Hahahaha...Sema kiwanja cha kistaarabu, ndani kuna walinzi...nje unapoingia wanaangalia usalama/kutokuingia na viti vya kudhuru. Ndani pako safe...na pale ni jirani na Barabara (Moro road)
Yaani hiyo ni kwaya tu! Je siku umekua born again Christian si utahama sayari wewe😂😂 eti sayari dunia ina dhambi unaenda zako Jupiter 🙌[emoji23][emoji23][emoji23] Ila naona hata ndugu na jamaa wamenitenga
Sijui Kama nitafanikiwa
Kuna hadi swimming pool ukilewa unsogelea pombe zikikutoka unatufi tena kunywaPako fresh? Namimi nitinge kesho? Wanakesha?
Kuna hadi swimming pool ukilewa unsogelea pombe zikikutoka unatufi tena kunywa
Mimi ndiye huyu dada mwembamba aliyekua anaimba mkuu! Nimevaa kimini😛 upo around?Umekaa kwa upande gani? Ahaahaha umevaaje?
Nahic hvy nliwamind sana wale masheikhWalikuwa wanawajua hao...[emoji1][emoji1]
Ukifa unaziacha au unaenda nazo?
😅😂 fara sana wewe...[emoji23][emoji23]
Nilienda na mtu yupo tungi anadai ni 3D floor
Nikamwambia akanyage [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ndiye huyu dada mwembamba aliyekua anaimba mkuu! Nimevaa kimini😛 upo around?
Nimeelewa hapo alivoaandika "unatufi"😂😂Mkuu hii ni castle lite inaandika[emoji23][emoji23]
Yaani hiyo ni kwaya tu! Je siku umekua born again Christian si utahama sayari wewe[emoji23][emoji23] eti sayari dunia ina dhambi unaenda zako Jupiter [emoji119]
Mkuu yupo vyombo hatari[emoji1787]Mkuu hii ni castle lite inaandika[emoji23][emoji23]
Mkuu upo vzr pamoja na shangwe la club lakn unatype vzr tu au unakunywa maji na soda tu😁😁Yaani hiyo ni kwaya tu! Je siku umekua born again Christian si utahama sayari wewe😂😂 eti sayari dunia ina dhambi unaenda zako Jupiter 🙌
Inawezekana mkuu! Ila leo sikuja na ungo si unajua shule zimefunga walimu tupo likizo DarUmetoka Swangz na ungo mpaka micassa Lounge?
KB fujo sana kama upo sokoniNenda KB tegeta
Coming soonWakuu njooni Micasa ubungo kuna live band💥
Gentleman Lifestyle..Bia+@financial services + good music =?
[emoji28][emoji23] fara sana wewe...