Kiwanda kikubwa cha kisasa cha vigae(Tiles) chazinduliwa Tanzania -East Africa

Kiwanda kikubwa cha kisasa cha vigae(Tiles) chazinduliwa Tanzania -East Africa

True ..a toddler...angalia his preious thread ya tz army...ati kinasema tz army number moja africa mzima[emoji23][emoji23] hata kenyan army is strong lakini we know we are not no 1 in africa ..eish kitoto ...kinahitaji ass whooping
Hahaha yaani raha sana kuwa supper power in a region. TZ is the best country in Africa. Achana na hako ka kenya.
 
Hahaha yaani raha sana kuwa supper power in a region. TZ is the best country in Africa. Achana na hako ka kenya.
Sawa toto ..sasa nenda uka nyonye [emoji23][emoji23]
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo unatudhalilisha watanzania, mada hii ungeleta bila ushabiki wa kijinga watu wangechangia kwa kujenga ila unaboa. Nina hakika unasimuliwa tu kuhusu Kenya hujawahi fika laiti ungefika usingekuwa unaandika upuuzi kulinganisha na wao. Kushindana na Kenya ni sawa na kufukuza upepo mwishoe utapotea sababu hujui upepo unapoelekea. Nimebahatika kutembea nchi mbali mbali za Africa na kuishi Kenya kwa muda nakuhakikishia sio wenzetu maana tz nako nimetembea karibu mikoa yote kasoro mtwara na Lindi ninachoongea nakifahamu. Tujitahidi kujadili maendeleo yetu bila kujisifu Bali kuongeza bidii katika kuinua uchumi sio SIFA za kijinga. Serikali inajitahidi kuona tunasonga mbele
 
Kweli sasa hivi Africa Mashariki inakuwa kwa kasi. Kiwanda cha tiles kimezinduliwa wiki iliyopita na Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (Mkoa wa Pwani-Mkuranga). Kiwanda hiki kitarahisisha sana upatikanaji wa tiles za kisasa kusini mwa jangwa la sahara.

Kiwanda hiki ni cha kipekee hapa barani Africa. Vitu vyote vinaenda sambamba.
Kiwanda hiki kina urefu wa kilomita moja.
Kwa maelezo zaidi sikiliza hapa:-


NB: Wenzetu kutoka kenya naona wanaendelea na mijisifa yao huku tunasonga mbele. Najua kabisa hawana kitu kama hiki. Kinapatikana tanzania pekee. Na ikumbukwe kuna ahadi ya viwanda 200 toka china. Kwahiyo TZ itakuwa center ya viwanda barani Africa. Na huko Kenya itakuwa kijijini na mtakuwa mnalilia kujakutembelea TZ.

Na iwe hivyo..,,Amen Ra
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo unatudhalilisha watanzania, mada hii ungeleta bila ushabiki wa kijinga watu wangechangia kwa kujenga ila unaboa. Nina hakika unasimuliwa tu kuhusu Kenya hujawahi fika laiti ungefika usingekuwa unaandika upuuzi kulinganisha na wao. Kushindana na Kenya ni sawa na kufukuza upepo mwishoe utapotea sababu hujui upepo unapoelekea. Nimebahatika kutembea nchi mbali mbali za Africa na kuishi Kenya kwa muda nakuhakikishia sio wenzetu maana tz nako nimetembea karibu mikoa yote kasoro mtwara na Lindi ninachoongea nakifahamu. Tujitahidi kujadili maendeleo yetu bila kujisifu Bali kuongeza bidii katika kuinua uchumi sio SIFA za kijinga. Serikali inajitahidi kuona tunasonga mbele
Sasa povu lote hilo kuja kusema umetembea nchi za Africa!!? Mbona wewe ndio unajidhalilisha. Wewe unataka unipangie cha kufanya. Acha kutoa povu!! Unajifanya mtanzania wakati wewe ni Mkikuyu. Prove kama wewe ni mtanzania.
 
Ficha upumbavu wako
kule kwenu mnatufukuza
Tunakimbilia kwetu huku
nako unatuletea Upumbavu!!
b56769616a101f9e85a695296e79d99d.jpg

Jamiiforums Tuna post kokote
hupendi pita wima
Hii ya kwao inaitwaje tena?
 
True ..a toddler...angalia his preious thread ya tz army...ati kinasema tz army number moja africa mzima[emoji23][emoji23] hata kenyan army is strong lakini we know we are not no 1 in africa ..eish kitoto ...kinahitaji ass whooping
Mbona alshabab wanawatoa jasho la ulimi? Mpaka mkaamua kuwatafutia ndege za kumwagilia dawa kahawa mkawamalize nazo.[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mbona alshabab wanawatoa jasho la ulimi? Mpaka mkaamua kuwatafutia ndege za kumwagilia dawa kahawa mkawamalize nazo.[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Alshabab aint a convetional army .You never see them coming.Ofcourse its bad that kenya has lost some soldiers but soo do superpowers ,usa has lost close to 2500 soldiers in its war againist taliban during obamas reign ,know does that mean that the taliban is stronger than usa ...
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo unatudhalilisha watanzania, mada hii ungeleta bila ushabiki wa kijinga watu wangechangia kwa kujenga ila unaboa. Nina hakika unasimuliwa tu kuhusu Kenya hujawahi fika laiti ungefika usingekuwa unaandika upuuzi kulinganisha na wao. Kushindana na Kenya ni sawa na kufukuza upepo mwishoe utapotea sababu hujui upepo unapoelekea. Nimebahatika kutembea nchi mbali mbali za Africa na kuishi Kenya kwa muda nakuhakikishia sio wenzetu maana tz nako nimetembea karibu mikoa yote kasoro mtwara na Lindi ninachoongea nakifahamu. Tujitahidi kujadili maendeleo yetu bila kujisifu Bali kuongeza bidii katika kuinua uchumi sio SIFA za kijinga. Serikali inajitahidi kuona tunasonga mbele
Ashindwae isifu nchi yake kwa aina yyt ya maendeleo hana tofauti na baamedi,hueleki unazura nchi nzima ukakosa kilicho chema kwenye nchi yako.
 
Alshabab aint a convetional army .You never see them coming.Ofcourse its bad that kenya has lost some soldiers but soo do superpowers ,usa has lost close to 2500 soldiers in its war againist taliban during obamas reign ,know does that mean that the taliban is stronger than usa ...
In short KDF is weak. Mnajifanya uamerika sana mtapukutika mpaka basi. Hebu nitajie askari wangapi wamefariki kwenye vita ya Kenya na Somalia?
 
Kwa hiyo mungu ndiye aliyemwezesha kuiba kura!!!?John hakushinda kihalali.Ndio maana tume ya uchaguzi haitaki kuonyesha matokeo ya kituo hadi kituo.
Subiri tena 2020. Tanzania ni ya CCM hardboy.. Na CCM ni ya kwetu.. Chadema ni ya matapeli inatuletea propaganda za kijinga kutetea maovu. Katafuten nchi nyingine maana huruma ya kikwete mlipata wabunge wengi Sasa magufuli hawezi kukubali wananchi wakadanganywa wakawachagua watu ambao kazi yao ni kutafuta kesi makusudi ili wawe mahakamani jimboni hawainekani.. 2020 mtakuwa na wabunge 12 tu.. Mark my word
 
In short KDF is weak. Mnajifanya uamerika sana mtapukutika mpaka basi. Hebu nitajie askari wangapi wamefariki kwenye vita ya Kenya na Somalia?
Wewe I already made my decision about you..in kenya ..we say ..never argue with a toddler ...unataka jibu ..nikikupa unaandika uharo
 
Alshabab aint a convetional army .You never see them coming.Ofcourse its bad that kenya has lost some soldiers but soo do superpowers ,usa has lost close to 2500 soldiers in its war againist taliban during obamas reign ,know does that mean that the taliban is stronger than usa ...
Basi we kaa kimya ktk hilo hatujafeli na mtatuelewa vuguvugu lolote lenye element ya ualshabab tunakuwa wamoja siasa baadae na hiyo kazi itafanywa na raia pamoja na askari wake ninachomaanisha huwa ni wamoja litokeapo la tofauti,hakuna nchi inayokosa magaidi ila umoja wao ndio unasababisha vita hiyo kupata/kukosa nguvu.
 
Wewe I already made my decision about you..in kenya ..we say ..never argue with a toddler ...unataka jibu ..nikikupa unaandika uharo
Ok. Kwa ufupi KDF wamepukutika kama kumbikumbi huko somalia. Halafu cha kushangaza Al shababb wapo na mikuki, mapanga na marungu. Huku kenya wakiwa na F-5.
F-5 zinatunguliwa na mikuki. Yaan KDF is the weakest mgambo group in the world.
 
Ok. Kwa ufupi KDF wamepukutika kama kumbikumbi huko somalia. Halafu cha kushangaza Al shababb wapo na mikuki, mapanga na marungu. Huku kenya wakiwa na F-5.
F-5 zinatunguliwa na mikuki. Yaan KDF is the weakest mgambo group in the world.
Toddlers argument [emoji23][emoji23]..tanzania mnatumia which jets?mhhh ...
 
Back
Top Bottom