MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
Kipo ki forums chao Topick moja inakaa wiki views 200!!Hii ya kwao inaitwaje tena?
Reply 12
Nipate,Kenyan talk, Wazua
Huko wanatufukuza hawa watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipo ki forums chao Topick moja inakaa wiki views 200!!Hii ya kwao inaitwaje tena?
Yaani tusi la kingereza wala halinanguvu. Piga la kiswahili. Sasa hivyo vi F-5 vyenu vinaonwa kwenye radar ya simu aina ya Galaxy S3 ndiyo mnaona mmepata. Umeyaona lakini hayo makombora ya kibongo ya ground? Sasa hivi tunataka kuliteka anga lote la Africa kwa SU-35, J-20 na J-31 mtakoma. Subirini sikukuu ya mashujaa mtaona. Kuna moja kesho ilitolewa Su-35 Sema sina picha yake.Toddlers argument [emoji23][emoji23]..tanzania mnatumia which jets?mhhh ...
Tuna ...tuta ..nunueni halafu mzilete hapa tuzione ..tuna tuta (sgr) bado hamna ..tuna ...tuta (bagamoyo) port ..bado hamna ...tuna tuta ..kila wakati ..this are a cowards word ..in kenya we say tume...Yaani tusi la kingereza wala halinanguvu. Piga la kiswahili. Sasa hivyo vi F-5 vyenu vinaonwa kwenye radar ya simu aina ya Galaxy S3 ndiyo mnaona mmepata. Umeyaona lakini hayo makombora ya kibongo ya ground? Sasa hivi tunataka kuliteka anga lote la Africa kwa SU-35, J-20 na J-31 mtakoma. Subirini sikukuu ya mashujaa mtaona. Kuna moja kesho ilitolewa Su-35 Sema sina picha yake.
Nyie tunajua mpo na F-5. Jana kuna midege ilipita wakati wa ufunguzi, SU-35 na J-20. Sema sina picha tu hapa.Tuna ...tuta ..nunueni halafu mzilete hapa tuzione ..tuna tuta (sgr) bado hamna ..tuna ...tuta (bagamoyo) port ..bado hamna ...tuna tuta ..kila wakati ..this are a cowards word ..in kenya we say tume...
Hatuitaji jet vikosi vya miguu vyatosha,kwenye vita huwa hatukurupuki mkuu,ukweli utabaki KDF mje mjifunze mapigano ni nini na yanapiganwa vipi,kwa anayefaham medani ukiwacheki KDF utagundua huko waendako uwezekano wa kurudi mdogo,mjifunze kwa TPDF akifa askari mmoja huwa ni majonzi mwaka mzima kwakuwa hatujazoea na tunajiuliza tulikosea wapi nyie huko wanauawa 100 mnaona kawaida na mnapeleka wengine kiroho safi.Toddlers argument [emoji23][emoji23]..tanzania mnatumia which jets?mhhh ...
wewe kama ulibwagwa na boyfriend wako wa kikenya usihusishe Tanzania nzima kwenye ugomvi wako Telemundo style! Mtu akitofautiana na mawazo yako tu inabidi aprove ni mtanzania? Tutolee upumbavu, wewe hapo unaweza ukawa mnyarwanda, prove kwanza kama wewe ni mtanzania.Sasa povu lote hilo kuja kusema umetembea nchi za Africa!!? Mbona wewe ndio unajidhalilisha. Wewe unataka unipangie cha kufanya. Acha kutoa povu!! Unajifanya mtanzania wakati wewe ni Mkikuyu. Prove kama wewe ni mtanzania.
Hata magazeti yako busy na story za Wema.Maajabu ya nchi yangu thread kama hz znakosa wachangiaji
Ni hatua nzuri na ya kupongezwa
hatupongezi coz sio cha mbongo angalia sura tu hapo za chung hang mishahara yao midogo na wanyanyasaji piaMaajabu ya nchi yangu thread kama hz znakosa wachangiaji
Ni hatua nzuri na ya kupongezwa
Hako kakiwanda kadogo sana. Hapa tunaongelea mega tiles. Siyo hako kadogo. Kiwanda cha mkuranga is the best kusini mwa jangwa la sahara. Na ni cha kisasa kabisa. Kuanzia mwezi wa sita tunaanza ku export.
Hiki ni kiwanda cha tiles za kisasa. Na kikubwa kupita vyote kusini mwa jangwa la sahara. Hayo ya kwenu ni old school fashion.
Sio mbaya kulinganisha na kujadili, ila ulivyosema, muanzisha mada, anakurupuka, angeuliza, je Kenya kuna kiwanda kama hiki??? Lakini yeye ushabiki unamtuma vibaya, na sisi kama Wakenya tunampa dawa inamuingiaUwezo wako wa kufikiri ni mdogo unatudhalilisha watanzania, mada hii ungeleta bila ushabiki wa kijinga watu wangechangia kwa kujenga ila unaboa. Nina hakika unasimuliwa tu kuhusu Kenya hujawahi fika laiti ungefika usingekuwa unaandika upuuzi kulinganisha na wao. Kushindana na Kenya ni sawa na kufukuza upepo mwishoe utapotea sababu hujui upepo unapoelekea. Nimebahatika kutembea nchi mbali mbali za Africa na kuishi Kenya kwa muda nakuhakikishia sio wenzetu maana tz nako nimetembea karibu mikoa yote kasoro mtwara na Lindi ninachoongea nakifahamu. Tujitahidi kujadili maendeleo yetu bila kujisifu Bali kuongeza bidii katika kuinua uchumi sio SIFA za kijinga. Serikali inajitahidi kuona tunasonga mbele
Naona sasa umekunywa viroba. Hebu kaa utulie uandike vizuri. Maana naona unatoa povu tu.Kikubwa ikilinganisha na kipi? Si nimesikia production line yake ni kilometer moja??? Tryford is two lines of over 1km, sasa sijui Mega sijui nini hii yenu ni gani. Kama ni kuwa smart, tayari Kenya tumewapita na Trausi ambayo ni ya Mkenya, sasa hebu rudieni tena eti mnasema ukubwa wake nini?? Kiwanda cha tiles hata kiwe kikubwa aje, unaweza brag nayo?? Daaaah!!!