Naona unajifanya huyaoni maendeleo ya jirani zako unashikilia ujinga wa nyumbani kwako,jifunze kutoka kwa jirani yakoKenya kuna ttz la ajira,kuna upungufu wa chakula watoa huduma za afya ni shida sana kila siku migomo.Haya bavicha hawayaoni hata kidogo huko Kenya. Wanaunga mkono yanayotokea Kenya,jambo hilo hilo likitokea Tanzania utasikia watu hawana ajira ye ananunua ndege mara ooh anajenga flyovers mara reli wakati mishahara iko chini.Ni bavicha anasifia flyover na ndege ya Kenya lkn anapinga Ya Tanzania. Aliyesema BAVICHA NI NYUMBU enzi za akina Plato naye angekua GREAT PHILOSOPHER.
Eti eeeeeeUnalazimisha kusifia kisicho na sifa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wivu
Bas "Brag abt ur peni.s though it is tiny"Unalazimisha kusifia kisicho na sifa?
Kweli tupu mkuuVema mkuu wana barabara ya njia sita wana treni yamwendo kasi mombasa Nairobi wana fly over wana demokrasi ya siasa uhuru wa mahakama bado huoni kuwa wametuacha angalia hata fedha yao kwa dorali penye ukweli uongo hujitenga mkuu
CHAMA chetu hakijawahi kushindwa Uchaguzi Mkuu!Mkuu embu taja unavyoona tumewazidi
Ndo nmekuswalika nchi yako haijawah hata kuwa na jema moja maana umesema hakuna cha kusifiaSuala hapa ni pongezi kwa wenzetu wa Kenya kupiga hatua ya kutengenza gari yao wenyewe
Sio serikali ndio imeunda gari...ni private sector..wenzetu wanaithamini private sector..sio sisi tunaiuaKwani Kantanka la Ghana stori zake ziliishia wapi. Nchi hata kujitosheleza kwa chakula na mahitaji mengine bado lakini inakimbilia kutengeneza gari. Ajabu hii.
Nmekuulza swal so jib tu kuwa hakuna nchi ilichokifanya hata kimoja au kipo ila sikipendJema lipi ebu liweke hapa jukwaani
Mkataa kwao mtumwaUnalazimisha kusifia kisicho na sifa?
Hiv vitu na hii tabia yenu ya kushoboka na vya jiran itawaponza sanaKama mnavyosifia vya nje bx muwe mnakaa kushabikia japo vidogo vya kwenu
Kinyume na hivyo mnatupa wasiwasi mnapoahid kupambana na ufisad alaf yrs later mnamsafisha icon wa ufisad
Kinyume na hapo mnatupa wasiwasi mnaposema fulan n wazir mzigo na asafarisha wanyama wetu ktk ndege,fulan anashabikia ushoga, fulan amekaa kupga picha za vimwana later mnamsafisha na kumpaka rangi na kumsajl nyala.nd
Kinyume na hvyo mnatupa wasiwasi mnaponad aman ilhal akiuawa polisi mnacheka akiuawa gaid la kibit mnalaum
Kinyume na hapo mnatupa wasiwasi mnaposema shirika la ndege linakufa halina hata ndege moja then zikinunuliwa hata kibombadier mnaenda kuwanyenga "white pigs" wakamate na kuzizuia huku mkishadadia mitandaon
I NEES CHANGE YES
ILA SIYO KWA KUWAAMIN MANDUMILA KUWILI
Uwezo wako wa kufikiria ni mdogo inaonyesha ni bashiteSisi wapUnzan tukichukua nchi ndege zitatengenezwa tanzania
Hii tabia yenu ya kushoboka shoboka na vitu vya nyumba ya jiran inawaponza sanaUnalazimisha kusifia kisicho na sifa?
Zero brainMkataa kwao mtumwa