Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
[emoji16][emoji16]Kamishna ataje tu bangi basi hiyo kutaja mara indica,skanka, sativa, cannabis inatuamsha mzuka sisi wavutaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Kamishna ataje tu bangi basi hiyo kutaja mara indica,skanka, sativa, cannabis inatuamsha mzuka sisi wavutaji.
Korie nikitimoto hamsemi
Mpaka kiwanda kianaanzishwa na kufanya production, vyombo vyetu walikikuwa wapiMamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) imekamata watu wanaojihusisha na shughuli za utengenezaji wa biskuti kwa kuchanganya na bangi aina ya skanka katika eneo la Kawe Jijini Dar es Salaam.
Kamishna Jenerali wa DCEA Aretas James Lyimo amesema watuhumiwa hao wamekutwa wakiendelea na uzalishaji wa biskuti hizo kwa kutumia mtambo mdogo wa kusaga skanka na vifaa vya kutengenezea biskuti hizo za bangi ya skanka.
Kutokana na operersheni hiyo watu 16 wamekamatwa na Kilogramu 423.54 za bangi iliyosindikwa ya skanka yenye kiwango kikubwa cha sumu ya TetraHydroCannabinol THC ambapo asilimia 75 ikizalishwa kutokana na bangi aina ya Sativa na asilimia 45 bangi ya Indica ikiwa na sumu zaidi ya asilimia 45 ikilinganishwa na asilimia 3 hadi 10 zilizo katika bangi ya kawaida.
Chanzo: Clouds TV
mmhh kuna biskuti nilikula nikaenda kuiba kuku.itakua ndio izo..
Sio biscuits za dukani kwa jinsi zinavyotengenezwa ndio maana wanaziita Biscuit ila ni Bangi zile zile na wateja ni wale wale wameboresha kwa kuchanganya aina tofauti ili watumiaji wapate radha kali zaidi...ni mchanganyiko wa aina tofauti za bang kutoka sehemu tofauti...hatari sana hiii haiko sawa kwa hawa watoto wetu naipongeza sana mamlaka
aisee umewahi kuziona kwa macho ya nyama nduguSio biscuits za dukani kwa jinsi zinavyotengenezwa ndio maana wanaziita Biscuit ila ni Bangi zile zile na wateja ni wale wale wameboresha kwa kuchanganya aina tofauti ili watumiaji wapate radha kali zaidi...ni mchanganyiko wa aina tofauti za bang kutoka sehemu tofauti...
Nawapongeza.hao.wanasayansi coz Wana kitu!mi kama mkemia kama kijana wa kitz anaweza ku extract chemical ya bangi na kuichanganya na unga mzuri wa biscuits na kuuza products kongole kwao!Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) imekamata watu wanaojihusisha na shughuli za utengenezaji wa biskuti kwa kuchanganya na bangi aina ya skanka katika eneo la Kawe Jijini Dar es Salaam.
Kamishna Jenerali wa DCEA Aretas James Lyimo amesema watuhumiwa hao wamekutwa wakiendelea na uzalishaji wa biskuti hizo kwa kutumia mtambo mdogo wa kusaga skanka na vifaa vya kutengenezea biskuti hizo za bangi ya skanka.
Kutokana na operersheni hiyo watu 16 wamekamatwa na Kilogramu 423.54 za bangi iliyosindikwa ya skanka yenye kiwango kikubwa cha sumu ya TetraHydroCannabinol THC ambapo asilimia 75 ikizalishwa kutokana na bangi aina ya Sativa na asilimia 45 bangi ya Indica ikiwa na sumu zaidi ya asilimia 45 ikilinganishwa na asilimia 3 hadi 10 zilizo katika bangi ya kawaida.
Chanzo: Clouds TV
Una Hoja Mkuu, Usikilizwe!Kwahiyo mamlaka zinasemaje kiwanda kitaendelea kuzalisha au vipi? Na kama kitaendelea wanampango gani na sisi ambao si wenyeji wa daslamu tupate hizo biskuti?je,kama kitazuiwa kosa lao ni lipi?(kwani kuna watumiaji walitoa malalamiko kwenye mamlaka au ni utashi tu wa mamlaka?)
Tanzania ndio zinaingia tulikotoka ndio kazi zao hizo...Skanka na wao wao na Skanka..aisee umewahi kuziona kwa macho ya nyama ndugu
Ni kweli kabisa mkuu. Ni drug dealer gani mjinga atauza hizo ''biskuti'' kwa watoto wakati bei yake ni ya juu? Ni kama kusema unga wa cocaine utauzwa duka la mangi kwa kupima kama unga wa sembe.Pana watu wanadhani ni Biscuit hizo za madukani hapana kwa jinsi hizo Skanka zinavyogandamizwa zinakua kama biscuits ili kurahisisha kusafirisha na package yake ila ni bangi tuu hiyo na wateja wake wengi ni wageni kwenye Club na hao wadada wa Mjini...Kilo moja ya Skanka inaweza kufika laki nane harafu ndio uzikute hizo biscuits kwenye maduka ya Mangi hakuna kitu kama hicho...
Hizo ''biskuti'' hawauzi hovyo hovyo. Ni maalum kwa watu maalum. Kwanza bei yake utaiweza? Unadhani wanauza kwa bei ya biskuti za kawaida au wanasambaza madukani?Ona sasa. Kumbe ndo maana mitoto ya siku hizi na badhi ya mimama inapenda biskuti!! Af wana akili mbovu kama hawana akili sawa
Watanzania wengi ni Malaika hatuna dhambi hatujui hata Dunia inaendaje Skanka wanasema wataikuta duka la Mangi harafu ukakope daah kisa imeitwa Biscuit..Ni kweli kabisa mkuu. Ni drug dealer gani mjinga atauza hizo ''biskuti'' kwa watoto wakati bei yake ni ya juu? Ni kama kusema unga wa cocaine utauzwa duka la mangi kwa kupima kama unga wa sembe.