wa chini kwa chini ili mradi tu Bwana Mkubwa asiguswe nafsi yake kitu ambacho kingemfanya akachukia. Hapa ndio naiona tofauti ya JPM na SSH.

JPM alitumia nguvu kubwa ili utendaji wake uonekane umekamilika kabisa (perfection) wakati SSH anafanya kazi na kuachia uhuru mpana wa maoni ya watu yakosoe kile ambacho wanaona hakiwafai. Wafuasi wa kudumu wa JPM sijui kama wanauona huo ufa wa awamu ya tano kwamba ni tatizo katika utendaji serikalini au upofu wa mahaba ni tatizo lao lisiloweza kutibika.

Naamini serikali ya awamu ya sita inaendeleza yale mema yaliyofanywa na awamu ya tano, kwani wote ni wale wale tu CCM. Na kwa wale wafuasi kindakindaki wa JPM kwao urais wa Samia utakuwa umekamilika iwapo atapita njia zile zile za mtangulizi wake.

Kwamba kama JPM aliwabagua na kuwaletea dharau jamii ya kimataifa na uwakilishi wao hapa nchini basi na SSH nae apite mule mule tu hata kama ni kwa madhara ya uchumi wetu kukosa kukua na kukosekana kwa harmony kwa maana ya uwepo wa uhusiano hasi wa TZ na jamii za nje.

Kwamba kama JPM alifukuza wakurugenzi na mawaziri kwa habari ambazo hakuwa na uhakika nazo basi na SSH nae apite mule mule tu, wawepo mawaziri na wateule wengi waliofukuzwa kazi huku wakiendelea kulipwa mshahara wa bure.

Kwamba kama JPM aliikuza chuki kati ya wanyonge na matajiri akiamini kuwa umaskini wa mnyonge chanzo chake ni utajiri wa tajiri basi na SSH aendeleze mateso kwa matajiri tena yale ya kihisia tu!.

SSH ameelewa umuhimu wa kujichanganya kimataifa, anajua ni kwa namna gani binadamu hajaumbwa aishi kama kisiwa hivyo amehakikisha sekta ya mahusiano na mataifa mengine inakuwa na watendaji nguli na wenye uzoefu nayo.

JPM alifanya mema lakini awamu yake isipewe sana utakatifu ambao haikuwa nao. Na SSH asipewe sana ushetani akionekana kama vile anakosea pale anapokwenda tofauti na mawazo au itikadi za mtangulizi wake.

Wote wawili kwa wakati wao wamebarikiwa kuwa marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hongera Mkuu Phillipo Bukililo kwa makala nzuri sana.
 
Magufuli ali-set juu sana standards za Urais. Marais wote wanaomfuata lazima wawe shadowed naye.
Kweli alifungua ukurasa mpya kabisa ndani ya akili za watu wengi ! Na ukurasa huo utawapa shida sana marais watakaofuata baada yake !!
 
Ni lazima nikiri wazi kabisa, mimi nilikuwa ni mmoja wa wanaomuunga mkono JPM kwa muda wote aliokaa madarakani. Sikuficha kuunga kwangu mkono, nilisimama nae muda wote. Bahati mbaya Binadamu siku zake chini ya jua huwa zina mwisho hata afanye mema mengi kiasi gani.

Kipindi chote cha msiba wa JPM nilijawa na huzuni kuu, isiyoweza kuandikika. Lakini alipoapishwa Rais Samia kuwa wa sita tangu tupate uhuru sikuona sababu ya kutunza chuki kwake. Nilijua ni kudra ya mwenyezi Mungu anayemuandikia kila binadamu riziki yake na sikuwa nina wasiwasi na utendaji wake kwani alikuwa msaidizi mkuu wa hayati JPM kwa miaka yote ya urais wake.

Naona kama kivuli cha JPM kinataka kitumike kummaliza SSH. Ni wale wale waliokuwa wafuasi kindakindaki wa JPM ndio wanaogeuka maadui namba moja wa awamu ya sita!. Wanataka kumuona SSH akipita njia zile zile alizopita hayati ili wauone urais wake umekamilika.

Na hata akijaribu kurithi njia za kiuongozi za mtangulizi wake bado anacho kikwazo kingine kinachoangaliwa na hawa walioivaa roho mbaya awamu hii. Kigezo cha jinsia yake kudharaulika na kuonekana ni dhalili isiyo stahili kupewa nafasi ya juu ya uongozi. Akili zile zile duni za mfumo dume ndio zinazotawala baadhi ya vichwa.

JPM alikuwa na mfumo wake uliopambana sana kuhakikisha hakosolewi humu jukwaani na hata katika majukwaa mengine ya habari, hakupenda kukosolewa na huo ni udhaifu wake mkubwa.

Hakupenda kupokea ukosoaji kama changamoto ya mtu anayempenda bali alichukua kukosolewa kama ni uadui akiamini kwamba anajua kila kitu kinachoendelea duniani!. Huo ni udhaifu mkubwa sana na nadhani ni hulka aliyokuwa nayo tangu utotoni.

Akawa akitumia mbinu zile zile za ulaya mashariki za kuwa na wapelelezi wa chini kwa chini ili mradi tu Bwana Mkubwa asiguswe nafsi yake kitu ambacho kingemfanya akachukia. Hapa ndio naiona tofauti ya JPM na SSH.

JPM alitumia nguvu kubwa ili utendaji wake uonekane umekamilika kabisa (perfection) wakati SSH anafanya kazi na kuachia uhuru mpana wa maoni ya watu yakosoe kile ambacho wanaona hakiwafai. Wafuasi wa kudumu wa JPM sijui kama wanauona huo ufa wa awamu ya tano kwamba ni tatizo katika utendaji serikalini au upofu wa mahaba ni tatizo lao lisiloweza kutibika.

Naamini serikali ya awamu ya sita inaendeleza yale mema yaliyofanywa na awamu ya tano, kwani wote ni wale wale tu CCM. Na kwa wale wafuasi kindakindaki wa JPM kwao urais wa Samia utakuwa umekamilika iwapo atapita njia zile zile za mtangulizi wake.

Kwamba kama JPM aliwabagua na kuwaletea dharau jamii ya kimataifa na uwakilishi wao hapa nchini basi na SSH nae apite mule mule tu hata kama ni kwa madhara ya uchumi wetu kukosa kukua na kukosekana kwa harmony kwa maana ya uwepo wa uhusiano hasi wa TZ na jamii za nje.

Kwamba kama JPM alifukuza wakurugenzi na mawaziri kwa habari ambazo hakuwa na uhakika nazo basi na SSH nae apite mule mule tu, wawepo mawaziri na wateule wengi waliofukuzwa kazi huku wakiendelea kulipwa mshahara wa bure.

Kwamba kama JPM aliikuza chuki kati ya wanyonge na matajiri akiamini kuwa umaskini wa mnyonge chanzo chake ni utajiri wa tajiri basi na SSH aendeleze mateso kwa matajiri tena yale ya kihisia tu!.

SSH ameelewa umuhimu wa kujichanganya kimataifa, anajua ni kwa namna gani binadamu hajaumbwa aishi kama kisiwa hivyo amehakikisha sekta ya mahusiano na mataifa mengine inakuwa na watendaji nguli na wenye uzoefu nayo.

JPM alifanya mema lakini awamu yake isipewe sana utakatifu ambao haikuwa nao. Na SSH asipewe sana ushetani akionekana kama vile anakosea pale anapokwenda tofauti na mawazo au itikadi za mtangulizi wake.

Wote wawili kwa wakati wao wamebarikiwa kuwa marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 

Attachments

  • A9A4A25F-A5BD-4FAE-B7A5-1028E1886107.jpeg
    A9A4A25F-A5BD-4FAE-B7A5-1028E1886107.jpeg
    112 KB · Views: 2
  • ED0B7402-D7DC-4592-9442-08722BACDDED.jpeg
    ED0B7402-D7DC-4592-9442-08722BACDDED.jpeg
    101.6 KB · Views: 2
  • 88FB9E46-F7D4-409D-93C3-980B70EB77A9.jpeg
    88FB9E46-F7D4-409D-93C3-980B70EB77A9.jpeg
    63.3 KB · Views: 2
Ni lazima nikiri wazi kabisa, mimi nilikuwa ni mmoja wa wanaomuunga mkono JPM kwa muda wote aliokaa madarakani. Sikuficha kuunga kwangu mkono, nilisimama nae muda wote. Bahati mbaya Binadamu siku zake chini ya jua huwa zina mwisho hata afanye mema mengi kiasi gani.

Kipindi chote cha msiba wa JPM nilijawa na huzuni kuu, isiyoweza kuandikika. Lakini alipoapishwa Rais Samia kuwa wa sita tangu tupate uhuru sikuona sababu ya kutunza chuki kwake. Nilijua ni kudra ya mwenyezi Mungu anayemuandikia kila binadamu riziki yake na sikuwa nina wasiwasi na utendaji wake kwani alikuwa msaidizi mkuu wa hayati JPM kwa miaka yote ya urais wake.

Naona kama kivuli cha JPM kinataka kitumike kummaliza SSH. Ni wale wale waliokuwa wafuasi kindakindaki wa JPM ndio wanaogeuka maadui namba moja wa awamu ya sita!. Wanataka kumuona SSH akipita njia zile zile alizopita hayati ili wauone urais wake umekamilika.

Na hata akijaribu kurithi njia za kiuongozi za mtangulizi wake bado anacho kikwazo kingine kinachoangaliwa na hawa walioivaa roho mbaya awamu hii. Kigezo cha jinsia yake kudharaulika na kuonekana ni dhalili isiyo stahili kupewa nafasi ya juu ya uongozi. Akili zile zile duni za mfumo dume ndio zinazotawala baadhi ya vichwa.

JPM alikuwa na mfumo wake uliopambana sana kuhakikisha hakosolewi humu jukwaani na hata katika majukwaa mengine ya habari, hakupenda kukosolewa na huo ni udhaifu wake mkubwa.

Hakupenda kupokea ukosoaji kama changamoto ya mtu anayempenda bali alichukua kukosolewa kama ni uadui akiamini kwamba anajua kila kitu kinachoendelea duniani!. Huo ni udhaifu mkubwa sana na nadhani ni hulka aliyokuwa nayo tangu utotoni.

Akawa akitumia mbinu zile zile za ulaya mashariki za kuwa na wapelelezi wa chini kwa chini ili mradi tu Bwana Mkubwa asiguswe nafsi yake kitu ambacho kingemfanya akachukia. Hapa ndio naiona tofauti ya JPM na SSH.

JPM alitumia nguvu kubwa ili utendaji wake uonekane umekamilika kabisa (perfection) wakati SSH anafanya kazi na kuachia uhuru mpana wa maoni ya watu yakosoe kile ambacho wanaona hakiwafai. Wafuasi wa kudumu wa JPM sijui kama wanauona huo ufa wa awamu ya tano kwamba ni tatizo katika utendaji serikalini au upofu wa mahaba ni tatizo lao lisiloweza kutibika.

Naamini serikali ya awamu ya sita inaendeleza yale mema yaliyofanywa na awamu ya tano, kwani wote ni wale wale tu CCM. Na kwa wale wafuasi kindakindaki wa JPM kwao urais wa Samia utakuwa umekamilika iwapo atapita njia zile zile za mtangulizi wake.

Kwamba kama JPM aliwabagua na kuwaletea dharau jamii ya kimataifa na uwakilishi wao hapa nchini basi na SSH nae apite mule mule tu hata kama ni kwa madhara ya uchumi wetu kukosa kukua na kukosekana kwa harmony kwa maana ya uwepo wa uhusiano hasi wa TZ na jamii za nje.

Kwamba kama JPM alifukuza wakurugenzi na mawaziri kwa habari ambazo hakuwa na uhakika nazo basi na SSH nae apite mule mule tu, wawepo mawaziri na wateule wengi waliofukuzwa kazi huku wakiendelea kulipwa mshahara wa bure.

Kwamba kama JPM aliikuza chuki kati ya wanyonge na matajiri akiamini kuwa umaskini wa mnyonge chanzo chake ni utajiri wa tajiri basi na SSH aendeleze mateso kwa matajiri tena yale ya kihisia tu!.

SSH ameelewa umuhimu wa kujichanganya kimataifa, anajua ni kwa namna gani binadamu hajaumbwa aishi kama kisiwa hivyo amehakikisha sekta ya mahusiano na mataifa mengine inakuwa na watendaji nguli na wenye uzoefu nayo.

JPM alifanya mema lakini awamu yake isipewe sana utakatifu ambao haikuwa nao. Na SSH asipewe sana ushetani akionekana kama vile anakosea pale anapokwenda tofauti na mawazo au itikadi za mtangulizi wake.

Wote wawili kwa wakati wao wamebarikiwa kuwa marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa ujumla kila utawala. watendaji na viongozi huwa wana mapungufu, kama ilivyo ada ya kila binadamu, japo kiwango cha mapungufu hutofautiana. Mapungufu yakiyazidi mema, basi utawala huo, mtendaji huyo au kiongozi huyo, huonekana hafai.

Kwa ujumla, kwa kuweka vigezo vyote vya kiuongozi, hata kama Rais Samia akiwa na mapungufu, akilinganishwa na mtangulizi wake Hayati Magufuli, Rais Samia ni kiongozi bora maradufu ya Magufuli.

Sifa mbaya kabisa ya kiongozi ni udikteya, na udikteta siku zote huandamana na kudhulumu haki za watu, kuwatesa watu, kuua watu wanaohoji au kukosoa, kupora mali au fedha za umma akijua hakuna atakayehoji; na hizi zote ndiyo zilikuwa sifa mbaya kabisa za Hayati Magufuli. Alikuwa dikteta, muuaji, mtesaji, mpotezaji watu, mdhulumaji, na pia alikuwa mwizi na aliyeongoza nchi kwa hila, hadaa na udanganyifu mkubwa akijifanya mzalendo, huko akipora fedha za Serikali na za watu binafsi. TZS 1.5 trillion mpaka leo haijulikani aliipeleka wapi. Pesa walizodhulumiwa aliowaita wahujumu uchumi, alizipora yeye binafsi na watu wake wa karibu. Alifanya mambo madogo sana lakini yalikuzwa na wapambe wake wajinga na wanafiki ili yaonekane ni mambo makubwa sana.

Watu wote waliokuwa mashabiki wa Magufuli, nao ni waovu maana ni kwa vipi anayemsifia muuaji akawa mtu mwema? Hao wote watashiriki laana ile ile ya muuaji.
 
Kuna mikutano ya kusimamiwa na balozi na kuna inayomhitaji rais mwenyewe awepo ili aonyeshe uzito wa hicho ambacho taifa lake linakihitaji.

Kuna masuala kama ya vibali vya kazi, zipo zinazoweza kufanywa kwa umahiri na wataalam kutoka nje, akaanzisha utaratibu kuwa kibali kikimaliza muda wake huyo mgeni aondoke amuachie kazi mzalendo.

Yale yale ya Mugabe na uporaji wa mashamba ya wazungu, waafrika walioachiwa yamewafia mikononi huku wazungu wakiwacheka tu.

Labda nia ilikuwa nzuri lakini inapokosewa katika utekelezaji wake inaleta picha ya serikali nzima kuwa na hulka za kibaguzi.
Hayo hayatuhusu, wananchi wa kawaida tunahitaji maji, umeme na unafuu kwenye mahitaji yetu ya kila siku, mwambieni mama yenu hali ni mbaya.
 
Yeyote anaemsifia Magufuli kwa lolote ni mchawi muuwaji na fisadi. Zawadi bora kwa Magufuli ilikua kifo tu na huko alipo afe tena aoze tuu. Ikiwezekana afutwe kabisa hata mzimu wake upotee Tanzania. Magufuli binadamu wa hovyooo kuwahi kutokea.
Ni ngumu kumfuta JPM mioyoni mwa Watanzania, mtahangaika sana kumchafua ila ni kazi bure. Kazi alizowafanyia watanzania hawa bado zinaishi na zitaishi milele, fanyeni kazi yenu tuwakumbuke na si blah blah.
 
Back
Top Bottom