Hahaha yaani raha sana kuwa supper power in a region. TZ is the best country in Africa. Achana na hako ka kenya.True ..a toddler...angalia his preious thread ya tz army...ati kinasema tz army number moja africa mzima[emoji23][emoji23] hata kenyan army is strong lakini we know we are not no 1 in africa ..eish kitoto ...kinahitaji ass whooping
Sawa toto ..sasa nenda uka nyonye [emoji23][emoji23]Hahaha yaani raha sana kuwa supper power in a region. TZ is the best country in Africa. Achana na hako ka kenya.
Na iwe hivyo..,,Amen RaKweli sasa hivi Africa Mashariki inakuwa kwa kasi. Kiwanda cha tiles kimezinduliwa wiki iliyopita na Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (Mkoa wa Pwani-Mkuranga). Kiwanda hiki kitarahisisha sana upatikanaji wa tiles za kisasa kusini mwa jangwa la sahara.
Kiwanda hiki ni cha kipekee hapa barani Africa. Vitu vyote vinaenda sambamba.
Kiwanda hiki kina urefu wa kilomita moja.
Kwa maelezo zaidi sikiliza hapa:-
NB: Wenzetu kutoka kenya naona wanaendelea na mijisifa yao huku tunasonga mbele. Najua kabisa hawana kitu kama hiki. Kinapatikana tanzania pekee. Na ikumbukwe kuna ahadi ya viwanda 200 toka china. Kwahiyo TZ itakuwa center ya viwanda barani Africa. Na huko Kenya itakuwa kijijini na mtakuwa mnalilia kujakutembelea TZ.
una miaka mingapiHahaha yaani raha sana kuwa supper power in a region. TZ is the best country in Africa. Achana na hako ka kenya.
kwa sasa sawa unaweza lalamika ila mda ule ulikosea kuhukumu labda uniambie huwa unaona ya mbeleniAngalia now DKK ya ngapi AF angalia flow ya comments mkuu
Sasa povu lote hilo kuja kusema umetembea nchi za Africa!!? Mbona wewe ndio unajidhalilisha. Wewe unataka unipangie cha kufanya. Acha kutoa povu!! Unajifanya mtanzania wakati wewe ni Mkikuyu. Prove kama wewe ni mtanzania.Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo unatudhalilisha watanzania, mada hii ungeleta bila ushabiki wa kijinga watu wangechangia kwa kujenga ila unaboa. Nina hakika unasimuliwa tu kuhusu Kenya hujawahi fika laiti ungefika usingekuwa unaandika upuuzi kulinganisha na wao. Kushindana na Kenya ni sawa na kufukuza upepo mwishoe utapotea sababu hujui upepo unapoelekea. Nimebahatika kutembea nchi mbali mbali za Africa na kuishi Kenya kwa muda nakuhakikishia sio wenzetu maana tz nako nimetembea karibu mikoa yote kasoro mtwara na Lindi ninachoongea nakifahamu. Tujitahidi kujadili maendeleo yetu bila kujisifu Bali kuongeza bidii katika kuinua uchumi sio SIFA za kijinga. Serikali inajitahidi kuona tunasonga mbele
Kwani ilikuwa wapi?Tanzania Mpya yaja
Hii ya kwao inaitwaje tena?Ficha upumbavu wako
kule kwenu mnatufukuza
Tunakimbilia kwetu huku
nako unatuletea Upumbavu!!
Jamiiforums Tuna post kokote
hupendi pita wima
Mbona alshabab wanawatoa jasho la ulimi? Mpaka mkaamua kuwatafutia ndege za kumwagilia dawa kahawa mkawamalize nazo.[emoji1] [emoji1] [emoji1]True ..a toddler...angalia his preious thread ya tz army...ati kinasema tz army number moja africa mzima[emoji23][emoji23] hata kenyan army is strong lakini we know we are not no 1 in africa ..eish kitoto ...kinahitaji ass whooping
Kwa hiyo mungu ndiye aliyemwezesha kuiba kura!!!?John hakushinda kihalali.Ndio maana tume ya uchaguzi haitaki kuonyesha matokeo ya kituo hadi kituo.Magufuli ni chaguo la mwenyezi MUNGU
Alshabab aint a convetional army .You never see them coming.Ofcourse its bad that kenya has lost some soldiers but soo do superpowers ,usa has lost close to 2500 soldiers in its war againist taliban during obamas reign ,know does that mean that the taliban is stronger than usa ...Mbona alshabab wanawatoa jasho la ulimi? Mpaka mkaamua kuwatafutia ndege za kumwagilia dawa kahawa mkawamalize nazo.[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ashindwae isifu nchi yake kwa aina yyt ya maendeleo hana tofauti na baamedi,hueleki unazura nchi nzima ukakosa kilicho chema kwenye nchi yako.Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo unatudhalilisha watanzania, mada hii ungeleta bila ushabiki wa kijinga watu wangechangia kwa kujenga ila unaboa. Nina hakika unasimuliwa tu kuhusu Kenya hujawahi fika laiti ungefika usingekuwa unaandika upuuzi kulinganisha na wao. Kushindana na Kenya ni sawa na kufukuza upepo mwishoe utapotea sababu hujui upepo unapoelekea. Nimebahatika kutembea nchi mbali mbali za Africa na kuishi Kenya kwa muda nakuhakikishia sio wenzetu maana tz nako nimetembea karibu mikoa yote kasoro mtwara na Lindi ninachoongea nakifahamu. Tujitahidi kujadili maendeleo yetu bila kujisifu Bali kuongeza bidii katika kuinua uchumi sio SIFA za kijinga. Serikali inajitahidi kuona tunasonga mbele
In short KDF is weak. Mnajifanya uamerika sana mtapukutika mpaka basi. Hebu nitajie askari wangapi wamefariki kwenye vita ya Kenya na Somalia?Alshabab aint a convetional army .You never see them coming.Ofcourse its bad that kenya has lost some soldiers but soo do superpowers ,usa has lost close to 2500 soldiers in its war againist taliban during obamas reign ,know does that mean that the taliban is stronger than usa ...
Subiri tena 2020. Tanzania ni ya CCM hardboy.. Na CCM ni ya kwetu.. Chadema ni ya matapeli inatuletea propaganda za kijinga kutetea maovu. Katafuten nchi nyingine maana huruma ya kikwete mlipata wabunge wengi Sasa magufuli hawezi kukubali wananchi wakadanganywa wakawachagua watu ambao kazi yao ni kutafuta kesi makusudi ili wawe mahakamani jimboni hawainekani.. 2020 mtakuwa na wabunge 12 tu.. Mark my wordKwa hiyo mungu ndiye aliyemwezesha kuiba kura!!!?John hakushinda kihalali.Ndio maana tume ya uchaguzi haitaki kuonyesha matokeo ya kituo hadi kituo.
Wewe I already made my decision about you..in kenya ..we say ..never argue with a toddler ...unataka jibu ..nikikupa unaandika uharoIn short KDF is weak. Mnajifanya uamerika sana mtapukutika mpaka basi. Hebu nitajie askari wangapi wamefariki kwenye vita ya Kenya na Somalia?
Ilikuwa 1961Kwani ilikuwa wapi?
Basi we kaa kimya ktk hilo hatujafeli na mtatuelewa vuguvugu lolote lenye element ya ualshabab tunakuwa wamoja siasa baadae na hiyo kazi itafanywa na raia pamoja na askari wake ninachomaanisha huwa ni wamoja litokeapo la tofauti,hakuna nchi inayokosa magaidi ila umoja wao ndio unasababisha vita hiyo kupata/kukosa nguvu.Alshabab aint a convetional army .You never see them coming.Ofcourse its bad that kenya has lost some soldiers but soo do superpowers ,usa has lost close to 2500 soldiers in its war againist taliban during obamas reign ,know does that mean that the taliban is stronger than usa ...
Ok. Kwa ufupi KDF wamepukutika kama kumbikumbi huko somalia. Halafu cha kushangaza Al shababb wapo na mikuki, mapanga na marungu. Huku kenya wakiwa na F-5.Wewe I already made my decision about you..in kenya ..we say ..never argue with a toddler ...unataka jibu ..nikikupa unaandika uharo
Toddlers argument [emoji23][emoji23]..tanzania mnatumia which jets?mhhh ...Ok. Kwa ufupi KDF wamepukutika kama kumbikumbi huko somalia. Halafu cha kushangaza Al shababb wapo na mikuki, mapanga na marungu. Huku kenya wakiwa na F-5.
F-5 zinatunguliwa na mikuki. Yaan KDF is the weakest mgambo group in the world.