Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Live band tumekuwa wazee sisi?..wewe vipi bhana"in Manara's voice"

Tunataka tu-bang na magoma kama ya Pop Smoke-Dior.
Mkuu hujashuhudia tuhiyo live band !hayo magoma yote watu wanaperfom yani ni muziki tofauti tofauti unaimbwa live 😋
 
Ahaa mkuu hapo manzese wahun wengi ukilewa labda muwe wengi kdg ila tofaut na hvy watakufanyia practical ya ukabaj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…