Kiwanda cha biskuti za bangi chagunduliwa Kawe

Mpaka kiwanda kianaanzishwa na kufanya production, vyombo vyetu walikikuwa wapi

Waendelee kuagiza mitambo ya kudukua huku wakiacha milango wazi
 
Kwahiyo mamlaka zinasemaje kiwanda kitaendelea kuzalisha au vipi? Na kama kitaendelea wanampango gani na sisi ambao si wenyeji wa daslamu tupate hizo biskuti?je,kama kitazuiwa kosa lao ni lipi?(kwani kuna watumiaji walitoa malalamiko kwenye mamlaka au ni utashi tu wa mamlaka?)
 
hatari sana hiii haiko sawa kwa hawa watoto wetu naipongeza sana mamlaka
Sio biscuits za dukani kwa jinsi zinavyotengenezwa ndio maana wanaziita Biscuit ila ni Bangi zile zile na wateja ni wale wale wameboresha kwa kuchanganya aina tofauti ili watumiaji wapate radha kali zaidi...ni mchanganyiko wa aina tofauti za bang kutoka sehemu tofauti...
 
Hizo biscuits inaonekana zinatengenezwa in small scale sio production kubwa kutokana na maelezo ..na walengwa watakuwa special market. Serikali ifanye uchunguzi pia kwa watengenezaji wa keki maana zinaweza zikawepo keki za madawa ya kulevya kama cocaine etc..
 
aisee umewahi kuziona kwa macho ya nyama ndugu
 
Nawapongeza.hao.wanasayansi coz Wana kitu!mi kama mkemia kama kijana wa kitz anaweza ku extract chemical ya bangi na kuichanganya na unga mzuri wa biscuits na kuuza products kongole kwao!

Na huko ndio kujiajiri kunakotamkwa na wanasiasa Kila siku Wana shauri!!
 
Ni kweli kabisa mkuu. Ni drug dealer gani mjinga atauza hizo ''biskuti'' kwa watoto wakati bei yake ni ya juu? Ni kama kusema unga wa cocaine utauzwa duka la mangi kwa kupima kama unga wa sembe.
 
Ni kweli kabisa mkuu. Ni drug dealer gani mjinga atauza hizo ''biskuti'' kwa watoto wakati bei yake ni ya juu? Ni kama kusema unga wa cocaine utauzwa duka la mangi kwa kupima kama unga wa sembe.
Watanzania wengi ni Malaika hatuna dhambi hatujui hata Dunia inaendaje Skanka wanasema wataikuta duka la Mangi harafu ukakope daah kisa imeitwa Biscuit..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…